Mshaurini atafute jiko kwanza.
Ukubwa dawa....inamaana slaa jana mke ama?
Mshaurini atafute jiko kwanza.
![]()
Katibu Mkuu wa Chadema Dk Wilbrod Slaa
DK. Willbroad Slaa "Sifikirii kuelekeza nguvu zangu kwenye kuwania urais 2015 wapo watu wengi wenyesifa ktk kundi la UKAWA.Kila kitu kitafanywa kwa wakati muafaka,kazi iliyopo mbele yangu ni kupigania umoja wetu wa UKAWA ili kuleta ushindani wa kweli katika uchaguzi 2015.
Akizungumzia hatua ya UKAWA kususia Bunge Maalumu la Katiba Dk. Slaa alisema umoja huo uko sahihi kwani umesimama upande wa wananchi, niaheshimu uamuzi wa Viongozi wangu Mh Freeman Mbowe Prof Ibrahim Lipumba na James Mbatia.
UKAWA imebeba maoni ya wananchi na suala la kutengeneza Katiba sio suala la rais,serikali wala chama chochote bali ni la wananchi.
Serikali ina viongozi vigeugeu kwa sababu ni wao ndio waliosaini rasimu ya Katiba mpya, lkn cha ajaabu wao ndio wanageuka na kutaka yajadiliwe mambo ambayo hayamo ndani ya rasimu ya Tume ya Jaji Joseph Warioba."
Chanzo:Mtanzania Juni 11-2014
My take😀r slaa ni kiongozi mtiifu
Waambie... waambie!Kikwete aliiba kura za urais na ubunge? Mbona mliambulia wabunge 23 tu? hata Slaa angeshinda urais angewezaje ku-survive na wabunge 23? Uongo mwingine hata haufanani na ukweli.
nani kakwambia za ubunge hazikuibiwa,mlikimbia na masanduku ya kura na sehemu nyingine mmeua watu na kutangaza washindi kwa nguvu,sehemu mlizokubali kushindwa ni zile ambazo nguvu ya umma ilishinikiza mkaona hamna jinsi mkakubali yaishe....
Mshaurini atafute jiko kwanza.
mkuu hivi ulishasikia kauli yoyote ya JK kumkandia DR??? kabla au hata baada ya Matokeo ya Uchaguzi 2010?
Tafakari... JK anaona mbali sana.
Slaa hataki posho za ubunge. Kwake yeye ni Tanzania kwanza mengine baadae
JK hawezi kumsema vibaya mtu aliye mpora Urais. Anajitahidi sana kumkwepa kwa maana Kila akimwona dhamiri inamshitaki
Mkuu Ritz, hebu nipe darsa kuhusu uhusiano wa iliyokuwa TANU ya wazee wa Tambaza na CCM ya akina Nape.Hata akigombea atapoteza muda wake bure watanzania wameisha wajua Chadema ni matapeli wa kisiasa.
Unahangaika sana kijana Dr. Anawanyima pumzi hta yule mgombea wako anajuta kumfahamu Dr.Huyu mzee analipwa pesa za ubunge kama kawa na cdm.wewe hujui hilo kaa kimya.
Umesahau Mama yako ndiye kitu chake?Mshaurini atafute jiko kwanza.
Ndiyo vizuri ili mama yako achukue nafasi yakeJosephine atamkimbia sasa hivi!
Mshaurini atafute jiko kwanza.
Huyu mzee analipwa pesa za ubunge kama kawa na cdm.wewe hujui hilo kaa kimya.