Dr Slaa na njama ya kukwepa kodi

Dr Slaa na njama ya kukwepa kodi

Status
Not open for further replies.
Wewe unaongelea vitanda na vyombo vya mahabara, kuna vifaa nya vya ujenzi wa hospitali unaitaji vifaa vingine kama saruji, mabati, magari, nk.

Yaani goi goi ni goi goi tu hata umpandishe ghorofani.

Kwa hiyo kwa akili yako, serikali ikitaka kujenga kituo cha polisi, itajichaji kodi kwenye matofali na mabati ila itajiondolea kodi kwenye bunduki.....!!!! Kweli CCM ina mambo!

Sikiliza wewe nnya, tayari umeshaambiwa hakuna mpango wa hospitali sasa rudi kwenye mada, hakuna kodi, then what?

Halafu sijui umesoma wapi, Kiingereza hujui, Kiswahili hujui...bila shaka unaongea Kireno au Afghan mnakoenda kuchukua 'sembe' ambayo nayo ni Tax Exempted.

Baabara sio mahabara
Unahitaji sio unaitaji

Ndio nyie tunawatafuta mrudi kwenu, mnajifichajificha kwenye mgongo wa CCM na kumaliza tembo wetu
 
Wakati mwingine wewe Ritz umekuwa smart hapa jukwaani kwa kusimamia ukweli na kulaani uongo, Kwa hil wito wangu wa mwisho kwako ni kuwa muungwana, Sema tu kuwa leo umeingia choo cha kike na waombe wanabodi msamaha tutakusamehe.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, ni kweli kuwa vifaa vya hospitalini vimesamehewa kodi lakini si sementi ya kujengea hospitali, mabati, nondo na vinginevyo ambavyo dr slaa ameagiza kutoka japan nayanaletwa kwenye makontena eti kwa kigezo tu kuwa ni mali ya kanisa

Uwekezaji wowote unaofanywa Tanzania unasajiliwa na Tanzania Investment Centre (TIC), afu baada ya hapo unaweza kupata msamaha wa kodi kwa vifaa vinavyohusika na ujenzi huo ikiwemo Cement, mabati,nondo na chochote kitachotumika. Sio kweli kweli kuwa ni vifaa vya hospitali tu kama ulivyoeleza hapo.
 
Tatizo la slaa ndiyo hilo na kingine yeye hujiona yupo sahihi mda wote na kuwaona wengine kama taka,
lakini kizuri zaidi ni kwamba watu sasa wanamjua vema hata uongo wake upo bayana sas.


'huna haja ya kuandaa mazingira, matibabu pale CCBRT ni BURE'
 
ukweli ubakie kumbe makanisa yanatumiwa na wakwepa kodi
 
Dr.W.Slaa, tatizo lake kubwa ni ubinafsi na ni mtu anayependa kujipigania mwenyewe.

Bahati nzuri amepata wafuasi ambao hawajitambui hata siku moja hawawezi kuhoji chochote.

Yeyote atakayejaribu kuhoji mkono wa chuma unamshukia.

'huna haja ya kuandaa mazingira, matibabu pale CCBRT ni BURE'
 
Mimi na Dr.Slaa nani anatakiwa kujibu maswali.

Hakuna alichojibu Dr.Slaa zaidi ya mipasho.
Wewe ndo unatakiwa kujibu na sio kujibu tu unatakiwa pia uoanishe picha ulizoweka na madai yako....acha propaganda za kitoto na pengine naona tumekupa attention kubwa kwa jambo la kitoto.....stori unadai alitembelewa na wajapan 20 nyumbani kwake tz afu picha unaweka ya japan kweli bangi ni mbaya sana kijana.....umeshaambiwa pia CCBRT iko exempted ana haja gani kupitisha vifaa kanisani kukwepa kodi....CCM mnao wakwepa kodi wengi tu ni vema ungeanza na DR Kigwangala aliyefungua duka la hardware kwa bidhaa zilizokuwa exenpted.......watch out kijana....naona umeamua kufa na CCM
 
Wewe unaongelea vitanda na vyombo vya mahabara, kuna vifaa nya vya ujenzi wa hospitali unaitaji vifaa vingine kama saruji, mabati, magari, nk.

'huna haja ya kuandaa mazingira, matibabu pale CCBRT ni BURE'
 
Utaratibu wangu huwa namjibu mtu kutokana anajadiana na mie. bahati nzuri mie naongea na mwenye Mbwa.
Unga mbaya sana naona baada ya kuuza sana mmeamua kutumia wenyewe......kwa hiyo umeshaanza kuita watu mbwa sio.....!!!????
 
Huyu babu ni laghai lakini utaona wale wajinga wachache wanaoishi mjini kwa ufadhili wa vijiposho watakavyokuja humu kumtetea mbadhirifu huyu; bahati nzuri tu ikulu ataisoma Tanzania Daima

'huna haja ya kuandaa mazingira, matibabu pale CCBRT ni BURE'
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom