Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

Umma wa Watanzania utawahukumu Ccm October kwa kutengeneza mafisadi wanaopata sala ya toba Chadema[/QUOTsasa hivi iba wee ukiwa ccm..ukija chadema unakuwa msafi..unaiba ukiwa ccm unatumia kwa utulivu ukiwa chadema..wakati huyo huyo nao wanasubiri wapate nafasi ya kuiba
 
Kusamehe ni agizo shariti uwasamehe adui zako ili upunguze adui na kuongeza marafiki, hiyo ndio kanuni ya Mungu. Wote wanaotoka ccm tushawasamehe kilichobaki ni kupambana kuliondoa zimwi ccm
 
Wana Jf wasalaam!

Mmoja kati ya watu walio kuwa wanautaka Urais na walitegemea sana ndio wataongoza kijiti cha UKAWA ni Dr.W.Slaa ambaye kwa sasa amesusa kabisa baada ya kupatikana mbadala wake..!

WanaJf kama mtakumbuka siku ya mkutano wa CHADEMA pale mwanza Dr Slaa alipokelewa na wananchi kwenye gari la wazi huku akiwapungia mkono, kwakweli Dr alidhani kabisa ameshakuwa Rais na kwa kuonesha furaha alianza kuruka ruka kwa furaha,kama Mungu angemuonesha kuwa mbeleni atakatwa basi asingeliruka kabisa na angesusa kwenda kwenye mkutano kama alivyofanya sasa!

WanaJf tatizo la Dr Slaa sio Lowassa bali ni Urais, na laiti Lowassa asingegombea Urais wala Slaa asingesusa na kujifungia nyumbani kwake!

WanaJf, Slaa ana sifa zote za wanafiki waliotukuka maana asiye mnafiki husema wazi wala hakai kimya na kususa.Nilitegemea Slaa kama kweli anapinga suala la Lowassa ajitokeze hadharani na kusema sio kususa kama watoto

Watanzania hadi sasa hawajui msimamo wake na isitoshe wenzie wamesema na yeye alibariki Lowassa kushika kijiti cha UKAWA!

Kama kuna mwanaCHADEMA bado anafikiri Dr. Slaa bado ni mwana chadema basi mtu huyo atakuwa amechanganyikiwa!

Dr. Slaa sio mwana chadema tangu Lowassa alipokabidhiwa kijiti lakini kwa kuwa Slaa ni mnafiki sana basi hataki kuwambia ukweli anajifanya amesusa!

CHADEMA wanapoteza muda kumbembeleza Slaa lakini hawatofanikiwa kwa kuwa Slaa alishahamua kuachana na CHADEMA baada ya kukosa nafasi ya kugombea Urais..!

Sasa hivi anachofanya Dr. Slaa ni mbinu ya kuhakikisha kura za Lowassa hazitoshi kwa kuwagawa wana UKAWA na bila shaka atafanikiwa katika hili na hatoshiriki campaign za kumnadi fisadi!

Dr. Slaa aliizoea nafasi ya kuwa Rais kimvuli sasa anaona ndoto yake imepotea na hayuko tayari kuendelea na CHADEMA lakini kwa kuwa ni mnafiki basi hataki kuwambia ukweli CHADEMA!

Jambo ambalo wanaweza jaribu CHADEMA ili kumshawishi Slaa kumnadi Lowassa basi ni kumhaidi mshahara mnono kuanzia Million 20 kwa mwezi maana ili ndio tatizo lake na kamwe hawatofanikiwa kumshawishi kama hawatokwenda na wazo la Pesa!

Karibuni wanajamvi!
 
Hutakiwi kumponda Slaa, Slaa amefanya makubwa chadema Yule Mzee amepigwa sana mabomu! He deserve more and full respect, yeye ni binaadamu tu Kama wengine,, isipokua kwa wimbi hili la kuitoa ccm madarakani sio Dr Slaa peke yake anahitajika Hadi Zitto Kabwe tunamuhitaji kuongeza nguvu!!
 
  • Thanks
Reactions: jme
Ngoja pro Mbowe waje hapa,hakika umezungumza wanachopenda kukisikia.
 
Huu ni ukweli halisi,mimi nimechoka kubembeleza mtu asiyebembelezeka,anataka chadema irudie
kama mwaka 2010 kumnunua kwa hela nyingi ndio arudi,akae nyumbani kwake na Josephine wake
wasituchanganye sisi.
 
Kwani mkuu wewe ukipishana na wanafamilia yako unakuwa si mwanafamilia???
 
Wandugu,

Nimeanza kuona kejeli, uzushi, kashfa, matusi, mipasho ya kila aina juu ya Dr Slaa ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. Dr Slaa alikuwa muhimili mkuu wa CHADEMA na kupambwa kwa kila afanyalo Lakini leo amekuwa Si chochote si lolote.

Ushauri Wangu Kwenu Ni kuwa na subra na stara kwake Kwani hata kama humpendi katika Siasa tena ki umri ni Mzee Wako hivyo anastahili Sana heshima!

Vijana wa Bavicha acheni uzandiki kuweni na mitazamo ya kukubaliana kutofautiana na sio matusi na kejeli.

Nawasilisha!
 
Hakuna Mwana CHADEMA anayemkashifu Dr Slaa

wanaofanya hivyo ni wana ccm wanaojifanya wapinzani
 
Nionavyo mimi, Dr. Slaa kafanya vizuri kujipambanua na kuonyesha msimamo wa kile anachokiamini juu ya mafisadi
 
pro mbowe na pro lowasa wanapenda sana hizi mada ngoja waje
 
Huu ni ukweli halisi,mimi nimechoka kubembeleza mtu asiyebembelezeka,anataka chadema irudie
kama mwaka 2010 kumnunua kwa hela nyingi ndio arudi,akae nyumbani kwake na Josephine wake
wasituchanganye sisi.

Bora wewe umebaini mapema Dr.W.Slaa anahitaji mshahara mnono..
 
DR njoo ofisini, wewe ni mtendaji na tuko vitani...rudi
 
Hutakiwi kumponda Slaa, Slaa amefanya makubwa chadema Yule Mzee amepigwa sana mabomu! He deserve more and full respect, yeye ni binaadamu tu Kama wengine,, isipokua kwa wimbi hili la kuitoa ccm madarakani sio Dr Slaa peke yake anahitajika Hadi Zitto Kabwe tunamuhitaji kuongeza nguvu!!

Babu Slaa anahitaji pesa..
 
Sasa wewe mwana CCM mwenzangu

Ya CHADEMA yanakuhusu nini

Achana nao

Tukutane Oktoba 25 watutambue sisi CCM ni nini

Vyama vya kifamilia saizi yake ni Zitto tu....

Tutamwachia zito kazi ya kuwamaliza
 
Sasa wewe mwana CCM mwenzangu

Ya CHADEMA yanakuhusu nini

Achana nao

Tukutane Oktoba 25 watutambue sisi CCM ni nini

Vyama vya kifamilia saizi yake ni Zitto tu....

Tutamwachia zito kazi ya kuwamaliza

Atimaye gamba umerudi nyumbani hongera naona sasa n wazee mtakiona cha mtema kuni
 
Mwacheni Slaa apumzike, aliyoyafanya kwenye siasa za upinzani Tanzania ni makubwa mno.

Mbona hammsemi Lowassa anaeutafuta Urais kwa gharama yoyote ile.?
 
Back
Top Bottom