Mawakili ndo wamemponza Dr. Slaa?

Irene17

Member
Feb 8, 2025
8
28
dk-slaa-1.jpg


Dr. Wilbroad Peter Slaa bado yupo mahabusu mpaka sasa kutokana na Mawakili wake wanaoongozwa na Peter Madeleka kukosa weledi na kufanya harakati kwenye mambo ya kitaalam

Mzee Slaa ataendelea kusota mahabusu kutokana na kile kinachodaiwa kuwa "makosa ya kiweledi yaliyofanywa na Mawakili wake kukimbilia Mahakama Kuu kabla suala la dhamana halijaamuliwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kwa mambo yaliyokuwa yanaweza kutatuliwa katika Mahakama ya Kisutu bila kupoteza muda mwingi!"

Kwa ufupi, mazingira ya kesi ya Dr. Wilbroad Slaa yapo kama ifuatavyo:

Dr. Wilbroad Slaa alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu tarehe 10 Januari, 2025 akikabiliwa na kosa moja la kusambaza taarifa za uongo mtandaoni.

Mara baada ya kusomewa Mashtaka, Mahakama ilipanga shauri hilo lirudi baada ya siku tatu yaani tarehe 13 Januari, 2025 ili iweze kusikiliza na kutolea maamuzi suala la dhamana ya Mtuhumiwa.

Katika hali ya kushangaza, kabla Mahakama haijasikiliza suala la dhamana, tarehe 13 Januari, 2025, Mawakili wa Dr. Slaa waliibuka na jambo jipya kwa kuweka pingamizi kwamba Hati ya Mashtaka iliyopo mahakamani haijakidhi vigezo vya sheria. Hivyo, Mahakama ilibidi kuweka pembeni suala la dhamana na kupanga tarehe ya kusikiliza pingamizi hilo la Hati ya Mashtaka ambalo kimsingi linagusa mamlaka ya mahakama (jurisdiction). Tarehe iliyopangwa ilikuwa 17 Januari, 2025.

Tarehe 17 Januari, 2025 pingamizi kuhusu Hati ya Mashtaka lilisikilizwa kwa pande zote mbili kufanya mawasilisho kisha Mahakama ilipanga kutoa maamuzi tarehe 23 Januari, 2025.

Mara baada ya Mahakama kutoa amri ya kuahirisha Shauri mpaka tarehe 23 January 2025, Mawakili wa Dr Slaa walionesha utovu wa nidhamu kinyume na Kanuni za maadili ya Mawakili kwa kumshambulia kwa maneno yasiyo na staha Mheshimiwa Hakimu. Wakiitaka Mahakama itoe maamuzi kuhusu dhamana siku hiyohiyo.

Ombi hilo lilikataliwa na Mahakama kwakuwa hoja waliyoibua wao wenyewe linagusa mamlaka ya mahakama na kwa mujibu wa sheria katika mazingira hayo lazima kwanza mahakama ijiridhishe juu ya mamlaka yake kabla ya jambo jingine lolote.

Kwa kukurupuka, tarehe 20 Januari, 2025 ikiwa ni kabla ya tarehe ya maamuzi ya Mahakama kwenye suala la Hati ya Mashtaka lililokuwa limepangwa tarehe 23 Januari, 2025, Mawakili wa Dr. Slaa walifungua maombi mawili (2) ya marejeo (Revision), kwa hati ya dharura, katika Mahakama Kuu ya Tanzania masjala ya Dar es Salaam wakipinga mwenendo wa shauri kwa ujumla na mwenendo wa suala la dhamana. Katika mazingira haya na kwa mujibu wa sheria na taratibu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu haikuwa na mamlaka ya kutoa maamuzi ya pingamizi yaliyopangwa kutolewa tarehe 23 Januari, 2025.

Tarehe 23 na 24 Januari, 2025 Mahakama Kuu ilisikiliza maombi yaliyowasilishwa na Mawakili wa Dr. Slaa na kutoa maamuzi tarehe 30 Januari, 2025.

Jamhuri haikuridhika na maamuzi ya Mahakama Kuu hivyo ilitoa Notisi ya Kukata Rufaa kwenda Mahakama ya Rufani kwa lengo la kupata tafsiri sahihi ya hoja za kisheria zilizoamriwa na Mahakama Kuu ambayo ni Mahakama ya kumbukumbu (court of record) na maamuzi yake yanafunga Mahakama za chini na yanaweza kutumika kwenye mashauri mengine yenye mfanano (precedent).

Kutokana na notisi hiyo ya Jamhuri, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ililazimika kusimamisha usikilizwaji wa shauri hilo, kama ambavyo ilifanyika wakati Mawakili wa Dr. Slaa walipowasilisha suala lao Mahakama Kuu mpaka Mahakama ya Rufani itakapotoa maamuzi na jalada husika kurejeshwa. Katika kipindi chote hiki Dr. Slaa ataendelea kubaki mahabusu.

Ni dhahiri kuwa, kwa maelezo hayo hapo juu, chanzo cha Dr. Slaa kuendelea kukaa mahabusu ni Mawakili wake kuweka mapingamizi yasiyo na msingi pamoja na kupeleka suala hili Mahakama Kuu ambako kumezalisha maamuzi yanayopingwa na Jamhuri.

Iwapo wangesubiri kwa siku tatu maamuzi ya dhamana yatolewe pengine leo Dr. Slaa angekuwa nje huku akiendelea na kesi yake ya msingi.

