Hizo pesa za ubunge analipwa na mama yako? Acha longolongo jadili jambo ulilo na uhakika nalo sio stori za mabanda ya kuuzia makubazi na kanzu
una kichaa
Hizo pesa za ubunge analipwa na mama yako? Acha longolongo jadili jambo ulilo na uhakika nalo sio stori za mabanda ya kuuzia makubazi na kanzu
Hata hivyo siyo yeye anayeamua kugombea,bali ni watu
wanampendekeza,huyu Dk ana akili za kuzaliwa,wengine
hawaoni hizi akili kubwa,wamebaki kwenye akili ndogo.
Tanzania hatutaendelea kama tutaendelea na siasa za aina
hii nyepesi nyepesi watu wanachukua mali sisi tunabaki
kuwatetea.hii ajabu kabisa ya Dunia.
anajua sakata la zitto limesha mnyonga bado ukatibu wake alopitisha muda kwa miaka sasa
Kiongozi wa watu huwa na maono ya mbali,
Dr Slaa ni mfano wa kuigwa Tanzania, nitapigania kwa uwezo wangu wote kuhakikisha taifa lipate kiongozi kama yeye!
Huyu mzee akikaa pembeni ndio mtakuja kutambua kisawasawa thamani yake.......wengine tunaojua potential yake ktk siasa za nchi hii daima tunamheshimu kwa muda wake kusimamia ukweli bila woga kwa kujali wanyonge.....
Huyo mzee ni mnafiki tu . Hivi unadhani radhi ya mke mchezo ? Potential kwa Ben saa 8 aliyemfuata usiku wa manane kumwambia kuwa ile sumu ya kumuwekea Zitto haijafanikiwa kule kwake Tegeta
Huyo mzee ni mnafiki tu . Hivi unadhani radhi ya mke mchezo ? Potential kwa Ben saa 8 aliyemfuata usiku wa manane kumwambia kuwa ile sumu ya kumuwekea Zitto haijafanikiwa kule kwake Tegeta
unajua riziwani, miraji,na dokta kila mtu ana mama yake? si watoto wa mama salma?jiulize nani mzinzi?
Grow up be like men..!!Hata akigombea atapoteza muda wake bure watanzania wameisha wajua Chadema ni matapeli wa kisiasa.
Unajua kilichofanya Slaa akafukuzwa Upadri?
Babu usoma mchezo! anakumbuka alipo popolewa kwa mawe[emoji547][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Babu kachoka