Hoja si kutembea au kupakatana bali kwenye vikao na mazungumzo yanayohusu chama yeye anaingia kama nani?
Mtanzania
Hoja si kutembea au kupakatana bali kwenye vikao na mazungumzo yanayohusu chama yeye anaingia kama nani?
Kwa ujinga wako wa kumlinganisha slaa na kikwete status yako imekua ya kishoga coz ni ucngizi na kifo afu Kwann hutulii, una funza mferejini? dr slaa mwenyew ni zaidi ya sarekali nzima ya magamba, kama we unapenda ungese kwa kutokujua au kwa kujua ili tu ulipwe buku 7 per day na mwigulu heri uwe shoga uliwe kiboga kulikuko kubonga shit za kiniaje
Hii tabia ya kufananisha mambo ya CHADEMA na CCM au serikali inakera kweli na inakera zaidi inapofanywa na watu wenye heshima humu JF kama wewe jmushi1.
Kama huna hoja ya kutetea uozo wa Dr Slaa au CHADEMA ni busara kukaa kimya kuliko kutafuta uhalali wa uozo wa Dr Slaa/CHADEMA kwa kufananisha na Kikwete/serikali. Acheni jamani, inakera.
Ila jamani tuacheni masihara,Mimi naipenda sana CHADEMA na ninamkubali sana Dr Slaa lakini huyu mama Mushumbuzi kama asipobadilika na ku-behave kama lady atamshusha maksi sana Dr.Ni vyema akafundishwa namna ya kujadiliana na watu wanaotofautiana na naye au kama ikiwezekana asiwe anaambatana na Mzee katika mikutano muhimu kama hiyo.
Hilo la kuambatana naye wala si kubwa lililotuchefuwa bali Josephine kuwa na guts za kuja kututukana hapa JF watu wenye akili zetu na hadhi zetu kwa kutumia ID ya Jemedari wetu tunayempenda na kumwamini Dr Slaa.
Sasa tumeamka na tutafuatilia kwa karibu sana nyendo zao. Hatuwezi kuchaguwa Rais tunayempenda Dr Slaa halafu nchi ije kuongozwa kwa maagizo ya Mwanamke asiyekuwa na adabu kama Josephine.
Eh .. kumbe Kimewa 'touch'?Hata Mpoki akiact utajiri huwa anaonekana zinga la milionea.
Hata Joti akiact kiuanafunzi huwa anaonekana kama kidenti vile...
Huyo Josephine kaenda na kitenge kimoja huko?
Hilo nalo neno mkuu Tech Wiz.....Ila jamani tuacheni masihara,Mimi naipenda sana CHADEMA na ninamkubali sana Dr Slaa lakini huyu mama Mushumbuzi kama asipobadilika na ku-behave kama lady atamshusha maksi sana Dr.Ni vyema akafundishwa namna ya kujadiliana na watu wanaotofautiana na naye au kama ikiwezekana asiwe anaambatana na Mzee katika mikutano muhimu kama hiyo.
Nice rapporteur, this report is brief, well planned content, good.
Hilo nalo neno mkuu Tech Wiz.....
Dadaangu Josephine wewe si malaika lakini hata hivyo zingatia 'Wisdom is profitable to direct' vinginevyo kama unashindwa kujizuia kuhamaki nakujikuta umeharibu basi you have to go for deliverance.
Tukikosoa tunamaanisha kujenga vile vile hivyo Dr Slaa kama anafuatilia hizi post ni vyema akamweka chini mama yetu akampa maelekezo ili asiendelee kuharibu
Ndio tatizo la kuolewa ukiwa na umri mdogo
We endelea kukosoa, lakini unapoteza muda wako. Slaa hashauriki.
Umeshawahi kusikia Slaa anaomba radhi?
Nawe lini uliomba radhi?