Aidha, Mawakili wangekuwa weledi, wangeibua mapingamizi yao mara baada ya suala la dhamana kuamriwa.

Katika mambo ambayo Mawakili wa Dr Slaa walienda nayo Mahakama Kuu, moja ilikuwa ni kuitaka Mahakama Kuu itamke kuwa Hakimu anayesikikiza shauri hakuwa na uwezo (competency) hivyo asiendelee na shauri hilo! Suala hilo kimsingi lingeweza kuamuriwa na Mahakama ya Kisutu na wangewasilisha maombi yao kuomba Mhe. Hakimu anayesikikiza shauri ajitoe kama hawaridhiki na mwenendo wake, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ingetoa maamuzi kuhusu suala hilo pamoja na suala la dhamana au suala jingine lolote liwalo kwa wakati na hatua nyingine stahiki zingeendelea kulingana na maamuzi husika.

Upande wa Jamhuri hauwezi kulaumiwa kwa namna yoyote katika hili, Dr Slaa anateseka kwa uchaguzi wa Mawakili wanaomponza na kumsababishia aendelee kusota Mahabusu!
 
View attachment 3229185

Dr. Wilbroad Peter Slaa bado yupo mahabusu mpaka sasa kutokana na Mawakili wake wanaoongozwa na Peter Madeleka kukosa weledi na kufanya harakati kwenye mambo ya kitaalam

Mzee Slaa ataendelea kusota mahabusu kutokana na kile kinachodaiwa kuwa "makosa ya kiweledi yaliyofanywa na Mawakili wake kukimbilia Mahakama Kuu kabla suala la dhamana halijaamuliwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kwa mambo yaliyokuwa yanaweza kutatuliwa katika Mahakama ya Kisutu bila kupoteza muda mwingi!"

Kwa ufupi, mazingira ya kesi ya Dr. Wilbroad Slaa yapo kama ifuatavyo:

Dr. Wilbroad Slaa alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu tarehe 10 Januari, 2025 akikabiliwa na kosa moja la kusambaza taarifa za uongo mtandaoni.

Mara baada ya kusomewa Mashtaka, Mahakama ilipanga shauri hilo lirudi baada ya siku tatu yaani tarehe 13 Januari, 2025 ili iweze kusikiliza na kutolea maamuzi suala la dhamana ya Mtuhumiwa.

Katika hali ya kushangaza, kabla Mahakama haijasikiliza suala la dhamana, tarehe 13 Januari, 2025, Mawakili wa Dr. Slaa waliibuka na jambo jipya kwa kuweka pingamizi kwamba Hati ya Mashtaka iliyopo mahakamani haijakidhi vigezo vya sheria. Hivyo, Mahakama ilibidi kuweka pembeni suala la dhamana na kupanga tarehe ya kusikiliza pingamizi hilo la Hati ya Mashtaka ambalo kimsingi linagusa mamlaka ya mahakama (jurisdiction). Tarehe iliyopangwa ilikuwa 17 Januari, 2025.

Tarehe 17 Januari, 2025 pingamizi kuhusu Hati ya Mashtaka lilisikilizwa kwa pande zote mbili kufanya mawasilisho kisha Mahakama ilipanga kutoa maamuzi tarehe 23 Januari, 2025.

Mara baada ya Mahakama kutoa amri ya kuahirisha Shauri mpaka tarehe 23 January 2025, Mawakili wa Dr Slaa walionesha utovu wa nidhamu kinyume na Kanuni za maadili ya Mawakili kwa kumshambulia kwa maneno yasiyo na staha Mheshimiwa Hakimu. Wakiitaka Mahakama itoe maamuzi kuhusu dhamana siku hiyohiyo.

Ombi hilo lilikataliwa na Mahakama kwakuwa hoja waliyoibua wao wenyewe linagusa mamlaka ya mahakama na kwa mujibu wa sheria katika mazingira hayo lazima kwanza mahakama ijiridhishe juu ya mamlaka yake kabla ya jambo jingine lolote.

Kwa kukurupuka, tarehe 20 Januari, 2025 ikiwa ni kabla ya tarehe ya maamuzi ya Mahakama kwenye suala la Hati ya Mashtaka lililokuwa limepangwa tarehe 23 Januari, 2025, Mawakili wa Dr. Slaa walifungua maombi mawili (2) ya marejeo (Revision), kwa hati ya dharura, katika Mahakama Kuu ya Tanzania masjala ya Dar es Salaam wakipinga mwenendo wa shauri kwa ujumla na mwenendo wa suala la dhamana. Katika mazingira haya na kwa mujibu wa sheria na taratibu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu haikuwa na mamlaka ya kutoa maamuzi ya pingamizi yaliyopangwa kutolewa tarehe 23 Januari, 2025.

Tarehe 23 na 24 Januari, 2025 Mahakama Kuu ilisikiliza maombi yaliyowasilishwa na Mawakili wa Dr. Slaa na kutoa maamuzi tarehe 30 Januari, 2025.

Jamhuri haikuridhika na maamuzi ya Mahakama Kuu hivyo ilitoa Notisi ya Kukata Rufaa kwenda Mahakama ya Rufani kwa lengo la kupata tafsiri sahihi ya hoja za kisheria zilizoamriwa na Mahakama Kuu ambayo ni Mahakama ya kumbukumbu (court of record) na maamuzi yake yanafunga Mahakama za chini na yanaweza kutumika kwenye mashauri mengine yenye mfanano (precedent).

