Dr. Slaa aomba ukimbizi Canada

Dr. Slaa aomba ukimbizi Canada

Huyu Mzee usaliti unamtafuna sana... anataka ahame hadi Dunia, aende tu mwezini... ALIISALITI UKAWA, akajiona CCM ndio kimbilio lake, hakujua CCM wanakutumia kama toilet paper kisha wanakutupa kama uchafu... ndio akome... SASA ataishi kama mkimbizi hadi mwisho wa maisha yake...
 
Wafuasi wengi wa Chadema kwa sasa wamempa jina la usaliti Dr. Slaa, hii imetokana na kuaminishwa na viongozi wao. Na katika siasa tunasema wengi wape hata kama wewe hujaweka hilo bandiko la kumtukana Slaa, lakini waswahili wanasema samaki mmoja akioza wote wameoza. Kwa hiyo nyie wafuasi wa Chadema kwa sasa wote mmeoza!
Umewajuaje kama ni wafuasi wa chadema wale wanaomsema kwa maneno mabaya Dr slaa? huwa nasikitishwa sana nisomapo comment ya kijinga kama hiyo yako. Hivi hawa unatumia kichwa chako kufikiri japo kiduchu? pia jaribu kuficha upunguan wako japo kidogo najua uwezi ficha wote
 
Mbowe ameshakwambia sio Fisadi...wewe unataka nini tena?

Kusema sio fisadi haitoshi, walete ushahidi mbona wakati wanatuaminisha ni fisadi hawakusema ni 'fisadi' tu, walisema kwa ushahidi tena mzito ambao ulitufanya watanzania tumuogope Lowassa!
 
Kusema sio fisadi haitoshi, walete ushahidi mbona wakati wanatuaminisha ni fisadi hawakusema ni 'fisadi' tu, walisema kwa ushahidi tena mzito ambao ulitufanya watanzania tumuogope Lowassa!

Ushahidi upi ambao chadema walitoa kuhusu ufisadi wa Lowasa...Tunachojua ni mwakyembe ndiye alitoa ushahidi
 
ha ha ha ha ha ha ha anajiangaisha bureee watu wanavuana shanga bungeni yy anatafuta pa kulala dunia hiii
 
Kwanza huku wana UKAWA wengi wanamuonea huruma
alivyoingizwa mkenge na Magufuli

Sasa watu wanao kuonea huruma wataku dhuru vipi?

Alienda kupiga busu Fisi hakuambulia Mfupa, Aende kuwaangukia kina Mbowe labda watamwachia kale kanyumba.
 
Kwani idara ya usalama wa viongozi wa ccm na vibaraka wao wameshindwa kumhakikishia usalama wake?! Dhambi ya usaliti inamtafuna, atajikuta kaomba hifadhi burundi kwa interahamwe Pierre!

Nilisema, Slaa ni Msaliti. Hastahili huruma yoyote.
 
Habari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!

Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
Nani anaye mkimbiza? na atishwe na nani anajitisha mwenyewe kwa aibu tu na fadhaa alizo beba,nenda mwana kwenda na nyuma usigeuke,kaishi hata na Waeskimo Canada kuna Watanzania lukuki.
 
Hizi story za ufisadi wa Lowassa bila ithibati miaka sasa hamjisikii aibu kuendelea kuzileta hapa?

Kuna watu kwao wamekwishaaminishwa kuwa Lowasa ni fisadi na ni fisadi peke yake Tanzania!!!

Magufuli alikataa kupiga kampeni na Nyoka wa Makengeza .......... wamuulize alifanya hivyo kwa sababu zipi!!? Sasa leo anaubavu wa kumfungulia kesi Mwenyekiti wa Bunge kweli?? Year 2010 JK alihakikisha Nyoka wa Makangeza hakupita kwenye Uspika ............... JPM hashindwa nini??
 
Back
Top Bottom