Lakin uaadilifu wake unabaki wa mashaka tu. Kwa nini mke wa mfalme utuhumiwe umalaya? Kwa mini yeye yumo tuuu. MTU anaweka conditions kuwa awe mgombea pekee kwa kuogopa kizidiwa na washindani wake.,Sifa mojawapo ya demokrasia ni pamoja na vetting kuwa competitive kutoa wigo mpana kwa electorate kuchambua na kupima. Mbowe anakataa conditions za Dr. Slaa kuwa ajisafishe kwanza kabla hajawa mwanachama na aje awe mwanachama was kawaida. Lakini anakubali za Lowasa kugombea peke take. Hapa ndo panatia shaka. Conditions gani zilikuwa ngumu. Alafu anadanganya eti watu wote tuko sawa ndani ya chama. Lowasa kupokelewa ilikuwa sherehe pale Bahari Beach ni mwanachama gani alipokelewa na kufanyiwa Sherehe? Unafiki mwingine siwakuvumilia.