Kutokana na notisi hiyo ya Jamhuri, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ililazimika kusimamisha usikilizwaji wa shauri hilo, kama ambavyo ilifanyika wakati Mawakili wa Dr. Slaa walipowasilisha suala lao Mahakama Kuu mpaka Mahakama ya Rufani itakapotoa maamuzi na jalada husika kurejeshwa. Katika kipindi chote hiki Dr. Slaa ataendelea kubaki mahabusu.

Ni dhahiri kuwa, kwa maelezo hayo hapo juu, chanzo cha Dr. Slaa kuendelea kukaa mahabusu ni Mawakili wake kuweka mapingamizi yasiyo na msingi pamoja na kupeleka suala hili Mahakama Kuu ambako kumezalisha maamuzi yanayopingwa na Jamhuri.

Iwapo wangesubiri kwa siku tatu maamuzi ya dhamana yatolewe pengine leo Dr. Slaa angekuwa nje huku akiendelea na kesi yake ya msingi.

Aidha, Mawakili wangekuwa weledi, wangeibua mapingamizi yao mara baada ya suala la dhamana kuamriwa.

Katika mambo ambayo Mawakili wa Dr Slaa walienda nayo Mahakama Kuu, moja ilikuwa ni kuitaka Mahakama Kuu itamke kuwa Hakimu anayesikikiza shauri hakuwa na uwezo (competency) hivyo asiendelee na shauri hilo! Suala hilo kimsingi lingeweza kuamuriwa na Mahakama ya Kisutu na wangewasilisha maombi yao kuomba Mhe. Hakimu anayesikikiza shauri ajitoe kama hawaridhiki na mwenendo wake, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ingetoa maamuzi kuhusu suala hilo pamoja na suala la dhamana au suala jingine lolote liwalo kwa wakati na hatua nyingine stahiki zingeendelea kulingana na maamuzi husika.

Upande wa Jamhuri hauwezi kulaumiwa kwa namna yoyote katika hili, Dr Slaa anateseka kwa uchaguzi wa Mawakili wanaomponza na kumsababishia aendelee kusota Mahabusu!
Nyuma ya hii witch hunt ni deflection (kupoteza lengo). Right from the beginning, Serikali inamshikilia Dr. Slaa kwa nia ya kumkomoa, bila kujali haki zake za kisheria.

Don’t underestimate what a repressive government is capable of doing. Kumbuka, Dr. Slaa anakabiliwa na mashitaka ya kosa linalodhaminika. Hakukuwa na sababu yoyote ya msingi ya hakimu kusubilisha kwa siku tatu usikilizaji wa ombi la dhamana. Ni coordinated moves za repressive government. Office ya DPP ina track record ya usiginaji wa haki za watuhumiwa!
 
View attachment 3229185

Dr. Wilbroad Peter Slaa bado yupo mahabusu mpaka sasa kutokana na Mawakili wake wanaoongozwa na Peter Madeleka kukosa weledi na kufanya harakati kwenye mambo ya kitaalam

Mzee Slaa ataendelea kusota mahabusu kutokana na kile kinachodaiwa kuwa "makosa ya kiweledi yaliyofanywa na Mawakili wake kukimbilia Mahakama Kuu kabla suala la dhamana halijaamuliwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kwa mambo yaliyokuwa yanaweza kutatuliwa katika Mahakama ya Kisutu bila kupoteza muda mwingi!"

Kwa ufupi, mazingira ya kesi ya Dr. Wilbroad Slaa yapo kama ifuatavyo:

Dr. Wilbroad Slaa alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu tarehe 10 Januari, 2025 akikabiliwa na kosa moja la kusambaza taarifa za uongo mtandaoni.

Mara baada ya kusomewa Mashtaka, Mahakama ilipanga shauri hilo lirudi baada ya siku tatu yaani tarehe 13 Januari, 2025 ili iweze kusikiliza na kutolea maamuzi suala la dhamana ya Mtuhumiwa.

Katika hali ya kushangaza, kabla Mahakama haijasikiliza suala la dhamana, tarehe 13 Januari, 2025, Mawakili wa Dr. Slaa waliibuka na jambo jipya kwa kuweka pingamizi kwamba Hati ya Mashtaka iliyopo mahakamani haijakidhi vigezo vya sheria. Hivyo, Mahakama ilibidi kuweka pembeni suala la dhamana na kupanga tarehe ya kusikiliza pingamizi hilo la Hati ya Mashtaka ambalo kimsingi linagusa mamlaka ya mahakama (jurisdiction). Tarehe iliyopangwa ilikuwa 17 Januari, 2025.

Tarehe 17 Januari, 2025 pingamizi kuhusu Hati ya Mashtaka lilisikilizwa kwa pande zote mbili kufanya mawasilisho kisha Mahakama ilipanga kutoa maamuzi tarehe 23 Januari, 2025.

Mara baada ya Mahakama kutoa amri ya kuahirisha Shauri mpaka tarehe 23 January 2025, Mawakili wa Dr Slaa walionesha utovu wa nidhamu kinyume na Kanuni za maadili ya Mawakili kwa kumshambulia kwa maneno yasiyo na staha Mheshimiwa Hakimu. Wakiitaka Mahakama itoe maamuzi kuhusu dhamana siku hiyohiyo.

