Dr. Slaa hatimaye aibuka

Dr. Slaa hatimaye aibuka

CHANZO: NIPASHE


Mytake: Kauli hizi za Dr. Slaa zinazidi kuonesha namna gani baadhi ya viongozi na wasemaji wa CHADEMA wanavyojribu kuwahadaa Watanzania kuhusu Sakata la Mwanasiasa huyu tegemeo kabisa katika CHADEMA. Sote tunaothamini mchango wa Dr. Katika kukijenga chama hatuna budi sasa tuachane na habari za hawa watu na tusubiri kauli ya Dr. Slaa mwenyewe.

Kauli ya Dr. Slaa imekuja wakati tayari zilishatolewa taarifa mbalimbali na viongozi na wasemaji wa Chadema kuhusiana na sakata hili, taarifa ambazo kwa kauli hii ya Slaa ni wazi zilikuwa ni za kuwahadaa watanzania. Kauli hizo ni pamoja na:

1. Dr. Slaa ameamua kupmzika, akiwa tayari atajiunga nasi-FREEMAN MBOWE

2. Dr. Slaa kukutana na Secretarieti ili kupanga mikakati ya ushindi ya UKAWA-YERIKO NYERERE

3. DR. SLAA atazindua Kampeni za UKAWA-JOHN MNYIKA n.k


Usanii in action... tusubiri mwenyewe aanike hadharani aliyonayo moyoni.
 
Ya dr. Slaa aachiwe mwenyewe muda ukifika atajibu. Kikubwa na wana ukawa kuungana pamoja kusukuma jahazi kuelekea ushindi. Sidhani hata leo dr. Slaa akija na kauli ya kukinzana na wenzake, kama watu watabadili msimamo wa mafuriko! Mafuriko yataendelea
 
Jamani naomba kuuliza hivi Magufuli ni mkatoliki?

Ndio mkuu. Ingawa kuna time mambo yake hasa ya kiafya yalienda halijojo akahamia kwa Walokole. Lakini ni Mkatoliki na anakutana na 'wazee wa baharini' once a week
 
Dr. Slaa ni Nyota ya ushindi wa Ukawa iliyozimwa kwa wingu jeusi.
 
Aangalie Sana, future yake as a politician inategemea anibukia wapi!
 
Back
Top Bottom