Rock City,
Usiwadanganye Watanzania. Tishio la Tanzania halijadiliwi katika Mtandao. Ni muhimu Kama mtu huelewi jambo aka kimya. Kama kungelikuwa na Tishio la Watanzania kushikamana, kwa mujibu wa Katiba, Bunge japo Kamati ya Ulinzi ingelihusishwa. Pili Taifa kujulishwa juu ya Tishio Hilo. Hapo ungelizungumzia Uzalendo. Hapa tulipo tatizo ni kuwa Mambo yanajadiliwa kwa ushabiki, na kinachoonekana dhahiri nimkulinda " dhaifu" kwa udhsifu wake. Hamsaidii, mien mwenzenu ushauri mzuri. Narudia, nchi haitaenda vitamin tu kwa kauli ya marais wawili, ambao kimsingi wanajibizana wao. Simamia principle, mtu ukikosea na ulimi huteleza omba msamaha. Dhambi ni nini kuomba msamaha! Kwa hakika aliyejifanya mpatanishi kwa majirani wakati kwake kuna bomoka, safari hii kapatikana. Hakuna pa kujifichia. Nilikwisha sema, iwapo Kagame atashambulia Tanzania kwa ajili ya kiongozi mwenzake, watanzania kwa ujumla wetu tutanyanyuka na kuilinda nchi yetu. Naanza kupata hisia kuna zaidi ya Kauli? Kuna nini nyuma ya Pazia wakati JK anaelekea kwa kauli yake tayari amenyoosha mikono yake!