gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,338
- 3,393
Dr.WILBROAD SLAA ALINUNULIKA,HILO LIKO WAZI,ILA SISI WATANZANIA:-
-TUTAMPIGIA KURA EDWARD LOWASSA NA SIO MAGUFULI. Hakika!
Mkuu unaushahidi na unayoongea kwamba Slaa amenunulika?
Dr.WILBROAD SLAA ALINUNULIKA,HILO LIKO WAZI,ILA SISI WATANZANIA:-
-TUTAMPIGIA KURA EDWARD LOWASSA NA SIO MAGUFULI. Hakika!
Mkuu unaushahidi na unayoongea kwamba Slaa amenunulika?
Mkuu, hayo yote ni mema na yanafahamika. Ni kama vile tunavyowathamini wazazi. Kwa mapenzi yao wanatafuta mtoto, na akishazaliwa humtunza kwa gharama na kujinyima kukubwa. Wanayoyafanya wazazi ni mambo makubwa na magumu sana kiasi kwamba watu wengi hudiriki kusema kuwa wazazi ni miungu ya duniani kwa mtoto. Kati ya amri ambazo zinaweza kufupisha maisha ya mtu ni kuwadharau wazazi wake.Baada ya wananchi kuona mafanikio yake, walimwomba agombee ubunge, na kweli akagombea kupitia CCM, CCM waliona kama ni mgeni katika siasa wakakata jina lake na kumpa mshindi wa tatu aliyekuwa mbunge wakati huo. Hivyo basi wananchi wakamshawishi kuhamia chama cha upinzani na kuwa wangempa kura, Dr Slaa akahamia CHADEMA wakati huo CHADEMA hakina umaarufu kama sasa, chama kilichikuwa maarufu kilikuwa ni NCCR mageuzi. Dr Slaa akashinda kwa kishindo na kuwa mbunge wa kwanza kutoka CHADEMA na Dr Warid Kabour kutoka jimbo la Kigoma mjini. Tangu mwaka huo Dr Slaa alikifanya CDM kuwa chama chenye nguvu kwa kupambana na CCM iliyokuwa na wabunge zaidi ya 80% kwa kusimamia alichoamini bila kuyumba, baade alipata support baada ya Mbunge kijana Zitto Kabwe kuingia bungeni hivyo CDM ikapata nguvu kwa kuwa ilijonyesha ndiyo CHAMA cha kutetea wanyonge. Dr Slaa hajapewa heshima stahili. tuache kumbeza.
Kuna CHADEMA ASILI na kuna CHADEMA LOWASSA. Hawa CHADEMA LOWASSA hawawezi kumuelewa Dr. Slaa alichosema, watamtukana na kumkashifu sababu hawa ni wahamiaji tu, hawajui uchungu wa CHADEMA. Hawajui mchango wa Dr. Slaa kwa CHADEMA.Hawa ni "friends of Lowassa" 4U MOVEMENTS; ni wahamiaji tu, hawa ndio kila siku wanaandika "ulipo tupo". Lowassa alipokuwepo CCM walikuwa nae. sasa hivi yupo CHADEMA wako nae. Lakini kuna kundi la wanachama, hawa ni CHADEMA asili. CHADEMA asili wanajua uchungu wa CHADEMA, wanamuheshimu Dr. Slaa kama CCM wanavyomuheshimu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere! Hawa CHADEMA asili wanaujua mchango wa Dr. Slaa kwa CHADEMA. Wanafahamu wazi kuwa Dr Slaa ndio aliyekijenga CHADEMA na kufikia hapo kilipo. Kamwe maisha yao yote hawawezi kumpuuza na kumdharau Dr. Slaa. CHADEMA asili ndio wanajua walipotoka na CHADEMA mpaka leo hii. Hawa ni vijana ambao kwao Dr. Slaa ni "hero". Hawa vijana ndio watakao washa moto usiozimika CHADEMA! ....."friends of Lowassa" ni wahamiaji tu, na hawana uchungu na CHADEMA. Kilicho wapeleka pale ni Lowassa tu. Hawa ni watu wasiomjua Dr. Slaa na kwao hana dhamani yoyote ile, hawa ndio watu tunao waona hapa JF wakimtukana Dr. Slaa kwa kila aina ya matusi. Viongozi wa CHADEMA dhambi hii itawatafuna siku zote za maisha yenu. Dhambi ya kuuza chama kwa "fisadi Lowassa" kamwe haitawaacha mkae kwa amani.
Leo ni aibu kuona comment za kejeli na matusi ambazo wanachama wamekua wakimkosea heshima Dr Slaa.
Kwa namna mzee huyu alivyopambana kwa jasho na damu shukrani aliopatiwa haikumstahili, Hivi kama mti mbichi mmeutenda hivi je mti mkavu mtaufanyaje?
Hii ndio inayoitwa shukrani ya punda, Kwa namna chama hiki kinavyoongozwa kibabe ni wazi wengine wanaofikiri wamesimama basi na wajiandae.
L'su,mny'ka,na wengineo mjiandae siku yenu inakuja.
Huruma hii kwa CHADEMA inatoka wapi? Naona mbinu zenu chafu kuzuia mabadiliko zimeishaLeo ni aibu kuona comment za kejeli na matusi ambazo wanachama wamekua wakimkosea heshima Dr Slaa.
Kwa namna mzee huyu alivyopambana kwa jasho na damu shukrani aliopatiwa haikumstahili, Hivi kama mti mbichi mmeutenda hivi je mti mkavu mtaufanyaje?
Hii ndio inayoitwa shukrani ya punda, Kwa namna chama hiki kinavyoongozwa kibabe ni wazi wengine wanaofikiri wamesimama basi na wajiandae.
L'su,mny'ka,na wengineo mjiandae siku yenu inakuja.
Kila mtu anamapungufu yake, wacheni aseme anachijisikia, ila tambueni kuwa kama siyo yeye chadema leo isinge kuwa hapo ilipo.
Wengi inatuuma sana kuona amebadilika ila ni busara kumpa heshima yake, huenda sikumoja akabadilika.
Kama una mahaba naye mfate huko mkale mihogo woteKila mtu anamapungufu yake, wacheni aseme anachijisikia, ila tambueni kuwa kama siyo yeye chadema leo isinge kuwa hapo ilipo.
Wengi inatuuma sana kuona amebadilika ila ni busara kumpa heshima yake, huenda sikumoja akabadilika.
Hivi Slaa ndio nani?..
Noted; mda mfupi ujao dr ataenda kula matapishi yake kwa mara ya pili.Kila mtu anamapungufu yake, wacheni aseme anachijisikia, ila tambueni kuwa kama siyo yeye chadema leo isinge kuwa hapo ilipo.
Wengi inatuuma sana kuona amebadilika ila ni busara kumpa heshima yake, huenda sikumoja akabadilika.
Ukitaka kujua story zake muulize Gwajima atakupa full data za huyu Babu
Kila mtu anamapungufu yake, wacheni aseme anachijisikia, ila tambueni kuwa kama siyo yeye chadema leo isinge kuwa hapo ilipo.
Wengi inatuuma sana kuona amebadilika ila ni busara kumpa heshima yake, huenda sikumoja akabadilika.