Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Kila mtu anamapungufu yake, wacheni aseme anachijisikia, ila tambueni kuwa kama siyo yeye chadema leo isinge kuwa hapo ilipo.

Wengi inatuuma sana kuona amebadilika ila ni busara kumpa heshima yake, huenda sikumoja akabadilika.

Hakuna asiyemuheshimu Dr.Slaa kwa MCHANGO wake kwa UPINZANI.Ila kimoja tu alikosea,kuusikiliza moyo kuliko AKILI.

Alitakiwa kunyamaza au kuamua hata kuwasaidia vijana aliowatrain kwenye kampeni.Lakini yuko wapi???Anaenda kuwasaidia wale tuliotaka tuwatoe.

Wale walioikataa RASIMU yetu,hapo ndipo anaponishangaza.
 
WanaJF na hasa wana CHADEMA wenzangu tuwe makini sana na maandishi yetu hapa jukwaani kuhusu huu ukimya wa DR SLAA, tafadhalini sana, DR ni kiongozi mkubwa sana anastahili kuheshimiwa, wale wenye uchungu na CHADEMA na tunaofahamu tulipotoka hatuwezi kumkashifu huyu mtu, kwa lipi hasa ?

Acheni kabisa jambo hilo, sikupenda kuandika jambo hili maana linaweza kuendeleza malumbano zaidi lakini ni me lazima
kuliweka kama angalizo.

yaani ungejua Hela alizohongwa ndizo zinatumika kwenye kampeni ungekaa kimya. Ndio maana alikaa kimya muda mrefu ili dau liwe kubwa.
 
Dr alifungiwa nje akalala kwenye gari kuamka asubuhi shingo,kiuno na mbavu zote zimekaza na maumivu makali akambiwa na Mama Mshumbuzi achague siasa au apigwe talaka rejea ?.Dr Mihogo akakimbilia Serena kubwabwaja akidhani atakuwa na impact ya maana kumbe wapi waTanzania wameamua safari hii ni mabadiliko.
Umesahau kitu kimoja.
Kwenye gari aliacha vioo wazi ili apate hewa, sasa mbu nao wakajaa kishenzi kwenye gari asubuhi anaamka kidogo apate malaria masikini Mzee wa Watu.
 
WanaJF na hasa wana CHADEMA wenzangu tuwe makini sana na maandishi yetu hapa jukwaani kuhusu huu ukimya wa DR SLAA, tafadhalini sana, DR ni kiongozi mkubwa sana anastahili kuheshimiwa, wale wenye uchungu na CHADEMA na tunaofahamu tulipotoka hatuwezi kumkashifu huyu mtu, kwa lipi hasa ?

Acheni kabisa jambo hilo, sikupenda kuandika jambo hili maana linaweza kuendeleza malumbano zaidi lakini nimelazimika kuliweka kama angalizo.


Wewe ni CDM? Mmmmmh! Labda CHADEMA - Mihogo
 
WanaJF na hasa wana CHADEMA wenzangu tuwe makini sana na maandishi yetu hapa jukwaani kuhusu huu ukimya wa DR SLAA, tafadhalini sana, DR ni kiongozi mkubwa sana anastahili kuheshimiwa, wale wenye uchungu na CHADEMA na tunaofahamu tulipotoka hatuwezi kumkashifu huyu mtu, kwa lipi hasa ?

Acheni kabisa jambo hilo, sikupenda kuandika jambo hili maana linaweza kuendeleza malumbano zaidi lakini nimelazimika kuliweka kama angalizo.
Ukitaka kuheshimiwa na wengine jifunze kuwaheshimu wengine.
 
Heshima yangu yote niliibwaga alipojiingiza ndani ya kambi ya sisi m
Hana haja ya heshima yoyote mpuuzi yule. Dhaifu kwa madam Josephine
 
Ataachwa vipi wakati anatumika mkuu, Dr. Slaa leo anatuambia tuchague ccm tukae kimya na tukubaliane tu kuwa ni sawa.

Na wewe tafakari mkuu ushauri wako siyo mzuri kabisa, angenyamaza tungemheshimu kweli lkn anatuambia tumchague Magufuli laa laa laa!!!!! aise hapana angesema Dotuvwa, H. Rungwe, Lema wa TLP au mama wa ACT ningemwuunga mkono.

ccm nitasema nooooooo!!!!!!!!!! siku zote.



