Dr. Slaa Receives A State Reception In Alabama Capitol !

Dr. Slaa Receives A State Reception In Alabama Capitol !

Hivi hiyo ilikuwa ziara binafsi au ziara ya kichama? Nauliza kwa sababu naona kwenye meza ya mazungumzo yupo Dr. Slaa na Mama Josephine lakini upande mwingine naambiwa kuna Gavana na Mawaziri. Kwa hiyo ujumbe wa CHADEMA uliongozwa na Dr. Slaa na Mama Josephine peke yao? Inakuwa kama Mseto vile; kwa upande wa Alabama State uwakilishi ni wa viongozi wa Jimbo lakini kwa upande wa CHADEMA uwakilishi unakuwa wa familia zaidi!

Whatever the case mkuu Kimbunga ujumbe unaweza kupelekwa na au kupokelewa na mtu yeyote,

but all in all Chadema inaonyesha imedhamilia kuwasaidia watanzania kwa viongozi wake kwenda nje kutafuta fulsa hata kabla ya kuingia madarakani.
 
Last edited by a moderator:
Good Move CDM & DR.Slaa; tunatarajia kuwakabidhi nchi 2015 hivyo njooni na majibu ya umaskini wetu siyo na nyie mje mtuambie eti hamjui kwa nini Tanzania ni maskini.

Hii inaonekana ni ziara ya Kiserikali katika jimbo la Alabama!!, mawaziri, walizi aisee DR.Slaa kweli upo juu kinoma!
 
Hivi huyp Gavana hana jina? Umbumbumbu bwana. Ukitaka vichwa vya panzi roho iwe kwatu weka picha ya Dr Slaa na demu wake hapa useme anaongea na kiongozi wa wa nchi., Hata hawaulizi huyo ni kiongozi yupi na anaitwaje, mamburula hawana muda huo na dio maana mara zote nina mashaka na uelewa wao
 
Usilinganishe misafara ya Kikwete ya kwenda kula kuku kwa mrija, gharama kubwa. Hapa jua ni nafasi ya mapumziko na mapumziko kwa waelewa ni kujifunza mengi toka kwa wenzetu.

Ahaaa mkuu kwa hiyo unaniambia Katibu Mkuu yupo mapumzikoni.
 
Hivi hiyo ilikuwa ziara binafsi au ziara ya kichama? Nauliza kwa sababu naona kwenye meza ya mazungumzo yupo Dr. Slaa na Mama Josephine lakini upande mwingine naambiwa kuna Gavana na Mawaziri. Kwa hiyo ujumbe wa CHADEMA uliongozwa na Dr. Slaa na Mama Josephine peke yao? Inakuwa kama Mseto vile; kwa upande wa Alabama State uwakilishi ni wa viongozi wa Jimbo lakini kwa upande wa CHADEMA uwakilishi unakuwa wa familia zaidi!

Yes mkuu, tumeshazoea ujumbe wa serikali ya CCM wananjaa ndege nzima kwenda nje ya nchi kuomba misaada wakati angeenda mwakilishi mmoja tu angesikilizwa pia. Matumizi mabaya ya pesa za umma.
 
Mungu mkubwa yule Mnyiramba mjinga kuliko wote anaumbuka mchana kweupe.

Hizi ndio ziara chanya zinazotakiwa kufanywa na viongozi ingawa kuna boya ameongozana nalo Dr Slaa tutamuonya awe analiacha nyumbani.
Wote ni maboya hakuna hata mwenye nafuu
 
it's very encouraging. Lazima uwe unajiamini na kuaminika ili kupata nafasi kama hizi. Hongera sana Dr. Slaa and Viva CHADEMA😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:
 
Good Move CDM & DR.Slaa; tunatarajia kuwakabidhi nchi 2015 hivyo njooni na majibu ya umaskini wetu siyo na nyie mje mtuambie eti hamjui kwa nini Tanzania ni maskini.

