N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 561
Kwani nani hamuheshimu? kwenye majukwaa ya Ukawa ushasikia anasemwa? yeye ndio hajiheshimu umekimbia kambi lakini wairushia mawe kama mwendawazimu tukueleweje doctor?
Huyo mmoja ndiyo ndiyo shida kule waliko mamia hakuna shida???Hata kichaa akisikia atashangaa
Ni maoni yako mkuu, uko sahihi! kimtazamo wako
ila kwa wengine tunaamini zitto ndio mpinzani halisi, ambaye mmempa majina yote mabaya, pas kuwa na ushahidi
taratibu tu utaelewa muda si mrefu
ila inauma kwa mtu wa umri wako kulishwa maneno na kuyaamini!
Erythrocyte, mimi adui mkubwa wa taifa naamini ni CCM na yeyote anayetoa ushirikiano kwa adui huyu ni adui yangu. Nilimkataa Zitto, nikamkataa Lipumba na hivyo hivyo japo kwa shingo upande, namkataa Dr. Slaa. Anayeunga mkono harakati za kuing'oa CCM madarakani ni rafiki yangu hata kama zamani alikuwa upande wa pili...hayo ndio mabadiliko. Katu sitamfuata mtu, nitaunga mkono juhudi za kuifuta CCM. Ndio maana ya hiyo signature yangu hapa chini.
Lowasa sio mtu. Lowasa ni mtandao kuna wengi tu wapo bado CCM na serikalini ambao ni wana mtandao wa Lowasa. Unamfahamu Rostam? yule mshirika wake kwenye RICHMOND/DOWANS, yule tuliyemlipa Bil 120 kutokana na ufisadi wao wa RICHMOND/DOWANS? unadhani anapenda Magufuli ashinde? MAFISADI yote ya CCM hayamwamini Magufuli hata kidogo. Mchana yapo naye lakini usiku yapo kwa mwenzao. Mafisadi hayatupani hata siku moja.
natangaza rasmi kukudharau kabisa kwa kipindi chako chote kilichosalia hapa duniani .
WanaJF na hasa wana CHADEMA wenzangu tuwe makini sana na maandishi yetu hapa jukwaani kuhusu huu ukimya wa DR SLAA, tafadhalini sana, DR ni kiongozi mkubwa sana anastahili kuheshimiwa, wale wenye uchungu na CHADEMA na tunaofahamu tulipotoka hatuwezi kumkashifu huyu mtu, kwa lipi hasa ?
Acheni kabisa jambo hilo, sikupenda kuandika jambo hili maana linaweza kuendeleza malumbano zaidi lakini nimelazimika kuliweka kama angalizo.
WanaJF na hasa wana CHADEMA wenzangu tuwe makini sana na maandishi yetu hapa jukwaani kuhusu huu ukimya wa DR SLAA, tafadhalini sana, DR ni kiongozi mkubwa sana anastahili kuheshimiwa, wale wenye uchungu na CHADEMA na tunaofahamu tulipotoka hatuwezi kumkashifu huyu mtu, kwa lipi hasa ?
Acheni kabisa jambo hilo, sikupenda kuandika jambo hili maana linaweza kuendeleza malumbano zaidi lakini nimelazimika kuliweka kama angalizo.
mada ni maghufuli na lowassa na siyo .wengineNa JK mtandao wake ni Upi???Chenge je???Hivi toka 2008 mpaka leo RUSHWA,WIZI,UFISADI na UBADHIRIFU wa mali za umma umepungua???
Escrow account ni ya nani???
Napenda kuwa mkweli kwa moyo wangu,Lowassa anaweza kuwa mchafu lakini kuna wachafu zaidi ya Lowassa wapo ndani ya CCM na serikali.JK na Mkape hawa je,mtandao wao ni akina nani???Maana mpka mtu kufikia kutuita malofa basi ujue yeye ni Lodi Lofa.
Ukiwa mkweli kubali kuchomwa na SINDANO ya UKWELI ,najua unauma,hata mie ukweli huu unaniuma kuona wanaoingia wakiwa masikini kama mimi wanatoka matajiri wachafu kabisa.
Jiulize kwanini kutumia pesa nyingi kumpinga mtu mmoja tu???