Dr.Slaa ashinda kesi ya uchaguzi!

Shukrani MK. This is big news kwa wapambanaji wote popote walipo. Ndio tulisema kwamba hata huko mahakamani kuna watu wenye kiu na haki, bahati mbaya yametimia kabla halijachoea. Ngoja mimi nikajinyewee tusker zangu!
 
Shukrani MK. This is big news kwa wapambanaji wote popote walipo. Ndio tulisema kwamba hata huko mahakamani kuna watu wenye kiu na haki, bahati mbaya yametimia kabla halijachoea. Ngoja mimi nikajinyewee tusker zangu!

Hapo ulipo tusker zipo kweli?ama unaenda kunywa cyder, Heinken, etc.
 
CCM watakuwa wapi mwaka huu?

Mpaka 2010 nadhani CCM will on the bottom of the ocean!!
 
This is indeed a big boost to democracy! Mimi nilikuwa si imagine what could have been the signal, if the case was decided otherwise! Ingekuwa haina tofauti na mapokezi ya chenge! We have to be proud na Majaji wenye misimamo pia! Now Let's continue pressing for change! Hongera wanamageuzi wote! It is your victory
 
Hongera kwa Dr. Slaa na wapenzi wa CHADEMA kwa huo ushindi

Naamini kuwa huu sio ushindi kwa wapenzi wa CHADEMA pekee bali ni kwa wapenda haki wote nchini ,wapinga ufisadi wote Duniani na wapenda maendeleo wote popote walipo.
 
Ushindi umechangiwa na kutokuwepo kwa Mamvi angefisadi tu

Hongera wote mlichangia ushindi huu na MK
 
Hongera Sana Dr.slaa Hongera Sana Tindu Lissu....hawa Ndio Mashujaa Wetu..
 
Shukrani MK. This is big news kwa wapambanaji wote popote walipo. Ndio tulisema kwamba hata huko mahakamani kuna watu wenye kiu na haki, bahati mbaya yametimia kabla halijachoea. Ngoja mimi nikajinyewee tusker zangu!
Tusker zipo huko Mkuu?

Hongera sana Dr. Slaa,Padri uliyetumwa kuwatumikia watanzania,na kama viongozi wa dini wangekuwa kama Dr. Slaa basi tungekuwa mbali sana.

Mkuu Kitila hivi huyu Isack wa UVCCM alikuwapo UDSM kipindi kipi?manaake viongozi wa namna hii sijawahi kuona??hakuna busarayoyote

Brazo Slaa
 
Tunahitaji watu kama hawa watu wa Mungu...sijui kama huyu mama Lwakatale kama anafatilia maana tunataka na yeye awe kama huyu kama kweli ni mtu wa Mungu maana ubunge huyu alipewa tu.
BRAVO DR.SLAA BRAVO LISSU, BRAVO WANANCHI WOTE.
 
Tusker zipo huko Mkuu?

Hongera sana Dr. Slaa,Padri uliyetumwa kuwatumikia watanzania,na kama viongozi wa dini wangekuwa kama Dr. Slaa basi tungekuwa mbali sana.

Mkuu Kitila hivi huyu Isack wa UVCCM alikuwapo UDSM kipindi kipi?manaake viongozi wa namna hii sijawahi kuona??hakuna busarayoyote

Brazo Slaa

UDSM huwa hawatoi vichwa vibovu kiasi hicho ,huyu yeye ndio alitokea SUA na huenda ndio maana anajiaminisha kuwa kila mtu ni mitishamba kama yeye alivyo na degree moja ya kilimo tena ya pass ......C.

Mjadala wake uendelezwe kule ulipo hapa atatuchafulia hali ya hewa tuu.
 
Kimsingi hii kesi ilikuwa ni dhaifu sana;

a. Ilianzishwa na wanachama wa chini sana na sidhani ilipata support toka Makao Makuu ya CCM. Hivyo, naweza kuamini kuwa CCM makao makuu walikuwa wanaombea tu iende upande wao lakini hawakutaka waonekane moja kwa moja wana interest.

b. Ushahidi wake ulikuwa dhaifu sana kiasi kwamba hata ingepelekwa kwenye mahakama ya watoto ambayo inaangalia ushahidi tu hakukuwa na jinsi yoyote ile. Tutakaposoma yaliyoamuriwa nina uhakika yatakuwa based zaidi kwenye ushahidi dhaifu na vielelezo dhaifu sana.

Ni ushindi uliopaswa kuwa ushindi, asingeweza kushindwa.
 
Mwanakijiji, kwa taarifa yako tuu ni kuwa wakati Mama Mary Nagu akiwa waziri wa sheria alijiingiza sana kwenye kushawishi juu ya kesi hii , na hata kuiingilia kwa mbinu mbalimbali na alifikia mahali pa kuwatangazia baadhi ya watu wake wa karibu kuwa atamkomesha Dr.Slaa.

Pili, hii kesi ni kweli ilifunguliwa na wanachama wa CCM ila ni watu wa hali ya chini ,cha kushangaza ni kuwa waliweza vipi kuwalipa mawakili wao wa utetezi watatu? kama hakuna mkono wa mtu hapo?

Tatu waliwatuma hao wanachama wa hali ya chini ili yakiwa mambo ya kudai fidia basi mahakama iweze kuwahurumia kwani wataonekana hawana uwezo wa kulipa ,na ndio maana Lissu anataka mawakili wao ambao walipeleka mahakamani document za kufoji walipe hiyo fidia na gharama zote za kesi husika.

Hii kesi ina mikono mingi sana na hata jinsi walivyoweza kufanya forgery ya document zao utajua kuwa sio wao bali ni wataalamu na ndio maana walishindwa kuzisimamia hizo document zao na walipoona kuwa inaweza kuwa soo zaidi basi mawakili wao wakakataa wale wengine wawili wasije mahakamni kwani wangeweza kusema ukweli kutokana na interogation ya Lissu.

Hapa kama tukiweza ni kutafuta hukumu husika hata kama ni kuiscan na kuiweka hapa tuu jamii wajue.
 
Kimsingi hii kesi ilikuwa ni dhaifu sana;

a. Ilianzishwa na wanachama wa chini sana na sidhani ilipata support toka Makao Makuu ya CCM. Hivyo, naweza kuamini kuwa CCM makao makuu walikuwa wanaombea tu iende upande wao lakini hawakutaka waonekane moja kwa moja wana interest.

b. Ushahidi wake ulikuwa dhaifu sana kiasi kwamba hata ingepelekwa kwenye mahakama ya watoto ambayo inaangalia ushahidi tu hakukuwa na jinsi yoyote ile. Tutakaposoma yaliyoamuriwa nina uhakika yatakuwa based zaidi kwenye ushahidi dhaifu na vielelezo dhaifu sana.

Ni ushindi uliopaswa kuwa ushindi, asingeweza kushindwa.

bado haya ni matokeo ya uongozi usiiona au hakuna uongozi kabisa, inamaana CCM hakuna asiye nabusara wa kuliona hili na kushauri kudrop kesi, maana hii ni aibu kwao
 
hivi ni nini kilipelekea wapinzani kukosa ubunge ktk majimbo yaliyopo mijini,tukizingatia kuwa watu waliopo mijini kidogo wanaelewa nini maana ya upinzani ?
 
Back
Top Bottom