Dr. Slaa naye hapo amechanganya mambo, kwa mujibu wa gazeti la Nipashe anadai JK alitakiwa awaite Kagame na wapinzani wake ili awapatanishe; kwa madai kuwa Kagame hawezi kuongea na wauaji wa watusi. Ili mtu yeyote awe ktk nafasi ya kuwapatanisha maadui ni lazima kwanza watu hao wakubari kuongea na kupatanishwa, kwa hiyo hoja ya JK ya kumtaka Kagame aongee na waasi inaweza kubaki sahihi! Sijaona nguvu na mantiki ya hoja ya Slaa hapo.