Mkuu, it's Slaa...Du!,
Nimepata tetesi sasahivi wanamuandaa Prof. Mwesiga Beregu!. Kama kweli ni Dr. Slaa, CCM ikubali isikubali, JK mwaka huu, kazi anayo.
Bora angegombea Ubunge ingelipa!!!!
Asante, na ile post yangu nimeshaideleteMkuu, it's Slaa...