Ungekuwa mfuatiliaji mzuri ungeona mara nyingi tu nimeomba radhi.
Kuomba radhi ni jambo la kiungwana.
Pana ushauri na kejeli, umewahi kumwambia kosa lake?
Ungekuwa mfuatiliaji mzuri ungeona mara nyingi tu nimeomba radhi.
Kuomba radhi ni jambo la kiungwana.
😛eace: sio safari za kikwete zisizo na tija kwa taifa.kazi yake kuhangaika na vimada wake wa marekani. Viva dr slaa.
Hivi kuna fataani mkubwa zaidi ya shetani Mohamed Saidi na wafuasi wake Faiza Fox na Ritz?
sasa ndo umeandka nn hapa we gamba?!akili za mait hzi.
Pole inaonekana hujawahi kufanya ziara za kimataifa.
Ndio tatizo la kuolewa ukiwa na umri mdogo
Nakuuliza unajua maana ya "state reception"?
Nyie tianeni ujinga tu lakini itabaki historia tu kuwa alishawahi kumsindikiza ikulu JK 2010.
Mashumbushi ni mke au mchumba wa Dk. Slaa?
Nakuuliza unajua maana ya "state reception"?
Yaani katika madada wa nguvu na wanaojua Vitu wee ni mmoja wao. Big up sana my sister from another mother. Waelimishe hao ili wajuwe na wao maana ya a state reception. Wanakurupuka sana hawa Machamdomo jamani.Hivi hapo kuna "state reception"?
Kama ni kweli kuna "state reception" basi Dokta kachemka, na waliomualika hiyo "state reception" wamemdharau sana.
Dah! bila wageni waalikwa wengine?
Pole dokta slaa, pole kivuli cha Rweyemamu aliyeleta hizi taarifa, hajui hata maana ya "state reception". Na misukule wanashangilia!
Hata reception ya ndoa ina wageni waalikwa licha ya hii mlioibatiza "state reception".
bila kusahau kupanda bembea#
Nakuuliza unajua maana ya "state reception"?
"ziara za kimataifa" ndio zipi hizo? naomba nifahamishe kijana.
Nakuuliza unajua maana ya "state reception"?
Pana ushauri na kejeli, umewahi kumwambia kosa lake?
Hivi huyp Gavana hana jina? Umbumbumbu bwana. Ukitaka vichwa vya panzi roho iwe kwatu weka picha ya Dr Slaa na demu wake hapa useme anaongea na kiongozi wa wa nchi., Hata hawaulizi huyo ni kiongozi yupi na anaitwaje, mamburula hawana muda huo na dio maana mara zote nina mashaka na uelewa wao