Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

Uzalendo unaanzia nyumbani,kuwatuma JWTZ waende mtwara kuua na kubaka huku wewe ukibaki kuendelea na matayarisho ya kongamano la kuombea taifa AMANI ni UJINGA!anayeunga mkono naye ni --------,JK meshindwa kushughulikia amani ya Tanzania kwa sababu anajua matunda ya kuvurugika kwa amani,mlipuaji wa bomu pale Soweto alipita mbele ya polisi wote waliokuwa pale uwanjani,Kikwete hajapata ujasiri wa hata kuwahoji kama kuna aliyeweza kumwona hata kwa mbali,lakini ana Guts za kushauri/kukemea/kuhoji na hata kutuma majeshi yetu congo kupambana na anaoamini ni wanajeshi wa hasimu wake Kagame,Dr slaa angeweza kumsapoti jk,na bado anaweza kumsapoti ikiwa jk ataweza ku Practice what he preach!! Ila jk ana preach water while he drink wine,sidhani kama Dr slaa ni mjinga kiasi cha kuisapoti M23 hadharani!!
 
Dr.W.Slaa,

Mimi nadhani kwenye hili sakata la malumbano ya kagame dhidi ya Kikwete usilifanye la kwao, kwani nimeona hoja yako inaonyesha wazi kuwa malumbano hayo ni baina ya Kikwete (umeuvua uhusika wake kama kiongozi wa nchi) na Kagame.

Hili suala halipaswi kufanywa ni jambo binafsi la Kikwete, Dr Slaa unapaswa uelewe kuwa kikwete akitoka nje ya mipaka ya Tanzania ana kuwakilisha mpaka wewe huko ughaibuni, hivyo anapotokea mtu yeyote na kumkashfu au kumtangazia uhasama Kikwete basi ujue mpaka wewe umejumuishwa.

Ningependa kuona kwenye hili suala tushikamane kama watanzania na tuwe kitu kimoja, si vyema kuingiza tofauti zetu za kisiasa na kiitikadi kwenye mambo yanayo gusa usalama na ulinzi wetu, hapa ikitokea vita sidhani kama kuna mtu atakumbuka u-CCM au u-CHADEMA, ila utasikia watu tukililia taifa letu Tanzania.

Jambo lingine, Dr Slaa una mdhihaki kikwete kuwa ana jipendekeza kufatilia mambo ya watu wengine ilhali ya kwake yamemshinda, sidhani kama ulikuwa makini wakati ukieleza haya, ila angalau ungejisumbua kidogo kuzijua nafasi za kikwete zaidi na urais tu, ni mwenyekiti wa mambo ya usalama (SADC) kwenye nchi za kusini mwa Afrika, hivyo kushauri Rwanda ni sehemu ya majukumu yake, na hata wewe sidhani kama umezuiliwa kwenda kufanya majadiliano na Kikwete, kama amewahi kufanya hivyo wenda unaweza ukawa na hoja ya msingi.
 
Last edited by a moderator:
Mzizi mkavu nafikiri nia ya kuandika hapa JF ni kutaka kuwaeleimisha watanzania. sasa mbona unataka kuwapotosha basi. Dr. anaeleweka kabisa. Kiongozi ambaye hayuko tayari kuwasikliza wapinzani ndani ya nchi yake pia na kuangalia wanavyo nyanyaswa na vyombo vya dola anapata wapi busra na umakini wa kutoa ushauri kwa kagame ili aongee na wapinzani!!!!!!!!!!!!!!!!!! Double standard hapa hakuna cha uzalendo ila wewe mleta maada hii u mnafiki tu!!!!!!!!!!!!

Acha uzushi mbulula weee!!! Thamini Utanzania wako na kukataa kutumika na maharamia kwa ujira mdogo kama ndom. Pumbaf wee.
 
Rangi halisi ya Dr. Slaa imeanza kuonekana.

Mara awaambie watu kuomba Mungu sio jambo zuri. Sasa anaunga mkono waasi na kuside na Kagame agaist Rais wa Tanzania!!!
 
Kwa kuwa slaa unauwezo wa kuropoka sana naomba uropoke na majina ya mtandao wa madawa ya kulevya nauhakika unawajua na kwa uzoefu ulionao ktka kuropoka naamini hili halitakushinda naamini kwa sifa nyingi utazolipatia taifa hili sidhani kama hatutajuwa ukweli ila kama unaona ni siri tutakuweka kundini natuamini upo kwenye mtandao huo ok tiririka slaa

Hili nalo limetokea wapi???? Kuna mijitu mingine ni kero kwenye jamii.
 
