Kwa taarifa zaidi unaweza kulipitia gazeti la nipasheView attachment 275720
Acha kujipendekeza na kunyenyekea binadamu mwenzako!Hivi wewe mpumbafu ni nani na umekifanyia nini mpaka umwandame Dr Slaa?
Ukute hujawahi ingiza hata mwanachama mmoja ila unajifanya jeuri kwa kuwa una-access na JF?
Unamhukumu mtu aliyehatarisha maisha yake kwa kumtabiria usaliti bila kumsikiliza?
Unakera sana,hata hujistukii kwanini watu wenye heshima kwenye chama na UKAWA wamekaa kimya na wengine hawalali ili kupata suluhu?
Acha uccm wako hapa,ndani ya CHADEMA kila mtu ni muhimu na anasikilizwa ,ndio maana ya Demokrasia.
Huo ufitini kaufanye na magamba wenzio na uache kuzuga watu eti mwanaCHADEMA.
Emma! Jambo la kujiuliza ni kwanini hakupokea simu , halafu eti akajibu meseji haraka haraka. Kwani dr anaogopa kuongea akiwa tyr? Haogopi, na hivyo inawezekana maneno yaliyoandikwa hayajaandikwa na Dr wetu, jasiri wa mahadiliko ya AmaniWambea na wanafiki ndo nyie mnahangaika na Dr.Slaa kila siku kwani mgombea wenu magufuli amejitoa kwenye kugombea uraisi?
Kwa taarifa zaidi unaweza kulipitia gazeti la nipasheView attachment 275720
Slaa hajawakana YERIKO NA MNYIKA, amewaumbua kwa kuwadanganya Watanzania.Acha kujipendekeza na kunyenyekea binadamu mwenzako!
Alimkana Yerricko na leo amemkana Mnyika-soma Nipashe ya leo.
Huyo si malaika.
Acha kujipendekeza na kunyenyekea binadamu mwenzako!
Alimkana Yerricko na leo amemkana Mnyika-soma Nipashe ya leo.
Huyo si malaika.
Acha kujipendekeza na kunyenyekea binadamu mwenzako!
Alimkana Yerricko na leo amemkana Mnyika-soma Nipashe ya leo.
Huyo si malaika.
Emma! Jambo la kujiuliza ni kwanini hakupokea simu , halafu eti akajibu meseji haraka haraka. Kwani dr anaogopa kuongea akiwa tyr? Haogopi, na hivyo inawezekana maneno yaliyoandikwa hayajaandikwa na Dr wetu, jasiri wa mahadiliko ya Amani
Ingekuwa hainihusu msomaji wasingechapisha...Kwa nini inakuhusu nini?