bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,435
to me sioni kama dr slaa alitakiwa agombee urais kwa sasa ukiachilia mbali kua ni mtu sahihi na anmzidi huyu jk aka kucheka, kwa mbali lakini hatoshinda kwani wapiga kura wengi hawana uelewa sahihi, wengi ni washabiki wa vyama kuliko mut, wadai wanaogopa vita nk ingekua ucahguzi na kura si idadi bari inapima uwezo wa mpiga kula wa uelewa na elimu yake basi slaa angeshinda ila si kwa sasa, wapumbavu nchi ii ni wengi sana, kuna quote ya chairman mao slaa alitakiwa aikumbuke sana ''do not get into the war that you know you will not win''. nia anayo ya kuiongoza ii nchi, uwezo anao lakini timing is not proper! angegombea ubunge ili upinzani uendelee kufichua maovu ya serikali kama kawaida au mbowe angeendelea kugombea urais sio kurudi chini kwenye ubunge!