Dr.W.Slaa,

Mimi nadhani kwenye hili sakata la malumbano ya kagame dhidi ya Kikwete usilifanye la kwao, kwani nimeona hoja yako inaonyesha wazi kuwa malumbano hayo ni baina ya Kikwete (umeuvua uhusika wake kama kiongozi wa nchi) na Kagame.

Hili suala halipaswi kufanywa ni jambo binafsi la Kikwete, Dr Slaa unapaswa uelewe kuwa kikwete akitoka nje ya mipaka ya Tanzania ana kuwakilisha mpaka wewe huko ughaibuni, hivyo anapotokea mtu yeyote na kumkashfu au kumtangazia uhasama Kikwete basi ujue mpaka wewe umejumuishwa.

Ningependa kuona kwenye hili suala tushikamane kama watanzania na tuwe kitu kimoja, si vyema kuingiza tofauti zetu za kisiasa na kiitikadi kwenye mambo yanayo gusa usalama na ulinzi wetu, hapa ikitokea vita sidhani kama kuna mtu atakumbuka u-CCM au u-CHADEMA, ila utasikia watu tukililia taifa letu Tanzania.

Jambo lingine, Dr Slaa una mdhihaki kikwete kuwa ana jipendekeza kufatilia mambo ya watu wengine ilhali ya kwake yamemshinda, sidhani kama ulikuwa makini wakati ukieleza haya, ila angalau ungejisumbua kidogo kuzijua nafasi za kikwete zaidi na urais tu, ni mwenyekiti wa mambo ya usalama (SADC) kwenye nchi za kusini mwa Afrika, hivyo kushauri Rwanda ni sehemu ya majukumu yake, na hata wewe sidhani kama umezuiliwa kwenda kufanya majadiliano na Kikwete, kama amewahi kufanya hivyo wenda unaweza ukawa na hoja ya msingi.

acha umbulula wewe wa kutumika na maharamia wanaoisaliti nchi. Kama mji umekushinda rudi kijijini kwenu ukalime mchicha badala ya kuendelea kudumaza akili yako.
 
Yericko, soma makala hadi mwisho. Naona unamshambulia mleta habari na si mwandishi wa habari.
Wewe ni mpuuzi na wakupuuzwa kama wahuni wenzio tu wanaoganga njaa hapa mtandaoni,

Umehama MMU sasa unadandia jukwa la siasa kijana?

Mods

Unganisheni ----- huu na uzi halisi wa "Dr Slaa ampinga jk",
 
Mwisho ameandika neno CHANZO: Someni mpaka mwisho WAAFRICA.
Mzizi mkavu nafikiri nia ya kuandika hapa JF ni kutaka kuwaeleimisha watanzania. sasa mbona unataka kuwapotosha basi. Dr. anaeleweka kabisa. Kiongozi ambaye hayuko tayari kuwasikliza wapinzani ndani ya nchi yake pia na kuangalia wanavyo nyanyaswa na vyombo vya dola anapata wapi busra na umakini wa kutoa ushauri kwa kagame ili aongee na wapinzani!!!!!!!!!!!!!!!!!! Double standard hapa hakuna cha uzalendo ila wewe mleta maada hii u mnafiki tu!!!!!!!!!!!!
 
Soma hadi mwisho, utaona neno CHANZO: Waafrica ukitaka kuwaficha habari, ANDIKA.

Duuh.. kweli this's too low coming from u MziziMkavu.. Maana according to ur bandiko hapa Dr. Slaa amesema haoni busara kwa kauli ya JK kumuambia PK azungumze na magaidi wakati huku anashindwa kulifanya lile analolishauri kwa mwenzie.. Unaita huko ni kukosa uzalendo..? Hivi kweli kichwa cha habari kinaendana na maudhui..?
 
Sijaelewa alichojibu slaa hapa,kakanusha kuunga mkono au kakubalia anaunga mkono Rwanda? Hebu nifafanulieni haya mambo naona tunashindwa kutofautisha mambo ya kitaifa na kimataifa,
Kwa sababu mgogoro wa Rwanda tunachanganyiwa na habari za mwangosi hapa sielewi kabisa hawa wanasiasa wetu wana rangi gani.
Anaeleweka...
Yeye haungi mkono kagame wala waasi.
Concern yake ni mr president kuacha nyumbani nyumba inaungua akaenda kuzima moto kwa jirani. Hakuwa na sababu hiyo.azime huu unaowaka hapa.majirani watazima wa kwao wenyewe.
 
Dr.W.Slaa,

Mimi nadhani kwenye hili sakata la malumbano ya kagame dhidi ya Kikwete usilifanye la kwao, kwani nimeona hoja yako inaonyesha wazi kuwa malumbano hayo ni baina ya Kikwete (umeuvua uhusika wake kama kiongozi wa nchi) na Kagame.

