Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Ushindi wako ni mwanzo wa kuonyesha kwamba yote yawezekana kwani sheria haiangalii kama wewe ni kutoka chama gani bali facts ndio zitaamua nani ni mkweli.Huyo Tsere atakua ndiye aliewatuma hao watu wakafungue mashtaka ya kupinga zoezi zima la mchakato wa uchaguzi jimbo la Karatu,haiwezekeni kwa utamaduni wa kitanzania eti mtu binafsi ajiamulie mwenyewe kwenda mahakamani kulalamika.IBasi ingelikua ni hivo saa hii wabongo wangekua tayari mahakamani wamemfungulia chee nkapa mashtaka ya ufisadi.Hongera sana Dr.Slaa na ongeza mapambano ya kuwafichua mafisadi,tuko nyuma yako
Asante na nakubaliana nawe Mkuu mchafu