Mambo mawili tu ambayo mwenye akili timamu lazima amweke kundi la wasomi wanaoongozwa na Tamaa binafsi ni;

1. Huwezi na hutaweza kuamu kutofautiana na cc ya chama chako,ukajiuzuru kisha usimme jukwaani kueleza ubovu wa mgombea wa chama chako kwa vyombo vya habari je,Mwanasheria wa zanzibar alipotofautiana na chama chake je aliita waandishi wa habari? Ama nfio kununuliwa?


2.Dt.slaa,lazima ajue,si kila unalopanga wewe na Mleo ndio maamuzi ya chama" niliweka vigezo kumpokea Lowassa" vilikuwa vigezo vya cc ya chadema au ya mgombea binafsi?



Dr.slaa na Lipumba na wasanii wanaonunuliwa wajue kuwa kuna maisha baada ya Uchaguzi,unayemsaidia leo ndio nyoka wa ukoo na kizazi cha watoto na wajukuu zako! ,Mungu katu hajawsahi kulala
 
siyo slaa pekee kila mtu anastahili kuheshimiwa maana bila watu slaa angepatia jina wapi.
 
Hakuna asiyemuheshimu Dr.Slaa kwa MCHANGO wake kwa UPINZANI.Ila kimoja tu alikosea,kuusikiliza moyo kuliko AKILI.

Alitakiwa kunyamaza au kuamua hata kuwasaidia vijana aliowatrain kwenye kampeni.Lakini yuko wapi???Anaenda kuwasaidia wale tuliotaka tuwatoe.

Wale walioikataa RASIMU yetu,hapo ndipo anaponishangaza.

... hahahahaaa! wale tuliotaka tuwatoe? si ndo wamekuja kwetu.
 
Ana naama akafie mbali tamaa azifai kama unataka kukomboa taifa na sasa tuko mabadiliko oyeee
 
... hahahahaaa! wale tuliotaka tuwatoe? si ndo wamekuja kwetu.

Huyo mmoja ndiyo ndiyo shida kule waliko mamia hakuna shida???Hata kichaa akisikia atashangaa
 
Erythrocyte, mimi adui mkubwa wa taifa naamini ni CCM na yeyote anayetoa ushirikiano kwa adui huyu ni adui yangu. Nilimkataa Zitto, nikamkataa Lipumba na hivyo hivyo japo kwa shingo upande, namkataa Dr. Slaa. Anayeunga mkono harakati za kuing'oa CCM madarakani ni rafiki yangu hata kama zamani alikuwa upande wa pili...hayo ndio mabadiliko. Katu sitamfuata mtu, nitaunga mkono juhudi za kuifuta CCM. Ndio maana ya hiyo signature yangu hapa chini.
 
Erythrocyte, mimi adui mkubwa wa taifa naamini ni CCM na yeyote anayetoa ushirikiano kwa adui huyu ni adui yangu. Nilimkataa Zitto, nikamkataa Lipumba na hivyo hivyo japo kwa shingo upande, namkataa Dr. Slaa. Anayeunga mkono harakati za kuing'oa CCM madarakani ni rafiki yangu hata kama zamani alikuwa upande wa pili...hayo ndio mabadiliko. Katu sitamfuata mtu, nitaunga mkono juhudi za kuifuta CCM. Ndio maana ya hiyo signature yangu hapa chini.

Ni maoni yako mkuu, uko sahihi! kimtazamo wako

ila kwa wengine tunaamini zitto ndio mpinzani halisi, ambaye mmempa majina yote mabaya, pas kuwa na ushahidi

taratibu tu utaelewa muda si mrefu

ila inauma kwa mtu wa umri wako kulishwa maneno na kuyaamini!
 
Erythrocyte, mimi adui mkubwa wa taifa naamini ni CCM na yeyote anayetoa ushirikiano kwa adui huyu ni adui yangu. Nilimkataa Zitto, nikamkataa Lipumba na hivyo hivyo japo kwa shingo upande, namkataa Dr. Slaa. Anayeunga mkono harakati za kuing'oa CCM madarakani ni rafiki yangu hata kama zamani alikuwa upande wa pili...hayo ndio mabadiliko. Katu sitamfuata mtu, nitaunga mkono juhudi za kuifuta CCM. Ndio maana ya hiyo signature yangu hapa chini.
msimamo wangu huu utatekelezwa pale tu ambapo Dr ataheshimu pia kuheshimiwa .
 
Back
Top Bottom