Mnatabia mbaya ya kumsingizia Mungu ili awaonee huruma!Dr. Slaa Mungu akupe moyo Wa ujasiri. Kwa kweli mwanadamu ni kiumbe mbaya kuliko mnyama. Hivi kweli yote uliyoyafanya Chadema yametupwa Leo unaambulia matusi mazito hivi kwa vijana Wa Chadema??
Kama wameufanyia hivi mti mbichi??, itakuwaje kwa mti mkavu?? Kweli vita ya madaraka hasa urais ni mbaya mno.
Ushauri wangu kwasababu wewe ni mtu wa dini basi mtwike Bwana fadhaa zako zote maana yeye hujishughulisha na maisha yako. Wale wanaofahamu ulipoitoa Chadema wataendelea kukuheshimu bila hata KUJALI vyama vyao. Wale wenye moyo mgumu, moyo Wa lucifer wataendelea kukukejeli, hilo lisikusumbue yote ni maisha.
Jitahidi kuishinda vita yako kwa maombi BINAFSI na neno la Mungu kwa wingi. ZABURI 121
Queen Esther
Umeshawahi kuandikiwa check ukachukue hela toka kwenye closed account?
Nina mashaka huenda huyu mtu hakupewa alichohaidiwa na huenda kaambiwa SHUT UP! ukiinua mdogo kujifanya kuongea kinyume nyume ndio itakua tiketi ya kutangulia mbele za haki, kumbukeni mtu ukitumika kwa mabaya baada ya kazi wale waliokutuma wanapanda mkakati wa kukutokomeza kabisa ili usije kuwa kigeu geuHabari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!
Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
Nakumbuka uzi wako mmoja ulikua ukichambua hali ya Dr katika ulimwengu wa roho, ulisema ataendelea kua mtu wa ahangaiko mpaka mwisho wake, kweli nimekukubali!!Naye hatakuwa na kikao katika nchi ya uzao wake
Kama zitoSwala la lipumba...na dr slaa ni tofauti..
Mahangaiko yanayomsumbua dr ni mengi.... usaliti wa chama na kanisa... ni vitu hatari sana...
Lipumba anaweza kuomba msamaha akasamehewa ikumbukwe wakati anajiengua kwenye kiti chake bado hajakaa mbali na siasa...
Huyu dr makando ni mengi mara familia...mara chama...mara kanisa...mara bango la nyumba...
Kama.zitto vileUsaliti ni kitu kibaya sana katika maisha ya duniani
nimependa hapo Don Williams"the gambler"unatakiwa ujue time ya kuicheza siasa,time ya kuhesabu hela na time ya kukimbia.
Mzee wa sumu ya kubabua ngozi anatishia maisha ya Dr slaa,Na CCM wameshamtumia na kufanikiwa.... nao pia sioni sababu ya kumdhuru.
Dr slaa na zitto nani msaliti?nimependa hapo Don Williams"the gambler"
Zitto vipi?Kwani idara ya usalama wa viongozi wa ccm na vibaraka wao wameshindwa kumhakikishia usalama wake?! Dhambi ya usaliti inamtafuna, atajikuta kaomba hifadhi burundi kwa interahamwe Pierre!
Bila shaka MZEE wa sumu za kunyonyoa ngozi ndo anamtisha Dr slaa kimbia kabla hajakufanya ya mwakyembeHabari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!
Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
Hajakosea MZEE wa simu ndo anamtishia,mmmh kosea vyote usikosee kuoa
Kati ya CHADEMA na CCM ni yupi aliyeharibu future ya huyu Mzee? Jitahidi kufikiri kwa kina na utumie ubongo wako vizuri sio kufikiri kwa kutumia viungo vya kutolea haja kubwa.Chadema laana ya Dr Slaa ita watesa milele..
Kwani zitto amemuoa josephine??Kama zito