Ombi hilo lilikataliwa na Mahakama kwakuwa hoja waliyoibua wao wenyewe linagusa mamlaka ya mahakama na kwa mujibu wa sheria katika mazingira hayo lazima kwanza mahakama ijiridhishe juu ya mamlaka yake kabla ya jambo jingine lolote.

Kwa kukurupuka, tarehe 20 Januari, 2025 ikiwa ni kabla ya tarehe ya maamuzi ya Mahakama kwenye suala la Hati ya Mashtaka lililokuwa limepangwa tarehe 23 Januari, 2025, Mawakili wa Dr. Slaa walifungua maombi mawili (2) ya marejeo (Revision), kwa hati ya dharura, katika Mahakama Kuu ya Tanzania masjala ya Dar es Salaam wakipinga mwenendo wa shauri kwa ujumla na mwenendo wa suala la dhamana. Katika mazingira haya na kwa mujibu wa sheria na taratibu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu haikuwa na mamlaka ya kutoa maamuzi ya pingamizi yaliyopangwa kutolewa tarehe 23 Januari, 2025.

Tarehe 23 na 24 Januari, 2025 Mahakama Kuu ilisikiliza maombi yaliyowasilishwa na Mawakili wa Dr. Slaa na kutoa maamuzi tarehe 30 Januari, 2025.

Jamhuri haikuridhika na maamuzi ya Mahakama Kuu hivyo ilitoa Notisi ya Kukata Rufaa kwenda Mahakama ya Rufani kwa lengo la kupata tafsiri sahihi ya hoja za kisheria zilizoamriwa na Mahakama Kuu ambayo ni Mahakama ya kumbukumbu (court of record) na maamuzi yake yanafunga Mahakama za chini na yanaweza kutumika kwenye mashauri mengine yenye mfanano (precedent).

Kutokana na notisi hiyo ya Jamhuri, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ililazimika kusimamisha usikilizwaji wa shauri hilo, kama ambavyo ilifanyika wakati Mawakili wa Dr. Slaa walipowasilisha suala lao Mahakama Kuu mpaka Mahakama ya Rufani itakapotoa maamuzi na jalada husika kurejeshwa. Katika kipindi chote hiki Dr. Slaa ataendelea kubaki mahabusu.

Ni dhahiri kuwa, kwa maelezo hayo hapo juu, chanzo cha Dr. Slaa kuendelea kukaa mahabusu ni Mawakili wake kuweka mapingamizi yasiyo na msingi pamoja na kupeleka suala hili Mahakama Kuu ambako kumezalisha maamuzi yanayopingwa na Jamhuri.

Iwapo wangesubiri kwa siku tatu maamuzi ya dhamana yatolewe pengine leo Dr. Slaa angekuwa nje huku akiendelea na kesi yake ya msingi.

Aidha, Mawakili wangekuwa weledi, wangeibua mapingamizi yao mara baada ya suala la dhamana kuamriwa.

Katika mambo ambayo Mawakili wa Dr Slaa walienda nayo Mahakama Kuu, moja ilikuwa ni kuitaka Mahakama Kuu itamke kuwa Hakimu anayesikikiza shauri hakuwa na uwezo (competency) hivyo asiendelee na shauri hilo! Suala hilo kimsingi lingeweza kuamuriwa na Mahakama ya Kisutu na wangewasilisha maombi yao kuomba Mhe. Hakimu anayesikikiza shauri ajitoe kama hawaridhiki na mwenendo wake, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ingetoa maamuzi kuhusu suala hilo pamoja na suala la dhamana au suala jingine lolote liwalo kwa wakati na hatua nyingine stahiki zingeendelea kulingana na maamuzi husika.

Upande wa Jamhuri hauwezi kulaumiwa kwa namna yoyote katika hili, Dr Slaa anateseka kwa uchaguzi wa Mawakili wanaomponza na kumsababishia aendelee kusota Mahabusu!
Na nyinyi acheni matumizi mabaya ya sheria zenu za hovyo kukandamiza watu. Au mnafikiri mnatawala nchi ya kifalme mpaka mkatae kukosolewa?
 
Nyuma ya hii witch hunt ni deflection (kupoteza lengo). Right from the beginning, Serikali inamshikilia Dr. Slaa kwa nia ya kumkomoa, bila kujali haki zake za kisheria.

Don’t underestimate what a repressive government is capable of doing. Kumbuka, Dr. Slaa anakabiliwa na mashitaka ya kosa linalodhaminika. Hakukuwa na sababu yoyote ya msingi ya hakimu kusubilisha kwa siku tatu usikilizaji wa ombi la dhamana. Ni coordinated moves za repressive government. Office ya DPP ina track record ya usiginaji wa haki za watuhumiwa!
huyu mzee naye anayataka mwenyewe umri huo wakukaa na wajukuu yeye anashinda mitandaoni na clubhouse kuisema serikali wacha ale alichokipanda
 
View attachment 3229185

Dr. Wilbroad Peter Slaa bado yupo mahabusu mpaka sasa kutokana na Mawakili wake wanaoongozwa na Peter Madeleka kukosa weledi na kufanya harakati kwenye mambo ya kitaalam

Mzee Slaa ataendelea kusota mahabusu kutokana na kile kinachodaiwa kuwa "makosa ya kiweledi yaliyofanywa na Mawakili wake kukimbilia Mahakama Kuu kabla suala la dhamana halijaamuliwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kwa mambo yaliyokuwa yanaweza kutatuliwa katika Mahakama ya Kisutu bila kupoteza muda mwingi!"

