Dr. Slaa aomba ukimbizi Canada

Hawa nyumbu sasa wanatia kinyaa. Mi nilijua Lowassa labda ana nguvu ya ziada.. Kumbe ni ujinga tu wa Watanzania!! Leo hii mtu anamuona Dr Slaa shetani, halafu Lowassa malaika!! Duh...
 
Please.! ungikuwa vizuri mngetuwekea na hilo gazeti na tungesibitisha kuwa hiyo ni habari au porojo. Ila nimjuavyo dokta siku akirudi huu wote utaonekana upuuzi na udaku.
 
Hana chochote hakuna mtu yeyote anaemufuatilia kutaka kumudhuru au kumfikiria kama yupo, ameshaona baada ya kupoteza wadhifa wake Chadema na sasa nyumba, kwa kutaka kumuridhisha mama, maisha yake yatakuwa magumu kuishi Tanzania bila pato lolote, kwahiyo ni bora aombe ukimbizi Canada apate nyumba ya bure na vijipesa kidogo za kumsaidia.
 
Arudi kanisani akaungame,ile dhambi ya kuukana utawa ndio inamsumbua wale mnaoishi maisha ya useja ishini katika imani yenu katika hiyo sakramenti, DR kadanganywa na Derila sasa hana pa kuuweka uso wake amekuwa mkimbizi sasa mgaa mtu asie na makao nyumba yake imeuzwa watoto wake hawatauona uso wake tena ni aibu kusema ni uso wa Mwanamke Mzuri ndio uliomuangusha DR,yuko wapi Askofu Kakobe, yuko wapi Askofu Deya kutoka Kenya wote walikuwa wachungaji wa Kondoo lakini leo hii wote wako uhamishoni wamezikimbia dhambi zao badala ya kutubu na kurudi kundini.
 
Mushumbuzi ni noma sana huyu mzee sijui alilambishwa nini anajuta kuifahamu ccm
 
Canada mbali sana na msimu wa baridi kali atasumbuka. Halafu huo ukimbizi anamkimbia nani
 
Kweli vijana wa Lowassa munajua kujifariji kwa kupoteza...............
 
kenny Rogers! gambler
 
Jibuni hoja msizokubaliana nazo kwa hoja. Dr.Slaa anatishiwa na nani? Kuna mtu mmoja tu alituhumiwa kwa magonjwa ya ajabu ajabu yaliyowapata Dr.Mwakyembe na Pr.Mwandosya kisa eti walikuwa tishio kwa ndoto zake. Sina ushahidi wa haya ila yalisambaa kila pembe ya nchi na hatua hazikuchukuliwa. Serikali ithibitishe je ni kweli Dr. Slaa kaomba ukimbizi kwa kuwa Tanzania anatishiwa,anatishiwa na nani,na anayemtishia ataachiwa kufanya ujinga had I lini? Mmoja kaniita bibi siogopi kutukanwa wala sintakujibu kwa tusi. Mimi mwanaume.
 
Dr mihogo usalt ni mbaya. Uliungana na majizi yakakupa tupesa ukakana chama mchana kweupe, ukamsimanga lowasa kwa kila lugha. Leo lowasa analala kwake wewe huna hata pa kulala. Yuda baada ya kumsalt yesu alilia sana na kujuta. Hata kwako yametimia. Na bado
 
Weka akiba ya maneno..Hii taarifa haina uhakika.
 
Yani huyu mzee ni bora amludie Mungu na kufanya sala ya toba, usaliti ni mbaya sana na dhambi hii itamuandama mpaka mauti
 
Please.! ungikuwa vizuri mngetuwekea na hilo gazeti na tungesibitisha kuwa hiyo ni habari au porojo. Ila nimjuavyo dokta siku akirudi huu wote utaonekana upuuzi na udaku.
shugulisha ubongo wako kidogo,wewe ni great thinker mpaka na gazette utafutiwe wakati google ipo?
 
Mkuu unataka watu wawe wale wale? Kwa hiyo unataka kina Wasira,Mtei Malechela na sampuli hizo zidominate siasa za hapa milele?

Kila masika na mbu wake, hata kina Zitto, Mnyika, Makamba walitoka huko!
 
Docta Slaa kachoka kula
Mihogo jamani bongo.
Hakujua kuwa ccm ina
wenyewe sasa ataisoma
NAMBA.
Ilala inatia huruma jamani
Hawa ccm kutumia watu
Kama kondom daaa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…