chipaka.com
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,883
- 1,195
Kumbe usaliti ni dhambi kubwa hivi???
Hakuna dhambi mbaya kama usalitiSiamini km Dr. Slaa yule aliyekuwa anapendwa kiasi kile ndo huyu anayetupiwa mayai viza na kila mtu. Du! Kweli Dr. alibugi step.
Na uzee ule!!Atakuwa anabeba box tu, usaliti haujawahi kumwacha mtu salama
So amekimbilia kwa wezi wa makanikia!Dr. Ana Allergy na Mafisadi waliojazana CHADEMA atakua amebadisha makazi.
Hahahaaaaaa.......umetisha.ana beba box napigia msitari
![]()
Anam......Mbowe ana fanya nini nyumbani kwa Wema?