Dr. Slaa turns 70: Bado ni "think tank" wa CHADEMA?

Dr. Slaa turns 70: Bado ni "think tank" wa CHADEMA?

Kwani katiba inakataza mtu mwenye umri kuanzia miaka 70 asiwe kiongozi wa hii nchi?

Katiba ya nchi haiwezi kusema kila kitu mkuu. Kuna mambo mengine tunajiamulia tu wenyewe kwa kufuata hekima na busara.

Kwenye uzi mkuu nimeonyesha baadhi ya madhara yatokanayo na maamuzi ya watu wenye umri mkubwa hasa wanapokuwa na madaraka ya juu. Hilo ni fundisho kwetu na kwake Dr Slaa kuwa ni wakati sasa wakupisha wengine.
 
Nenda kwenye histori ya Kenya Marehemu mzee Kenyatta alishawaambia wananchi wake pamoja na kua na umri wa miaka 75 lakini alichokua anamfanyia Mama Ngina usikua mpaka anaomba maji!

Hilo nalo neno! Angekuwa mzee asingepata mtoto kwa Josephine. Pole naona Slaa anawanyima usingizi
 
WanaJF,

Kwa sasa Dr Slaa ametimiza miaka 70 rasmi lakini bado ameng'ang'ania nafasi kubwa ya kimaamuzi kwenye chama. Jambo ambalo ni hatari kubwa.

Kwa tafiti fupi iliyowahi kufanywa ilionyesha kuwa viongozi wengi waliowahi kuingiza nchi zao kwenye vita ni wale wenye umri mkubwa kama huo wa Dr Slaa.

Hivyo maamuzi ya CHADEMA kumtumia Dr Slaa mpaka sasa yanaweza kuhatarisha amani hasa kwenye kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na maamuzi ambayo yanaweza kufanywa na Dr Slaa kutokana na umri wake.

Aidha, itakumbukwa miaka ya hivi karibuni Dr Slaa alikuwa akitoa kauli na ajabu ajabu na zenye viashiria vya kutaka kuleta uvunjifu wa amani. Sasa pata picha hali itakuwaje kwenye uchaguzi?

Ningependekeza Dr Slaa apelekwe kwenye baraza la wazee la chama na nafasi yale ichukuliwe na Tundu Lissu ili kukipa uimara CHADEMA haswa kwenye kuelekea kwenye uchaguzi.

..You seem to be suffering from Slaaphoebic!!! get a life dude!!!
 
Nenda kwenye histori ya Kenya Marehemu mzee Kenyatta alishawaambia wananchi wake pamoja na kua na umri wa miaka 75 lakini alichokua anamfanyia Mama Ngina usikua mpaka anaomba maji!

Wawaza ngono tu kijana.
CDM mna kazi
 
Katiba ya nchi haiwezi kusema kila kitu mkuu. Kuna mambo mengine tunajiamulia tu wenyewe kwa kufuata hekima na busara.

Kwenye uzi mkuu nimeonyesha baadhi ya madhara yatokanayo na maamuzi ya watu wenye umri mkubwa hasa wanapokuwa na madaraka ya juu. Hilo ni fundisho kwetu na kwake Dr Slaa kuwa ni wakati sasa wakupisha wengine.
Mbona hujashauri kuwa Sitta aachie ngazi? Maana ana miaka 71 sasa je tutapata kweli katiba bora kwa kuongozwa na mzee??

Mshauri Sitta ndo uende kwa Slaa maana katiba ni sensitive sana
 
Mbona akina Walioba (73) na Salim (72) bado wamepewa jukumu tena zito la kutuandikia Katiba!! Kama 70 ni tatizo kawaondoe akina Kingunge kwenye bunge la katiba .................... na akina Malecela, Mkapa, Mwinyi na the likes CCM!!
 
Katiba ya nchi haiwezi kusema kila kitu mkuu. Kuna mambo mengine tunajiamulia tu wenyewe kwa kufuata hekima na busara.

Kwenye uzi mkuu nimeonyesha baadhi ya madhara yatokanayo na maamuzi ya watu wenye umri mkubwa hasa wanapokuwa na madaraka ya juu. Hilo ni fundisho kwetu na kwake Dr Slaa kuwa ni wakati sasa wakupisha wengine.
Kwahiyo mzee malecela alivyokuwa anautaka urais na yeye alikuwa 'anaharibu'?
 
..You seem to be suffering from Slaaphoebic!!! get a life dude!!!

Nina pesa za kukulisha wewe bila kunifanyia kazi yoyote mpaka wanakuingiza kaburini.

Kinachoibua concern yangu mimi hapa ni uwezekano wa uvunjifu wa amani kutokana na watu aina ya Dr Slaa.
 
Nina pesa za kukulisha wewe bila kunifanyia kazi yoyote mpaka wanakuingiza kaburini.

Kinachoibua concern yangu mimi hapa ni uwezekano wa uvunjifu wa amani kutokana na watu aina ya Dr Slaa.

Magamba mwaka 2015 lazima Dr.Slaa awapakue nyie Magamba....
 
