Dr. Slaa hatimaye aibuka

Dr. Slaa hatimaye aibuka

11825743_766891286755181_3652218494123958666_n.png Walisema card za CCM zote zinazorudishwa ni mpya eti feki!!!! Hizi nazo mpya (feki)
 
Mi nilchojua slaa hakufurahishwa na ujio Wa lowasa yeye alkuwa anataka agombee urais yeye na ukawa hawakufanya kosa kumchagua lowasa kwa sbbu anauzika na anaushawishi Wa watu ningemshauri slaa arudi tuendelee kujenga chama
 
Mkuu anzisha thread yako inayohusu kadi za magamba hapa anaeongelewa ni Dr slaa
 
Mbowe anajua kusoma nyakati. Dr. Slaa ni MTU muhimu sana ila hajui kucheza na pyschologia ya watu wanataka nini nje.

Watu wengi tumeanza kumsahau Dr, tumeanza kumuona ni msaliti wa mabadiliko, hajui kucheza na muda. Mimi sina chama ila napenda CCM itoke.

Wanachama wa CCM humu wanamsifia Dr. Slaa hii inatuongezea chuki juu yake na akijichanganya katika kauli atazotoa hataamini reaction yake.
 
Mi nilchojua slaa hakufurahishwa na ujio Wa lowasa yeye alkuwa anataka agombee urais yeye na ukawa hawakufanya kosa kumchagua lowasa kwa sbbu anauzika na anaushawishi Wa watu ningemshauri slaa arudi tuendelee kujenga chama
Slaa na Lowassa nani anauzika, hasa tukisimama kwenye agenda ya kupinga ufisadi?
 
TataMadiba

Ajitokeze na afanye maamuzi yake,sisi tunaendelea na mabadiliko yetu,
 
Last edited by a moderator:
Kura zimepigwa lini ?Magufuli hafai akiwa waziri aliuza nyumba za serikali je akiwa raisi mtauzwa mpaka nyie majinga mnaoishabikia ccm

Mkuu tangu Lowasa aingie CHADEMA huruhusiwi kumuita mtu FISADI bila kumpeleka mahakamani. Kwa hiyo kwa sababu Magufuli hakupelekwa mahakamani basi ni mtu safi tu.
 
Sihitaji ushawishi wa dr.slaa kumchagua lowasa..akae kimya aondoke tutachagua tuu.
 
Lowasa kura yangu na jamaa zangu zinakungoja wewe 25oct. Wenye makelele waache wapige filimbi.
 
DR SLAA UMEKUWAJE TENAAAA?????

hakuna ubishi kwamba Dr Slaa amefanya kazi kubwa kuijenga Chadema, pamoja na viongozi wengine Kina Mbowe, Lisu, Mnyika na wengineo wengi.

Na Dr Slaa aelewe pia kuwa kuna wengine walimpisha yeye kugombea uraisi kwa Chadema hapo kabla kwasababu walijua alikuwa na ushawishi mkubwa kuliko wao. vyama vingine vingi wanaogombea uraisi ni wenyeviti, Mfano CUF lipumba amegombania mara kadhaa; inamaana Mbowe hakutanguliza ubinafsi kung'ang'ania kugombea uraisi bali awepo anayegombea mwenye ushawishi ili chama kikue. na hilo Limefanikiwa

Sasa amekuja mwenye ushawishi Zaidi ndio maana Ukawa kwa ujumla wakaona wasimame nyuma ya Lowassa kimkakati kupata kura za Ukawa pamoja Na CCM wengine wanaopenda mabadiliko.

Sasa Chuki za Slaa zinatokana na Nini? kwanini Dr Slaa asitangulize kwanza maslahi ya Taifa kuiondoa kwanza CCM halafu mengine baadae?

Mbona yeye walimpisha?

Ushauri wangu kwa Dr Slaa, wananchi wanataka mabadiliko, Asaidie kupata mabadiliko hayo hata kama yeye binafsi hamuafiki Lowassa lakini tulio wengi tunaona fursa ni kubwa kwa Lowassa kuliko kwa Slaa na huo ni ukweli

Dr Slaa asingeweza kumshinda Dr Magufuli hata bila goli la Mkono. CCM wanalijua hilo, Ukawa wanalijua hilo, Dr Slaa mwenyewe nalijua hilo na wananchi wote tunalijua hilo.

DR Slaa usiwasaliti watanzania kisa kumfurahisha Mama Mushumbusi,

Dr Slaa ungana na watanzania wenzako kuleta mabadiliko katika mfumo wa uongozi wa Nchi ulioharibiwa na CCM. hilo ndio jukumu letu kama taifa kwa sasa.

Vinginevyo sifa zote ulizojijengea kwa miaka mingi zitapukutika, na Chadema pia kitaathirika.

Mwanafalsafa mmoja wa kichina aliwahi kusema nanukuu "YULE ANAYETOKA KWENDA KULIPA KISASI KWA MWENZAKE, KWANZA ACHIMBE MAKABURI MAWILI"

mwisho wa kunukuu
 
Tuna imani na media zetu, au leo hii hauliamini tena gazeti la Nipashe? Lingekuwa limeamdika Uhuru labda mngesingizia kuwa ni la CCM. au Wambea unaozungumzia ni akina Mbowe, Mnyika na Yeriko Nyerere?
Wambea na wanafiki ndo nyie mnahangaika na Dr.Slaa kila siku kwani mgombea wenu magufuli amejitoa kwenye kugombea uraisi?
 
Back
Top Bottom