Kwa ufupi, mazingira ya kesi ya Dr. Wilbroad Slaa yapo kama ifuatavyo:

Dr. Wilbroad Slaa alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu tarehe 10 Januari, 2025 akikabiliwa na kosa moja la kusambaza taarifa za uongo mtandaoni.

Mara baada ya kusomewa Mashtaka, Mahakama ilipanga shauri hilo lirudi baada ya siku tatu yaani tarehe 13 Januari, 2025 ili iweze kusikiliza na kutolea maamuzi suala la dhamana ya Mtuhumiwa.

Katika hali ya kushangaza, kabla Mahakama haijasikiliza suala la dhamana, tarehe 13 Januari, 2025, Mawakili wa Dr. Slaa waliibuka na jambo jipya kwa kuweka pingamizi kwamba Hati ya Mashtaka iliyopo mahakamani haijakidhi vigezo vya sheria. Hivyo, Mahakama ilibidi kuweka pembeni suala la dhamana na kupanga tarehe ya kusikiliza pingamizi hilo la Hati ya Mashtaka ambalo kimsingi linagusa mamlaka ya mahakama (jurisdiction). Tarehe iliyopangwa ilikuwa 17 Januari, 2025.

Tarehe 17 Januari, 2025 pingamizi kuhusu Hati ya Mashtaka lilisikilizwa kwa pande zote mbili kufanya mawasilisho kisha Mahakama ilipanga kutoa maamuzi tarehe 23 Januari, 2025.

Mara baada ya Mahakama kutoa amri ya kuahirisha Shauri mpaka tarehe 23 January 2025, Mawakili wa Dr Slaa walionesha utovu wa nidhamu kinyume na Kanuni za maadili ya Mawakili kwa kumshambulia kwa maneno yasiyo na staha Mheshimiwa Hakimu. Wakiitaka Mahakama itoe maamuzi kuhusu dhamana siku hiyohiyo.

Ombi hilo lilikataliwa na Mahakama kwakuwa hoja waliyoibua wao wenyewe linagusa mamlaka ya mahakama na kwa mujibu wa sheria katika mazingira hayo lazima kwanza mahakama ijiridhishe juu ya mamlaka yake kabla ya jambo jingine lolote.

Kwa kukurupuka, tarehe 20 Januari, 2025 ikiwa ni kabla ya tarehe ya maamuzi ya Mahakama kwenye suala la Hati ya Mashtaka lililokuwa limepangwa tarehe 23 Januari, 2025, Mawakili wa Dr. Slaa walifungua maombi mawili (2) ya marejeo (Revision), kwa hati ya dharura, katika Mahakama Kuu ya Tanzania masjala ya Dar es Salaam wakipinga mwenendo wa shauri kwa ujumla na mwenendo wa suala la dhamana. Katika mazingira haya na kwa mujibu wa sheria na taratibu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu haikuwa na mamlaka ya kutoa maamuzi ya pingamizi yaliyopangwa kutolewa tarehe 23 Januari, 2025.

Tarehe 23 na 24 Januari, 2025 Mahakama Kuu ilisikiliza maombi yaliyowasilishwa na Mawakili wa Dr. Slaa na kutoa maamuzi tarehe 30 Januari, 2025.

Jamhuri haikuridhika na maamuzi ya Mahakama Kuu hivyo ilitoa Notisi ya Kukata Rufaa kwenda Mahakama ya Rufani kwa lengo la kupata tafsiri sahihi ya hoja za kisheria zilizoamriwa na Mahakama Kuu ambayo ni Mahakama ya kumbukumbu (court of record) na maamuzi yake yanafunga Mahakama za chini na yanaweza kutumika kwenye mashauri mengine yenye mfanano (precedent).

Kutokana na notisi hiyo ya Jamhuri, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ililazimika kusimamisha usikilizwaji wa shauri hilo, kama ambavyo ilifanyika wakati Mawakili wa Dr. Slaa walipowasilisha suala lao Mahakama Kuu mpaka Mahakama ya Rufani itakapotoa maamuzi na jalada husika kurejeshwa. Katika kipindi chote hiki Dr. Slaa ataendelea kubaki mahabusu.

Ni dhahiri kuwa, kwa maelezo hayo hapo juu, chanzo cha Dr. Slaa kuendelea kukaa mahabusu ni Mawakili wake kuweka mapingamizi yasiyo na msingi pamoja na kupeleka suala hili Mahakama Kuu ambako kumezalisha maamuzi yanayopingwa na Jamhuri.

Iwapo wangesubiri kwa siku tatu maamuzi ya dhamana yatolewe pengine leo Dr. Slaa angekuwa nje huku akiendelea na kesi yake ya msingi.

Aidha, Mawakili wangekuwa weledi, wangeibua mapingamizi yao mara baada ya suala la dhamana kuamriwa.

Katika mambo ambayo Mawakili wa Dr Slaa walienda nayo Mahakama Kuu, moja ilikuwa ni kuitaka Mahakama Kuu itamke kuwa Hakimu anayesikikiza shauri hakuwa na uwezo (competency) hivyo asiendelee na shauri hilo! Suala hilo kimsingi lingeweza kuamuriwa na Mahakama ya Kisutu na wangewasilisha maombi yao kuomba Mhe. Hakimu anayesikikiza shauri ajitoe kama hawaridhiki na mwenendo wake, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ingetoa maamuzi kuhusu suala hilo pamoja na suala la dhamana au suala jingine lolote liwalo kwa wakati na hatua nyingine stahiki zingeendelea kulingana na maamuzi husika.

