Hahahaaaa mkuu sasa Rutta aende akafanye nini tena?!Anam......
burudani tosha au ulitaka uende wewe?
Katika hili la makanikia tutawakumbuka wengi na hasa wale ambao source zao za income hazieleweki!![]()
Mtamkumbuka sana..... Lakini Mashinji si yupo Katibu Mkuu msomi kuliko wote duniani?
![]()
Mtamkumbuka sana..... Lakini Mashinji si yupo Katibu Mkuu msomi kuliko wote duniani?
Muulize Mbowe LOWASA yuko wapi?Tupo vitani tukitetea rasilimali zetu yakiwemo madini na makanikia, so wenzetu mnaoishi Canada makao makuu ya adui tujulishane yanayojiri huko. BTW Katibu Mkuu wa Chadema mstaafu aishiye huko Canada anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato?
Lowasa tumemuona juzi akimpongeza Dr Magufuli anavyopambana na wezi wa makanikia!Muulize Mbowe LOWASA yuko wapi?
Kama kushuka kwa Chadema toka asilimia 32 hadi 17 huoni basi wewe ni zaidi ya zuzu.Nyie mliomrubuni ndiyo mnamkumbuka sisi hatuna dili naye tena, makanikia yenu hayo.
Kama kushuka kwa Chadema toka asilimia 32 hadi 17 huoni basi wewe ni zaidi ya zuzu.
Naona siku hizi kachoka hata kutoa pongezi kwa Magufuli. kapongeza weee, mwisho kashindwaKwanza huku wana UKAWA wengi wanamuonea huruma
alivyoingizwa mkenge na Magufuli
Sasa watu wanao kuonea huruma wataku dhuru vipi?
Mmm, ngoja nipite tu.Habari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!
Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?