Je kwenini Dr Slaa anajitambulisha wa VIjana?
Slaa ana mkakati gani na vijana?
Je tamko lake litapata nguvu kutoka kwa vijana??
Kaka Vijana ni taifa la Leo, hivyo harakati zote za kikombozi na maendeleo ya nchi kiuchumi, kijamii na mengine lazima yaanze na vijana, hivyo Dr. Slaa ni sahihi kutulenga sie vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa hili lililo dumaa kiuchumi