Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Yawezekana bila ya shaka huu ukawa ni mwanzo mzuri wa kuelekea mabadiliko. Mtu kapatikana sasa ni ujumbe!
Mzee upo..
I reserve my comment for now!
Yawezekana bila ya shaka huu ukawa ni mwanzo mzuri wa kuelekea mabadiliko. Mtu kapatikana sasa ni ujumbe!
Yawezekana bila ya shaka huu ukawa ni mwanzo mzuri wa kuelekea mabadiliko. Mtu kapatikana sasa ni ujumbe!
Good move by Chadema..... safari hii kuna mtu kuzimia tena jukwaani.....Habari zilizopatikana sasa hivi zinasema kwamba Dk. Slaa ndiye mgombea urais wa Chadema mwaka 2010. More to come
Hatujachelewa. Lipumba aende Sikonge au jimbo lolote analoona atashinda ili tuunganishe nguvu!
Tatizo la upinzani, pamoja na Dr. Slaa kukubalika kwa sasa bado vyama vingine vitasimamisha wagombea, hili linanipa taabu sana
Sikonge Roho Kwatu He he he heeeeeeeee
Kwa mara ya kwanza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anaweza kutoka miongoni mwa members wa JF......! Tumuunge mkono..!