Dr. Slaa turns 70: Bado ni "think tank" wa CHADEMA?

Dr. Slaa turns 70: Bado ni "think tank" wa CHADEMA?

Unaweza kuwa na miaka 35 lakini ubongo wako ukawa ukafikiria kama kikongwe cha miaka 90.

Ila haiwezekani kikongwe wa miaka 70 kuwa na ubongo wenye kufikiria kama wa mtu mwenye miaka 35. Naona tupo pamoja.
 

Wilbrod Peter Slaa


Wilbrod Peter Slaa (born on October 29 1948 ) was a member of parliament of the state of Karatu in parliament national inTanzania . [SUP][1][/SUP] After the contest for the presidency in 2010 is not an MP again, but he continues to be the secretary general of the party Chadema .


Jakaya Kikwete

Jakaya Mrisho Kikwete (born 7 October 1950) is the 4th and current President of the United Republic of Tanzania. Prior to his election in 2005, he was the Minister of Foreign Affairs for ten years under his predecessor. He has also served as theChairperson of the African Union in 2008/09 and the Chairman of the Southern African Development Community Troika on Peace, Defence and Security in 2012/13.

Edward Lowassa

Edward Ngoyai Lowassa (born August 26, 1953) is a Tanzanian politician who wasPrime Minister of Tanzania from 2005 to 2008, serving under President Jakaya Kikwete.


Samuel Sitta

Samuel John Sitta (born 18 December 1942) is a Tanzanian CCM politician andMember of Parliament for Urambo East. He is the current Minister of East African Cooperation.[SUP][1]
[/SUP][SUP]

Source: [/SUP]
[SUP]The Free Encyclopedia.[/SUP][SUP]

NB: HAMY-D, [/SUP]
[SUP]Leta habari nyingine hii imechacha, haiuziki. Naona Dr.anakusumbua sana.[/SUP]
RIGHT umemsahau mtu muhimu sana ndani ya chama. Hivi mzee Kingunge hajagonga karne kweli?

EL_1.jpg
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umetoa ushauri mzuri sana kwa chadema yani unawatakia mema ndio maana una washauri inabidi wakupongeze. Hakika nimeanza kuamini maneno ya sitta kuwa chadema hina safu nyembamba sana ya viongozi ndio maana wana wategemea Dr.W.Slaa na Tundu Lissu kwa kila jambo na roho ya chadema hiko kwa hao watu.

Kwa kuwategemea hao watu pekee wanazidi kuwachosha maana wanafanya kazi kubwa ndio maana wana dai kulipwa kama wafalme. Kwa kweli chadema watafute wakina dr slaa wengine.
 
Last edited by a moderator:
Mbona kingunge yuko kwenye bunge la katiba! Mbona hujasema upumzike vijana wachukue nafasi yake? Inauma eti, usikurupuke kuandika mambo yasiyo na mantic humu jamvini.
 
Hey haym, utahudhuria kitchen party kesho? Let me know if you will be there?
 
MKUUU SOMA HAPA PENDEKEZO JEMA LA HAMY-D
Ningependekeza Dr Slaa apelekwe kwenye baraza la wazee la chama na nafasi yake ichukuliwe na Tundu Lissu ili kukipa uimara chama ili kiweze kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Mkuu,

Asante sana kwa kumuelewesha huyo mjumbe. Yeye anadhani watu wote tuna chuki na CHADEMA!
 
Last edited by a moderator:
What about Sitta ? Watu wengi wamemtaja hapa, na ana umri zaidi ya Dr. Slaa, lakini kwa sababu wewe ni mbabaishaji na mburula naona unakwepa kujibu, ila unajibu vitu vingine tu !

Warioba sio mwanasiasa, ni mstaafu. Hapa tuna ongelea wanasiasa wakongwe wenye nia ya madaraka. Please focus.
 
hata wewe unaamini kila bandiko pasipo kutumia ubongo wako kidogo?

mkuu hebu weka wazi uongo kwenye hili bandiko.

Nakumbuka sitta alisema hivi.
chadema hina safu nyembamba ya viongozi
 
Kwa maneno yako na ya wana CCM wenzio Mzee Warioba hakuwa mtu sahihi kutuletea Katiba mpya kwa sababu ya umri wake? Augustino Ramadhani, Prof Baregu, Mzee Butiku n.k.....Kwa maneno mengine Kingunge Ngombale Mwiru hakupaswa kuwepo kwenye bunge maalum?......................Na Chama kizee cha miaka 50 kilipaswa kuwa kimefutika kwenye siasa za Tanzania?
 
mkuu hebu weka wazi uongo kwenye hili bandiko.

Nakumbuka sitta alisema hivi.
chadema hina safu nyembamba ya viongozi

Uongo ni kwamba Dr. Slaa hajafikisha huo umri wa miaka 70. Amezaliwa Oct, 1948, wakati Rais J.K amezaliwa Oct,1950. Hesabu rahisi tu ukitoa utapata jibu. Maelezo zaidi soma post # 39.
 