Upande wa Jamhuri hauwezi kulaumiwa kwa namna yoyote katika hili, Dr Slaa anateseka kwa uchaguzi wa Mawakili wanaomponza na kumsababishia aendelee kusota Mahabusu!
tukiongea wengi huwa wanasema tuna wivu, ila ukweli ni kwamba, hakuna wakili kilaza kama MADELEKA, na inawezekana hatakuja kutokea tena. tuambieni kesi ngapi ameshinda kama sio kujitangaza yeye tu na kila kesi anayoshika huwa wateja wake wanaumia. watu wanashindwa kumwambia ila anatuaibisha sana mawakili.
 
Hili ndio jibu sahihi...story ndeeefu ya mleta mada ni blah blah tu
umeambiwa, badala ya kushughulikia ombi la dhamana, mawakili wa slaa wameleta maombi mengine ili tu kuyaweka yale ya dhamana pembeni. hatoki kwa dhamana kwa sababu mawakili wa slaa wamefanya jambo linaloifanya mahakama isimpe dhamana mapema. kwa nini wasiwithdraw hayo maombi ili lile la dhamana lishughulikiwe, ili baada ya hapo walete ombi lao tena?
 
huyu mzee naye anayataka mwenyewe umri huo wakukaa na wajukuu yeye anashinda mitandaoni na clubhouse kuisema serikali wacha ale alichokipanda
Umri huo ndiyo umri sahihi wa kukemea uovu wa watawala. He has nothing to lose at this stage in life!
 
Watu wa karibu wamemwonya mama yenu kuhusu ishu ya huyo padre lakini yeye ametia kiburi.

Avune matunda ya kiburi chake, aache hizi propaganda za kutaka kuhamisha lawama kwa mawakili ya padre.
 
Leo ningekuwa niko Dar ningebeba bango langu la FREE DR.SLAA katikati ya Mkutano wa East and Southern Afrika.
 
View attachment 3229185

Dr. Wilbroad Peter Slaa bado yupo mahabusu mpaka sasa kutokana na Mawakili wake wanaoongozwa na Peter Madeleka kukosa weledi na kufanya harakati kwenye mambo ya kitaalam

Mzee Slaa ataendelea kusota mahabusu kutokana na kile kinachodaiwa kuwa "makosa ya kiweledi yaliyofanywa na Mawakili wake kukimbilia Mahakama Kuu kabla suala la dhamana halijaamuliwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kwa mambo yaliyokuwa yanaweza kutatuliwa katika Mahakama ya Kisutu bila kupoteza muda mwingi!"

Kwa ufupi, mazingira ya kesi ya Dr. Wilbroad Slaa yapo kama ifuatavyo:

Dr. Wilbroad Slaa alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu tarehe 10 Januari, 2025 akikabiliwa na kosa moja la kusambaza taarifa za uongo mtandaoni.

Mara baada ya kusomewa Mashtaka, Mahakama ilipanga shauri hilo lirudi baada ya siku tatu yaani tarehe 13 Januari, 2025 ili iweze kusikiliza na kutolea maamuzi suala la dhamana ya Mtuhumiwa.

Katika hali ya kushangaza, kabla Mahakama haijasikiliza suala la dhamana, tarehe 13 Januari, 2025, Mawakili wa Dr. Slaa waliibuka na jambo jipya kwa kuweka pingamizi kwamba Hati ya Mashtaka iliyopo mahakamani haijakidhi vigezo vya sheria. Hivyo, Mahakama ilibidi kuweka pembeni suala la dhamana na kupanga tarehe ya kusikiliza pingamizi hilo la Hati ya Mashtaka ambalo kimsingi linagusa mamlaka ya mahakama (jurisdiction). Tarehe iliyopangwa ilikuwa 17 Januari, 2025.

Tarehe 17 Januari, 2025 pingamizi kuhusu Hati ya Mashtaka lilisikilizwa kwa pande zote mbili kufanya mawasilisho kisha Mahakama ilipanga kutoa maamuzi tarehe 23 Januari, 2025.

Mara baada ya Mahakama kutoa amri ya kuahirisha Shauri mpaka tarehe 23 January 2025, Mawakili wa Dr Slaa walionesha utovu wa nidhamu kinyume na Kanuni za maadili ya Mawakili kwa kumshambulia kwa maneno yasiyo na staha Mheshimiwa Hakimu. Wakiitaka Mahakama itoe maamuzi kuhusu dhamana siku hiyohiyo.

Ombi hilo lilikataliwa na Mahakama kwakuwa hoja waliyoibua wao wenyewe linagusa mamlaka ya mahakama na kwa mujibu wa sheria katika mazingira hayo lazima kwanza mahakama ijiridhishe juu ya mamlaka yake kabla ya jambo jingine lolote.

