Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

Hili nalo ni tatizo,kwa mtu asiye ona mbali,"hivi unafanishaje urais na mke?hivi kweli tanzania mnataka tuchague nani kati ya fisadi,mlarushwa,na mtu ambae hana mke! halafu mtu na elimu yake anataka atushawishi kwamba bora rais fisadi au mralushwa? hii ni hatari!huyu nae ni fisadi kama mafisadi wengine,uongonzi ni zaidi ya mke,mbona hamsemi kama tuna viongozi wenye wake lakini nchi yetu inasukumwa tu kama mlevi wa mataputapu?(pombe za kienyeji)"hamna hoja ya msingi muwaachie wasio na wake waiiongoze nchi isonge mbele,kuliko ngonjera mnazo imba hizo,
 
Kama huyu wa sasa na deal zake za sembe!mmh nchi hii,mengi tumeyaona!
 
MH.ulisha tangaza jina tuna tegemea ndiwe mwenye kupeperusha benders usituangushe
 
Paukwa pakawa,ngoja tuone sarakasi zeni ccm zitawafikisha wapi,manake wametangaza ni hata watumia cowbell.
 
Ukweli sku zote unauma ile mbaya big up Dr. Sina haja yakupoteza mda wangu na bk7
 
Hili nalo ni tatizo,kwa mtu asiye ona mbali,"hivi unafanishaje urais na mke?hivi kweli tanzania mnataka tuchague nani kati ya fisadi,mlarushwa,na mtu ambae hana mke! halafu mtu na elimu yake anataka atushawishi kwamba bora rais fisadi au mralushwa? hii ni hatari!huyu nae ni fisadi kama mafisadi wengine,uongonzi ni zaidi ya mke,mbona hamsemi kama tuna viongozi wenye wake lakini nchi yetu inasukumwa tu kama mlevi wa mataputapu?(pombe za kienyeji)"hamna hoja ya msingi muwaachie wasio na wake waiiongoze nchi isonge mbele,kuliko ngonjera mnazo imba hizo,

Mkuu swala la kuoa ama kuolewa ni maamuzi ya mtu binafsi na usipende kumchumguza mtu sana kuhusu ndoa ninavyofahamu ndoa huwa nimakubaliano ya watu wawili muoaj na muolewa hvyo mtu anaweza kuoa au kuolewa bila kuwatangazia maana nimakubaliano yao unaweza kumdadis mtu sana mwisho akatoa jbu kuwa mkewe ni mamako hapo utabisha sasa!! ee e maana wao ndyo wanaojua makubaliano yao labda walitaka iwe sili ndoa yao.
 
Sisi ukawa tuanaendesha mambo yetu kwa uhakika, sis wanaukawa ndo tunaamua nani anafaa kugombea hiyo nafasi na hatakama hana mpango huo kama anafaa tuna mushawishi kama CHADEMA tulivyofanya ktk uchaguzi wa 2010. Kama tutaona bado DR anafaa na ndo hivyo tutamshawishi make nikiboko cha mafisadi.
 
Hata akigombea atapoteza muda wake bure watanzania wameisha wajua Chadema ni matapeli wa kisiasa.

Mi waendelee kunitapeli tu uzuri najipeleka mwenyewe bila shuruti,mnaonaje CCM mkiacha kutumia vyombo vya dola kunitapeli badala yake nijilete mwenyewe kutapeliwa?
 
Kiukweli viongozi wa juu wa chadema akiwemo Dr.slaa wamekifanya chama kupoteza mwelekeo
 
Rais wa yanga au FM academia? Nyie mnaona hii nchi ni kama malapa ya msalani?? Kila mtu anavaa tu wala hayaitaji size

Wanaona km majangili wanavyoona ikulu kila mtu anaweza kwenda, hata kuuza sembe, kupewa suti na zawadi kedekede! List ya watu wanaotaka kwenda Ikulu ni ndeeefu mno! Idadi kubwa ipo CCM, na hii inatokana na uzembe ulioonyeshwa na JK kiasi kwamba hata majuha yameona uraisi ni sawa na ukiranja!!!
 
Mkuu swala la kuoa ama kuolewa ni maamuzi ya mtu binafsi na usipende kumchumguza mtu sana kuhusu ndoa ninavyofahamu ndoa huwa nimakubaliano ya watu wawili muoaj na muolewa hvyo mtu anaweza kuoa au kuolewa bila kuwatangazia maana nimakubaliano yao unaweza kumdadis mtu sana mwisho akatoa jbu kuwa mkewe ni mamako hapo utabisha sasa!! ee e maana wao ndyo wanaojua makubaliano yao labda walitaka iwe sili ndoa yao.

Sindano imeingia hiyo!!!
 
Kiukweli viongozi wa juu wa chadema akiwemo Dr.slaa wamekifanya chama kupoteza mwelekeo

Baada ya kumterminate ZZK, chama kimevuruga mpango wa CCM kabisa! Sasa sijui CCM watashika tawi gani manake la Shibuda nalo linaning'inia!!
 
Kiukweli viongozi wa juu wa chadema akiwemo Dr.slaa wamekifanya chama kupoteza mwelekeo

kama huo ndio ukweli haya hebu sema uongo ili tuulinganishe na huo ukweli wako.

huwezi kuishi kwenye chama cha matapeli ukawa kweli au ukaishi kwenye choo cha shimo ukanukia perfum
 
Back
Top Bottom