Hii inaonekana ni ziara ya Kiserikali katika jimbo la Alabama!!, mawaziri, walizi aisee DR.Slaa kweli upo juu kinoma!
Labda umkabidhi nchi unayoendelea kuikalia
 
Swali la kujiuliza ni what value an extra man or woman would have added in this trip? Dr. Slaa amealikwa na vyuo vikuu kadhaa vya Marekani kwenda kutoa mihadhara, pamoja na mambo mengine. Hivi vyuo havikualika ujumbe wa chama. Pamoja na hayo, Dr. Slaa ni Katibu Mkuu wa CHADEMA. Sasa ni ujumbe gani zaidi ulioutarajia kutoka CHADEMA?

Vile vile, si mara zote kuwa kuongozana na msururu wa watu kunafanya ziara iwe na tija. Rais Kikwete anatakiwa kujifunza kutoka kwa Dr. Slaa na kupunguza umwinyi. Kwa kufanya hivyo (kupunguza idadi ya watu anaoongozana nao kwenye ziara), atapunguza mzigo mkubwa sana kwa walipa kodi hususan ukizingatia kuwa Mhe. Kikwete anafanya ziara nyingi sana nje ya nchi kuliko hata viongozi wa nchi tajiri.

Mkuu upo sahihi kwa upande mmoja haswa unaposema Mkuu wa Kaya ajifunze kupitia kwa Dr. Slaa, yaani apunguze msururu wa watu anaoongozana nao anapokuwa safarini. Na nilivyokuelewa hapo mkuu hoja yako ni ili kupunguza gharama.
Swali: Uwezo wa kudadavua mambo kwa upana zaidi kati ya Mkuu wa Kaya na Dr. Slaa unalingana?
Jibu utanipa mkuu, ila maoni yangu Mkuu wa Kaya aendelee na misururu yake kwani inatufichia aibu sana watanzania na pia aendelee na hotuba za kusoma maana siku akianza kuutubia pasipo kuandikiwa nadhani watanzania tutaaibika sana.
 
Hivi hiyo ilikuwa ziara binafsi au ziara ya kichama? Nauliza kwa sababu naona kwenye meza ya mazungumzo yupo Dr. Slaa na Mama Josephine lakini upande mwingine naambiwa kuna Gavana na Mawaziri. Kwa hiyo ujumbe wa CHADEMA uliongozwa na Dr. Slaa na Mama Josephine peke yao? Inakuwa kama Mseto vile; kwa upande wa Alabama State uwakilishi ni wa viongozi wa Jimbo lakini kwa upande wa CHADEMA uwakilishi unakuwa wa familia zaidi!


Kwenye bembea kule Jamaica na Uswis sijui Jk alienda ziara ya Kifamilia au kichama. Kwa sasa Dr ni CDM na Mkewe ni CDM............Mwenye jukumu ni DR. kwa vile umesema aliyenae ni mkewe basi si vyema amuache hotelini amelala.

2Q==


Hapo vipi
 
namwona raisi wa karatu akiwakilisha vyema, kwa staili hii lazima uchaguzi usubirie sana, mpaka ahakikishe haoni tena ndio mtafanya uchaguzi...an official cdm trip which happens to be a family trip..tutaona mengi sana mwaka huu
 
Ahaaa mkuu kwa hiyo unaniambia Katibu Mkuu yupo mapumzikoni.

Ninavyoelewa mie ndio hivyo, vinginevyo ingekuwa safari rasmi ya mwaliko kichama angakuwa na msindikizaji wau wasindikizaji wanaoambatana naye.

Pia inawezekana ni mwaliko aliopata binafsi kutoka taasisi au serikali ya Marekani wapate nafasi kupima mtazamo na uwezo wake. Hawa watu wako makini si kama sisi tunaoangalia nini kinaongelewa majukwaani.

Angalia sehemu anazotembezwa ni sehemu ambazo zinauhai wa teknolojia ya maendelea, kuonana na wasomi hali kadhalika na wafanyabiashara maarufu.

