Dr. Slaa aomba ukimbizi Canada

Dr. Slaa aomba ukimbizi Canada

Anayemtisha ni kivuli chake mwenyewe cha usaliti

Bado hamjajifunza tu kuweka akiba ya maneno? Jifunzeni mfano huu kutoka kwa Zitto, mlimwita msaliti na kila aina ya majina ambayo hakustahili kupewa. Leo kwa unyenyekevu mme.muinamia Zitto na kumlamba miguu nyie pamoja na viongozi wenu bado hamjajifunza tu?
 
Anayemtisha ni kivuli chake mwenyewe cha usaliti
Dhambi ya usaliti inamtesa
dhambi ya usaliti mbaya sana! itakutafuna kokote uendako dr.mihogo.

Bado hamjajifunza tu kuweka
akiba ya maneno? Jifunzeni
mfano huu kutoka kwa Zitto,
mlimwita msaliti na kila aina ya
majina ambayo hakustahili
kupewa. Leo kwa unyenyekevu mme.muinamia Zitto na
kumlamba miguu nyie pamoja na
viongozi wenu bado hamjajifunza
tu?
 
Habari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!

Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
Kama habari hii ni ya kweli, arudi. Hiko kitu hakiko Tanzania. Wana njia mbadala ya kukumaliza. Wanaweza tu kuacha kukupa hi, ukikutana nao kama hawakujui, hawakualiki popote. Utasononeka wee; stress, depression, bp ndiyo maradhi yatakuwa yanakuandama.

Kuna kiongozi hapa alishawahi kuwa na msafara mkubwa, mpaka watu mitaani wakawa wanajiuliza hivi hii nchi imekosa amani kiasi hiki. Watanzania tuache usanii.

Ajifunze kwa wenzake wakina Kambona, Babu na wengine. By the time anapata akili ya kurudi, mchango wake unakua hauna thamani tena.
 
Nimepata tenda kwenda kutembeza kichapo zenj. Mtoto wa mwalimu hawezi kufeli, tutafuta mtihani mara 30 ikibidi ila tunabana matumizi kuficha madubwana ya kule mjengoni.

Hivi ngosha hajafuta allowance zako aisee? Ngosha simuamini kabisa
Mkuu umenifurahisha sana: mtoto wa mwalimu hawezi kufeli!
 
Bado hamjajifunza tu kuweka akiba ya maneno? Jifunzeni mfano huu kutoka kwa Zitto, mlimwita msaliti na kila aina ya majina ambayo hakustahili kupewa. Leo kwa unyenyekevu mme.muinamia Zitto na kumlamba miguu nyie pamoja na viongozi wenu bado hamjajifunza tu?
Slaa si muungwana kabisa aliwezaje kukaa kimia kwa siku zote hizo huku Lowasa akimjua kuwa ni mbaya. Sheria za moyo safi huwezi kusema ati ulijua na muuaji kesha ua, wana ccm mnamsifia tu lkn hana wema wowote aliofanya. Sheria ya ndoa siku ya ndoa kasisi huuliza je kuna mtu mwenye neno juu ya ndia hii na aseme sasa kama atashindwa kujitokeza kasisi husrma badi anyamaze milele. Alijua El anapewa nafasi na huku mwizi alihusika kikamilifu kumpokea ilikuwaje akaropoka baada ya mwezi mzima kupita tena kwa kuletwa kwa kufichwafichwa nyuma ya hotel atubu dhambi hiyo mbele ya watz ndiyo atapona
 
Slaa si muungwana kabisa aliwezaje kukaa kimia kwa siku zote hizo huku Lowasa akimjua kuwa ni mbaya. Sheria za moyo safi huwezi kusema ati ulijua na muuaji kesha ua, wana ccm mnamsifia tu lkn hana wema wowote aliofanya. Sheria ya ndoa siku ya ndoa kasisi huuliza je kuna mtu mwenye neno juu ya ndia hii na aseme sasa kama atashindwa kujitokeza kasisi husrma badi anyamaze milele. Alijua El anapewa nafasi na huku mwizi alihusika kikamilifu kumpokea ilikuwaje akaropoka baada ya mwezi mzima kupita tena kwa kuletwa kwa kufichwafichwa nyuma ya hotel atubu dhambi hiyo mbele ya watz ndiyo atapona

Wangapi wametubu? Mbowe na wanafiki wenzake lini wametubu kwa watanzania kutuaminisha kuwa Lowassa sio fisadi, au lini wametubu kwa watanzania kutuaminisha kuwa Zitto sio msaliti?
 
Wangapi wametubu? Mbowe na wanafiki wenzake lini wametubu kwa watanzania kutuaminisha kuwa Lowassa sio fisadi, au lini wametubu kwa watanzania kutuaminisha kuwa Zitto sio msaliti?
Hizi story za ufisadi wa Lowassa bila ithibati miaka sasa hamjisikii aibu kuendelea kuzileta hapa?
 
Hizi story za ufisadi wa Lowassa bila ithibati miaka sasa hamjisikii aibu kuendelea kuzileta hapa?

