Halafu Lipumba wampe PM au waziri wa fedha, waangalie wenzao wa kenya wanavyo unga unga mpaka upinzani umefanikiwa.Hatujachelewa. Lipumba aende Sikonge au jimbo lolote analoona atashinda ili tuunganishe nguvu!
Na sasa ziara ya Spain tutaikatisha sasa hivi.