Kwa kukurupuka, tarehe 20 Januari, 2025 ikiwa ni kabla ya tarehe ya maamuzi ya Mahakama kwenye suala la Hati ya Mashtaka lililokuwa limepangwa tarehe 23 Januari, 2025, Mawakili wa Dr. Slaa walifungua maombi mawili (2) ya marejeo (Revision), kwa hati ya dharura, katika Mahakama Kuu ya Tanzania masjala ya Dar es Salaam wakipinga mwenendo wa shauri kwa ujumla na mwenendo wa suala la dhamana. Katika mazingira haya na kwa mujibu wa sheria na taratibu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu haikuwa na mamlaka ya kutoa maamuzi ya pingamizi yaliyopangwa kutolewa tarehe 23 Januari, 2025.

Tarehe 23 na 24 Januari, 2025 Mahakama Kuu ilisikiliza maombi yaliyowasilishwa na Mawakili wa Dr. Slaa na kutoa maamuzi tarehe 30 Januari, 2025.

Jamhuri haikuridhika na maamuzi ya Mahakama Kuu hivyo ilitoa Notisi ya Kukata Rufaa kwenda Mahakama ya Rufani kwa lengo la kupata tafsiri sahihi ya hoja za kisheria zilizoamriwa na Mahakama Kuu ambayo ni Mahakama ya kumbukumbu (court of record) na maamuzi yake yanafunga Mahakama za chini na yanaweza kutumika kwenye mashauri mengine yenye mfanano (precedent).

Kutokana na notisi hiyo ya Jamhuri, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ililazimika kusimamisha usikilizwaji wa shauri hilo, kama ambavyo ilifanyika wakati Mawakili wa Dr. Slaa walipowasilisha suala lao Mahakama Kuu mpaka Mahakama ya Rufani itakapotoa maamuzi na jalada husika kurejeshwa. Katika kipindi chote hiki Dr. Slaa ataendelea kubaki mahabusu.

Ni dhahiri kuwa, kwa maelezo hayo hapo juu, chanzo cha Dr. Slaa kuendelea kukaa mahabusu ni Mawakili wake kuweka mapingamizi yasiyo na msingi pamoja na kupeleka suala hili Mahakama Kuu ambako kumezalisha maamuzi yanayopingwa na Jamhuri.

Iwapo wangesubiri kwa siku tatu maamuzi ya dhamana yatolewe pengine leo Dr. Slaa angekuwa nje huku akiendelea na kesi yake ya msingi.

Aidha, Mawakili wangekuwa weledi, wangeibua mapingamizi yao mara baada ya suala la dhamana kuamriwa.

Katika mambo ambayo Mawakili wa Dr Slaa walienda nayo Mahakama Kuu, moja ilikuwa ni kuitaka Mahakama Kuu itamke kuwa Hakimu anayesikikiza shauri hakuwa na uwezo (competency) hivyo asiendelee na shauri hilo! Suala hilo kimsingi lingeweza kuamuriwa na Mahakama ya Kisutu na wangewasilisha maombi yao kuomba Mhe. Hakimu anayesikikiza shauri ajitoe kama hawaridhiki na mwenendo wake, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ingetoa maamuzi kuhusu suala hilo pamoja na suala la dhamana au suala jingine lolote liwalo kwa wakati na hatua nyingine stahiki zingeendelea kulingana na maamuzi husika.

Upande wa Jamhuri hauwezi kulaumiwa kwa namna yoyote katika hili, Dr Slaa anateseka kwa uchaguzi wa Mawakili wanaomponza na kumsababishia aendelee kusota Mahabusu!
Peter Madeleka siyo wakili wa kumuachia kesi yako. Yeye ni mtu wa mitandao, kika kitu cha Mahakamani yeye anaweka mitandaoni hasa Twitter (X).

Mpaka sasa zaidi ya kesi zake sijui kesi zingine ambazo ameshinda
 
Leo ningekuwa niko Dar ningebeba bango langu la FREE DR.SLAA katikati ya Mkutano wa East and Southern Afrika.
Mzee SSlaa na miaka 76 bado anaropoka ropoka badala ya kukaa kulea wajukuu. Eti anadai watu TISS wamemuambia kuhusu Rais kumpa rushwa Mbowe. Mdomo uliponza kichwa. Ngoja aendelee kunyea debe daaadadekii

Isitoshe huyu ni malaya wa siasa. Mbona wakati wa Magufuli alihama CDM akawa chawa wa Magufuli na akapewa ubalozi wa Sweden. Sasa Rais hajamuingezea mkataba ndiyo anaamua kumchafua Rais??
 
View attachment 3229185

Dr. Wilbroad Peter Slaa bado yupo mahabusu mpaka sasa kutokana na Mawakili wake wanaoongozwa na Peter Madeleka kukosa weledi na kufanya harakati kwenye mambo ya kitaalam

Mzee Slaa ataendelea kusota mahabusu kutokana na kile kinachodaiwa kuwa "makosa ya kiweledi yaliyofanywa na Mawakili wake kukimbilia Mahakama Kuu kabla suala la dhamana halijaamuliwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kwa mambo yaliyokuwa yanaweza kutatuliwa katika Mahakama ya Kisutu bila kupoteza muda mwingi!"

Kwa ufupi, mazingira ya kesi ya Dr. Wilbroad Slaa yapo kama ifuatavyo:

Dr. Wilbroad Slaa alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu tarehe 10 Januari, 2025 akikabiliwa na kosa moja la kusambaza taarifa za uongo mtandaoni.

Mara baada ya kusomewa Mashtaka, Mahakama ilipanga shauri hilo lirudi baada ya siku tatu yaani tarehe 13 Januari, 2025 ili iweze kusikiliza na kutolea maamuzi suala la dhamana ya Mtuhumiwa.

