Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,246
- 4,753
Mnatabia mbaya ya kumsingizia Mungu ili awaonee huruma!Dr. Slaa Mungu akupe moyo Wa ujasiri. Kwa kweli mwanadamu ni kiumbe mbaya kuliko mnyama. Hivi kweli yote uliyoyafanya Chadema yametupwa Leo unaambulia matusi mazito hivi kwa vijana Wa Chadema??
Kama wameufanyia hivi mti mbichi??, itakuwaje kwa mti mkavu?? Kweli vita ya madaraka hasa urais ni mbaya mno.
Ushauri wangu kwasababu wewe ni mtu wa dini basi mtwike Bwana fadhaa zako zote maana yeye hujishughulisha na maisha yako. Wale wanaofahamu ulipoitoa Chadema wataendelea kukuheshimu bila hata KUJALI vyama vyao. Wale wenye moyo mgumu, moyo Wa lucifer wataendelea kukukejeli, hilo lisikusumbue yote ni maisha.
Jitahidi kuishinda vita yako kwa maombi BINAFSI na neno la Mungu kwa wingi. ZABURI 121
Queen Esther
Dr. Slaa ni mwanadamu kama wewe, Mimi na yule, anamapungufu yake, ikiwa ni pamoja ya kukengeuka na kuwa na tamaa kama binadamu yeyote yule.
Dr. Hapa hatukanywi. Wanaelezea tabia zake na role ya mpenzi wake ilivyo affects career yake. Hii huruma unayoinesha hapa ndiyo hiyo hiyo bi mshumbushi alitumia kumshughulikia Dr. Hivyo si vema kutumia neno la Mungu kuhalalisha madhaifu yenu/yako.