Hujaelewa tatizo lipo kwenu. Kwa nguvu zote mnamwita Slaa msaliti na kumtaka atubu.

Nimeuliza wangapi wametubu? Mbowe na
wanafiki wenzake lini wametubu kwa
watanzania kutuaminisha kuwa
Lowassa sio fisadi, au lini wametubu
kwa watanzania kutuaminisha kuwa
Zitto sio msaliti?
 
Bado hamjajifunza tu kuweka akiba ya maneno? Jifunzeni mfano huu kutoka kwa Zitto, mlimwita msaliti na kila aina ya majina ambayo hakustahili kupewa. Leo kwa unyenyekevu mme.muinamia Zitto na kumlamba miguu nyie pamoja na viongozi wenu bado hamjajifunza tu?
mkuu....tukio la kuinamishwa limetokea wapi?
 
Hujaelewa tatizo lipo kwenu. Kwa nguvu zote mnamwita Slaa msaliti na kumtaka atubu.

Nimeuliza wangapi wametubu? Mbowe na
wanafiki wenzake lini wametubu kwa
watanzania kutuaminisha kuwa
Lowassa sio fisadi, au lini wametubu
kwa watanzania kutuaminisha kuwa
Zitto sio msaliti?

Kwani Lowasa ni fisadi?

Ameiba nini?

Tunawataka mumpeleke mahakamani...la sivyo fungeni mabakuli yenu
 
Kwani Lowasa ni fisadi?

Ameiba nini?

Tunawataka mumpeleke mahakamani...la sivyo fungeni mabakuli yenu

Kujua Lowassa ni fisadi au sio fisadi tumewaachia kina Mbowe watoe ushahidi wa kuridhisha kwani wao ndio waliotuamisha Lowassa ni fisadi kwa miaka mingi tu!
 
Habari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!

Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
Chadema na vijana wake dawa yao ni Zitto. Kaondoka kwenye chama chao na bado akarudi bungeni (hawakutaka). Karudi bungeni kaanza kuwaonyesha kuwa akili yake ni kubwa. Anapiga ngoma jamaa wanacheza! Mwisho wa ubaya aibu. #UNAFIKI
 
Nadhan wwe ndio umekua mvivu kufikiri vzr kupitia kichwa umeambiwa kuunga mkono hoja sio dhambi so unawapa lawama za nini chadema

Hakuna anayewapa lawama Chedema. Tunachoangalia hapa ni unafiki unaofanywa na viongozi wenu! Leo wamewaaminisha kuwa Slaa ni msaliti, na nyie pasipo kutumia akili mnapelekwa tu kama mang'ombe!
 
Hakuna anayewapa lawama Chedema. Tunachoangalia hapa ni unafiki unaofanywa na viongozi wenu! Leo wamewaaminisha kuwa Slaa ni msaliti, na nyie pasipo kutumia akili mnapelekwa tu kama mang'ombe!
Naomba unioneshe bandiko langu la aina yyte nikimziaki Dr slaa kirikou Jaribu kutumia kichwa chako kwa kufikiri na si kukiacha kuwa ni mzigo tu juu ya mabega yako
 
Hujaelewa tatizo lipo kwenu. Kwa nguvu zote mnamwita Slaa msaliti na kumtaka atubu.

Nimeuliza wangapi wametubu? Mbowe na
wanafiki wenzake lini wametubu kwa
watanzania kutuaminisha kuwa
Lowassa sio fisadi, au lini wametubu
kwa watanzania kutuaminisha kuwa
Zitto sio msaliti?
Wacha wee tuachane na mengine yote nijibu tu kwa ithibati ufisadi wa Lowassa
 
Kujua Lowassa ni fisadi au sio fisadi tumewaachia kina Mbowe watoe ushahidi wa kuridhisha kwani wao ndio waliotuamisha Lowassa ni fisadi kwa miaka mingi tu!

Unataka ushahidi uufanyie nini wakati tumekwambia Lowasa sio Fisadi......Ila alichezewa rafu na mwizi mkuu...jamaa anakaaa kule msoga
 
Ni wapakwa mafuta (mapadri) wachache sana wanao asi Kanisa Katoliki wanaishia pazuri, wengi ni kuhangaika tu. Mnamkumbuka Milingo (Askofu Mkuu wa Zambia?). naye alianza kukimbia kimbia, mwisho wake sijui yuko wapi!
 
Naomba unioneshe bandiko langu la aina yyte nikimziaki Dr slaa kirikou Jaribu kutumia kichwa chako kwa kufikiri na si kukiacha kuwa ni mzigo tu juu ya mabega yako

Wafuasi wengi wa Chadema kwa sasa wamempa jina la usaliti Dr. Slaa, hii imetokana na kuaminishwa na viongozi wao. Na katika siasa tunasema wengi wape hata kama wewe hujaweka hilo bandiko la kumtukana Slaa, lakini waswahili wanasema samaki mmoja akioza wote wameoza. Kwa hiyo nyie wafuasi wa Chadema kwa sasa wote mmeoza!
 
Back
Top Bottom