Mbona akina Walioba (73) na Salim (72) bado wamepewa jukumu tena zito la kutuandikia Katiba!! Kama 70 ni tatizo kawaondoe akina Kingunge kwenye bunge la katiba .................... na akina Malecela, Mkapa, Mwinyi na the likes CCM!!

Wewe ndio uelewi hata kinacho zungumzwa hapa. Bila shaka ID yako ina hakisi uelewa wako.
 
HAMY-D umeanzisha mada yenye heading nzuri sana na ungeweza kujenga hoja bora sana ukisimamia mantiki ya heading yako hivyo kuzalisha mjadala mpana na wenye mawazo ya kujenga lakini content ya thread yako yenyewe umeivuruga kwa mipasho.

Jamani siasa haziko namna hii labda hamjafundwa vizuri maana hata kama ni propaganda hazipigwi kwa staili hii.
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday Dr.W.Slaa

chadema hina safu nyembamba ya viongozi-sitta.
 
Last edited by a moderator:
Unaweza kuwa na miaka 35 lakini ubongo wako ukawa ukafikiria kama kikongwe cha miaka 90.
 
HAMY-D umeanzisha mada yenye heading nzuri sana na ungeweza kujenga hoja bora sana ukisimamia mantiki ya heading yako hivyo kuzalisha mjadala mpana na wenye mawazo ya kujenga lakini content ya thread yako yenyewe umeivuruga kwa mipasho.

Jamani siasa haziko namna hii labda hamjafundwa vizuri maana hata kama ni propaganda hazipigwi kwa staili hii.

MKUUU SOMA HAPA PENDEKEZO JEMA LA HAMY-D
Ningependekeza Dr Slaa apelekwe kwenye baraza la wazee la chama na nafasi yake ichukuliwe na Tundu Lissu ili kukipa uimara chama ili kiweze kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu ujao.
 
Last edited by a moderator:
WanaJF,

Kwa sasa Dr Slaa ametimiza miaka 70 rasmi lakini bado ameng'ang'ania nafasi kubwa ya kimaamuzi kwenye chama. Jambo ambalo ni hatari kubwa.

Kwa tafiti fupi iliyowahi kufanywa ilionyesha kuwa viongozi wengi waliowahi kuingiza nchi zao kwenye vita ni wale wenye umri mkubwa kama huo wa Dr Slaa.

Hivyo maamuzi ya CHADEMA kumtumia Dr Slaa mpaka sasa yanaweza kuhatarisha amani hasa kwenye kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na maamuzi ambayo yanaweza kufanywa na Dr Slaa kutokana na umri wake.

Aidha, itakumbukwa miaka ya hivi karibuni Dr Slaa alikuwa akitoa kauli na ajabu ajabu na zenye viashiria vya kutaka kuleta uvunjifu wa amani. Sasa pata picha hali itakuwaje kwenye uchaguzi?

Ningependekeza Dr Slaa apelekwe kwenye baraza la wazee la chama na nafasi yake ichukuliwe na Tundu Lissu ili kukipa uimara chama ili kiweze kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu ujao.


Wilbrod Peter Slaa


Wilbrod Peter Slaa (born on October 29 1948 ) was a member of parliament of the state of Karatu in parliament national inTanzania . [SUP][1][/SUP] After the contest for the presidency in 2010 is not an MP again, but he continues to be the secretary general of the party Chadema .


Jakaya Kikwete

Jakaya Mrisho Kikwete (born 7 October 1950) is the 4th and current President of the United Republic of Tanzania. Prior to his election in 2005, he was the Minister of Foreign Affairs for ten years under his predecessor. He has also served as theChairperson of the African Union in 2008/09 and the Chairman of the Southern African Development Community Troika on Peace, Defence and Security in 2012/13.

Edward Lowassa

Edward Ngoyai Lowassa (born August 26, 1953) is a Tanzanian politician who wasPrime Minister of Tanzania from 2005 to 2008, serving under President Jakaya Kikwete.


Samuel Sitta

Samuel John Sitta (born 18 December 1942) is a Tanzanian CCM politician andMember of Parliament for Urambo East. He is the current Minister of East African Cooperation.[SUP][1]
[/SUP][SUP]

Source: [/SUP]
[SUP]The Free Encyclopedia.[/SUP][SUP]

NB: HAMY-D, [/SUP]
[SUP]Leta habari nyingine hii imechacha, haiuziki. Naona Dr.anakusumbua sana.[/SUP]
 
Nina pesa za kukulisha wewe bila kunifanyia kazi yoyote mpaka wanakuingiza kaburini.

Kinachoibua concern yangu mimi hapa ni uwezekano wa uvunjifu wa amani kutokana na watu aina ya Dr Slaa.

...you sound to be stupid and retarded!! I wouldn't take your bloody money in the first place! Don't think you can buy everyone!!! I simply cannot sell my integrity for money like you do. The value of a human being cannot be measured by political or tribal affiliations. Your attitude towards people who do not agree with CCM especially those who tell the truth like it is, leaves a lot to be desired.
 
Back
Top Bottom