Kaptula la Marx
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 981
- 449
hata wanaomsifia lowassa ni wale team lowassa na friends of lowassa wala wanachadema wala.msitudanganye.... hlo tumelijua, wakeleketwa wa chadema wanamlilia dr.slaa...
Sio kweli. Sasa hivi sisi wote tuko na Lowassa. Wanaomlilia Dr.Slaa ni CCM ambao ni wanafiki km wewe. Sisi tuko na Lowassa. Dr.Slaa alishagombea 2010 akaibiwa kura. Mwaka huu tumebadili gia angani. Tutalinda kura mpk dakika za mwisho