WanaJF,

Kwa sasa Dr Slaa ametimiza miaka 70 rasmi lakini bado ameng'ang'ania nafasi kubwa ya kimaamuzi kwenye chama. Jambo ambalo ni hatari kubwa.

Kwa tafiti fupi iliyowahi kufanywa ilionyesha kuwa viongozi wengi waliowahi kuingiza nchi zao kwenye vita ni wale wenye umri mkubwa kama huo wa Dr Slaa.

Hivyo maamuzi ya CHADEMA kumtumia Dr Slaa mpaka sasa yanaweza kuhatarisha amani hasa kwenye kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na maamuzi ambayo yanaweza kufanywa na Dr Slaa kutokana na umri wake.

Aidha, itakumbukwa miaka ya hivi karibuni Dr Slaa alikuwa akitoa kauli na ajabu ajabu na zenye viashiria vya kutaka kuleta uvunjifu wa amani. Sasa pata picha hali itakuwaje kwenye uchaguzi?

Ningependekeza Dr Slaa apelekwe kwenye baraza la wazee la chama na nafasi yake ichukuliwe na Tundu Lissu ili kukipa uimara chama ili kiweze kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Aidha una matatizo ya kujitakia ya akili au umerogwa...au inawezekana ni mtumiaji mzuri wa mihadarati. You are annoyingly obsessed with Dkt Slaa...yaani mpaka unakera. Get a life,sadist yob!
 
WanaJF,

Kwa sasa Dr Slaa ametimiza miaka 70 rasmi lakini bado ameng'ang'ania nafasi kubwa ya kimaamuzi kwenye chama. Jambo ambalo ni hatari kubwa.

Kwa tafiti fupi iliyowahi kufanywa ilionyesha kuwa viongozi wengi waliowahi kuingiza nchi zao kwenye vita ni wale wenye umri mkubwa kama huo wa Dr Slaa.

Hivyo maamuzi ya CHADEMA kumtumia Dr Slaa mpaka sasa yanaweza kuhatarisha amani hasa kwenye kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na maamuzi ambayo yanaweza kufanywa na Dr Slaa kutokana na umri wake.

Aidha, itakumbukwa miaka ya hivi karibuni Dr Slaa alikuwa akitoa kauli na ajabu ajabu na zenye viashiria vya kutaka kuleta uvunjifu wa amani. Sasa pata picha hali itakuwaje kwenye uchaguzi?

Ningependekeza Dr Slaa apelekwe kwenye baraza la wazee la chama na nafasi yake ichukuliwe na Tundu Lissu ili kukipa uimara chama ili kiweze kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu ujao.

SAMAHANI HAMMY-D hivi KINGUNGE ana umri gani??
 
Kumbe wewe HAMY-D ni m-pumba-vu namna hii....Kumbe hata umri wa Dr. Slaa huufahamu halafu unaleta mabandiko ya kipuuzi hivi !. Mtu aliyezaliwa 1948 kwa sasa ana miaka 66.

Kweli wewe ni mtu m-pumba-vu i.e. mtu asiyeelewa hata akielimishwa sana !
 
WanaJF,

Kwa sasa Dr Slaa ametimiza miaka 70 rasmi lakini bado ameng'ang'ania nafasi kubwa ya kimaamuzi kwenye chama. Jambo ambalo ni hatari kubwa.

Kwa tafiti fupi iliyowahi kufanywa ilionyesha kuwa viongozi wengi waliowahi kuingiza nchi zao kwenye vita ni wale wenye umri mkubwa kama huo wa Dr Slaa.

Hivyo maamuzi ya CHADEMA kumtumia Dr Slaa mpaka sasa yanaweza kuhatarisha amani hasa kwenye kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na maamuzi ambayo yanaweza kufanywa na Dr Slaa kutokana na umri wake.

Aidha, itakumbukwa miaka ya hivi karibuni Dr Slaa alikuwa akitoa kauli na ajabu ajabu na zenye viashiria vya kutaka kuleta uvunjifu wa amani. Sasa pata picha hali itakuwaje kwenye uchaguzi?

Ningependekeza Dr Slaa apelekwe kwenye baraza la wazee la chama na nafasi yake ichukuliwe na Tundu Lissu ili kukipa uimara chama ili kiweze kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Hao wenye umri wa miaka 63 unaowaamini wewe ebu fuatilia matamko yao labda nikukumbushe haya machache
1. Ukitaka KULA LAZIMA ULIWE
2. Mimba wanazopata wanafunzi wa kike ni kwa SABABU YA VIHEREHERE VYAO
3. WanaCCM acheni unyonge mnatolewa macho mnaangalia tu.
Unaposema Dr. Slaa ana kauli za uchochezi vipi hiyo kauli niliyoiwekea BLUE inaashiria nini?

 
Ila haiwezekani kikongwe wa miaka 70 kuwa na ubongo wenye kufikiria kama wa mtu mwenye miaka 35. Naona tupo pamoja.
na bado atawapeleka puta sana... endeleeni na upuuuz wenu weww matela mapumbe
 
Back
Top Bottom