Mwigulu anazunguka mitaani kuokoteza sijui wa kufungua matawi Marekani, inachekesha.
 
Chadema haina uongozi ina kundi la wahuni wanaoganga njaa kupitia siasa,hawa mahawara wanahistoria ndefu ya kuishi maisha ya kuunga unga mjini
Wewe jidanganye tu,watu wanakula kwa magamba na wanalala CDM,we kama unafikiri wako wachache subiri 2015,uone kitakacho mnyoa kanga manyoya.

Angekuwa KJ hapo angetoka na mabegi ya jezi na jeans za akina Fifte senti. Msishangae kuja kuambiwa ameshirikishwa kwenye wimbo wa Lil Wayne...
Ndio wanachokijua hicho.

Mungu mkubwa yule Mnyiramba mjinga kuliko wote anaumbuka mchana kweupe.

Hizi ndio ziara chanya zinazotakiwa kufanywa na viongozi ingawa kuna boya ameongozana nalo Dr Slaa tutamuonya awe analiacha nyumbani.
Jamani hivi mbona mnapenda kumsema sana huyu mama wa watu,hivi historia za viongozi wetu kwenye mambo ya kifamilia mnayajua vizuri au ni kwa sababu Dk Slaa anatoka chama cha upinzani?tuonyeshe ukomavu kidogo wa maisha binafsi ya viongozi wetu,kuna siku mambo yataanikwa hapa JF mtakuja kukimbia wenyewe.

Kwenye bembea kule Jamaica na Uswis sijui Jk alienda ziara ya Kifamilia au kichama. Kwa sasa Dr ni CDM na Mkewe ni CDM............Mwenye jukumu ni DR. kwa vile umesema aliyenae ni mkewe basi si vyema amuache hotelini amelala.

2Q==


Hapo vipi
Nafikiri Dk Slaa na CDM Wameonyesha ukomavu wa hali ya juu,tuwauunge mkono kwa wanachokifanya
 
namwona raisi wa karatu akiwakilisha vyema, kwa staili hii lazima uchaguzi usubirie sana, mpaka ahakikishe haoni tena ndio mtafanya uchaguzi...an official cdm trip which happens to be a family trip..tutaona mengi sana mwaka huu
avatar90498_1.gif


hiyo profile yako inavyoonekana ata akili yako itakuwa hivyo hivyo
 
[/CENTER]

Mijitu mingine kwa kuzuwa, mpaka inachafuwa. Hicho chakula kiko wapi hapo? au hayo makaratasi ndio chakula?

Duh! Hii kali, wabongo tumezoea kuona sinia la wali tukikaa tumelizunguka, hii ya kizungu kutanguliziwa wine we imekupitia kisogoni.
 
Whatever the case mkuu Kimbunga ujumbe unaweza kupelekwa na au kupokelewa na mtu yeyote,

but all in all Chadema inaonyesha imedhamilia kuwasaidia watanzania kwa viongozi wake kwenda nje kutafuta fulsa hata kabla ya kuingia madarakani.


Mkuu usihangaike na huyo kimbunga kwani shida yake sio kujua Dr. Slaa anatusaidiaje watanzania kupitia ziala yake hiyo bali yyeye hapo anapigania buku 7 maisha yaende. Kama ishu ni kwenda na mke mbona baba Riz anasafiri kila uchao na mkewe walenda jamaika kubembea kwenye bembea yeye anaona ndilo bora zaidi?
 
[/CENTER]

Mijitu mingine kwa kuzuwa, mpaka inachafuwa. Hicho chakula kiko wapi hapo? au hayo makaratasi ndio chakula?

Sasa wewe uliambiwa hapo wanakula? kigezo cha uwepo wa mlo ni meza na kiti kwani? Nadhani umma na kisu ndiyo ishara ya meza iliyoandaliwa kwa maakuli ya dunia ya hawa jamaa. Ingekuwa CCM hata maji ya kunawa hayaji unafuta mkono kwenye shati unatandika punga
 
Back
Top Bottom