Katika hali ya kushangaza, kabla Mahakama haijasikiliza suala la dhamana, tarehe 13 Januari, 2025, Mawakili wa Dr. Slaa waliibuka na jambo jipya kwa kuweka pingamizi kwamba Hati ya Mashtaka iliyopo mahakamani haijakidhi vigezo vya sheria. Hivyo, Mahakama ilibidi kuweka pembeni suala la dhamana na kupanga tarehe ya kusikiliza pingamizi hilo la Hati ya Mashtaka ambalo kimsingi linagusa mamlaka ya mahakama (jurisdiction). Tarehe iliyopangwa ilikuwa 17 Januari, 2025.

Tarehe 17 Januari, 2025 pingamizi kuhusu Hati ya Mashtaka lilisikilizwa kwa pande zote mbili kufanya mawasilisho kisha Mahakama ilipanga kutoa maamuzi tarehe 23 Januari, 2025.

Mara baada ya Mahakama kutoa amri ya kuahirisha Shauri mpaka tarehe 23 January 2025, Mawakili wa Dr Slaa walionesha utovu wa nidhamu kinyume na Kanuni za maadili ya Mawakili kwa kumshambulia kwa maneno yasiyo na staha Mheshimiwa Hakimu. Wakiitaka Mahakama itoe maamuzi kuhusu dhamana siku hiyohiyo.

Ombi hilo lilikataliwa na Mahakama kwakuwa hoja waliyoibua wao wenyewe linagusa mamlaka ya mahakama na kwa mujibu wa sheria katika mazingira hayo lazima kwanza mahakama ijiridhishe juu ya mamlaka yake kabla ya jambo jingine lolote.

Kwa kukurupuka, tarehe 20 Januari, 2025 ikiwa ni kabla ya tarehe ya maamuzi ya Mahakama kwenye suala la Hati ya Mashtaka lililokuwa limepangwa tarehe 23 Januari, 2025, Mawakili wa Dr. Slaa walifungua maombi mawili (2) ya marejeo (Revision), kwa hati ya dharura, katika Mahakama Kuu ya Tanzania masjala ya Dar es Salaam wakipinga mwenendo wa shauri kwa ujumla na mwenendo wa suala la dhamana. Katika mazingira haya na kwa mujibu wa sheria na taratibu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu haikuwa na mamlaka ya kutoa maamuzi ya pingamizi yaliyopangwa kutolewa tarehe 23 Januari, 2025.

Tarehe 23 na 24 Januari, 2025 Mahakama Kuu ilisikiliza maombi yaliyowasilishwa na Mawakili wa Dr. Slaa na kutoa maamuzi tarehe 30 Januari, 2025.

Jamhuri haikuridhika na maamuzi ya Mahakama Kuu hivyo ilitoa Notisi ya Kukata Rufaa kwenda Mahakama ya Rufani kwa lengo la kupata tafsiri sahihi ya hoja za kisheria zilizoamriwa na Mahakama Kuu ambayo ni Mahakama ya kumbukumbu (court of record) na maamuzi yake yanafunga Mahakama za chini na yanaweza kutumika kwenye mashauri mengine yenye mfanano (precedent).

Kutokana na notisi hiyo ya Jamhuri, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ililazimika kusimamisha usikilizwaji wa shauri hilo, kama ambavyo ilifanyika wakati Mawakili wa Dr. Slaa walipowasilisha suala lao Mahakama Kuu mpaka Mahakama ya Rufani itakapotoa maamuzi na jalada husika kurejeshwa. Katika kipindi chote hiki Dr. Slaa ataendelea kubaki mahabusu.

Ni dhahiri kuwa, kwa maelezo hayo hapo juu, chanzo cha Dr. Slaa kuendelea kukaa mahabusu ni Mawakili wake kuweka mapingamizi yasiyo na msingi pamoja na kupeleka suala hili Mahakama Kuu ambako kumezalisha maamuzi yanayopingwa na Jamhuri.

Iwapo wangesubiri kwa siku tatu maamuzi ya dhamana yatolewe pengine leo Dr. Slaa angekuwa nje huku akiendelea na kesi yake ya msingi.

Aidha, Mawakili wangekuwa weledi, wangeibua mapingamizi yao mara baada ya suala la dhamana kuamriwa.

Katika mambo ambayo Mawakili wa Dr Slaa walienda nayo Mahakama Kuu, moja ilikuwa ni kuitaka Mahakama Kuu itamke kuwa Hakimu anayesikikiza shauri hakuwa na uwezo (competency) hivyo asiendelee na shauri hilo! Suala hilo kimsingi lingeweza kuamuriwa na Mahakama ya Kisutu na wangewasilisha maombi yao kuomba Mhe. Hakimu anayesikikiza shauri ajitoe kama hawaridhiki na mwenendo wake, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ingetoa maamuzi kuhusu suala hilo pamoja na suala la dhamana au suala jingine lolote liwalo kwa wakati na hatua nyingine stahiki zingeendelea kulingana na maamuzi husika.

Upande wa Jamhuri hauwezi kulaumiwa kwa namna yoyote katika hili, Dr Slaa anateseka kwa uchaguzi wa Mawakili wanaomponza na kumsababishia aendelee kusota Mahabusu!
Kwa kiasi kikubwa mawakili wa Tanzania wana harakati Za kitoto sana!
 
Back
Top Bottom