Hili suala halipaswi kufanywa ni jambo binafsi la Kikwete, Dr Slaa unapaswa uelewe kuwa kikwete akitoka nje ya mipaka ya Tanzania ana kuwakilisha mpaka wewe huko ughaibuni, hivyo anapotokea mtu yeyote na kumkashfu au kumtangazia uhasama Kikwete basi ujue mpaka wewe umejumuishwa.

Ningependa kuona kwenye hili suala tushikamane kama watanzania na tuwe kitu kimoja, si vyema kuingiza tofauti zetu za kisiasa na kiitikadi kwenye mambo yanayo gusa usalama na ulinzi wetu, hapa ikitokea vita sidhani kama kuna mtu atakumbuka u-CCM au u-CHADEMA, ila utasikia watu tukililia taifa letu Tanzania.

Jambo lingine, Dr Slaa una mdhihaki kikwete kuwa ana jipendekeza kufatilia mambo ya watu wengine ilhali ya kwake yamemshinda, sidhani kama ulikuwa makini wakati ukieleza haya, ila angalau ungejisumbua kidogo kuzijua nafasi za kikwete zaidi na urais tu, ni mwenyekiti wa mambo ya usalama (SADC) kwenye nchi za kusini mwa Afrika, hivyo kushauri Rwanda ni sehemu ya majukumu yake, na hata wewe sidhani kama umezuiliwa kwenda kufanya majadiliano na Kikwete, kama amewahi kufanya hivyo wenda unaweza ukawa na hoja ya msingi.

Slaa anajua vyote ulivyoandika hapa ila UROHO wake wa pesa na madaraka ndio unamfanya kujitoa akili.

Umeona wapi mtu aliyegombea Urais anasema Rais wa nchi kutukanwa akiwa kazini ni jambo lake binafsi at the same time na yeye anaongezea kumtukana Rais wa nchi yake in the midst of altercation with Kagame..

Slaa is a total diasppointment...
 
Dr. Slaa Ameweka wazi kwamba, Kikwete ni Mnafiki. Asijifanye kutoa ushauri kwa Kagama wakati yeye mwenyewe hataki kuongea na wapinzani huku kazi yake ni kumtuma Ghaidi Mwigulu kuwalipua na Mabomu.......

Hivi dr slaa amesahau alienda ikulu akapewa na juice anataka kikwete aongee na wapinzani wa wapi?
 
Tangu sakata hili limeanza nilijua kuna kina@mzizimkavu out there wanasubiri slaa atasema nini!!niliomba Mungu slaa asijiingize kwenye sakata hili kabisa! Saa hizi ni jioni ya jpili,mizizi mikavu mingi imelowa na week end,kesho thread hii itajaza mizizi mikavu mingi iliyojiandaa tokea july kupambana na slaa siku aatakapotokeza kichwa kwenye hili,kesho hakutakuwa na hoja bali jina la Slaa.
 
mzizi mkavu naona heshima yako inashuka this is beyonds idiot.
 
Slaa anajua vyote ulivyoandika hapa ila UROHO wake wa pesa na madaraka ndio unamfanya kujitoa akili.

Umeona wapi mtu aliyegombea Urais anasema Rais wa nchi kutukanwa akiwa kazini ni jambo lake binafsi at the same time na yeye anaongezea kumtukana Rais wa nchi yake in the midst of altercation with Kagame..

Slaa is a total diasppointment...

Mbulula wewe. Umekubali kuwa upande mmoja na maharamia ili kuwasaliti Watanzania wenzio. Maharamia wakishakuchoka watakutupa jalalani kama ndom. Stuka na kuanza kuthamini Utanzania wako sasa badala ya kuendelea kuishi kama changudoa wa kisiasa.
 
Kagame ana makosa yake, hilo halina ubishi. Lkn ilikua lazima ss tz ndio tuingilie mambo yake? Kwa nn nchi nyingine zikae kimya? Kweli yetu yametushinda mpaka tuangalie ya majirani? Labda mm sijui undani ndio maana huwa naogopa kuzungumza lolote kuhusu chimbuko hili tatizo. Lkn matokeo yake tunayaona, ni mabaya sana na yanaendelea kuwa mabaya zaidi. Mungu awape hekima viongozi wetu.
Kikwete hakufanya vibaya kuhimiza suluhu, ni jambo jema hata kwa Mungu, Dr Slaa pia hajakosea kusema Kikwete ameshindwa kutatua migogoro ya ndani na wapinzani, maana ni kwelu madhara yake yanaonekana hata kwa mtoto mdogo. Lkn hatuna haja ya kutofautiana katika hatua hii tuliyopo.
Mwanao akiharibu mbele ya wageni hutampiga hapo hapo sebleni, utasawazisha hali ya hewa kwanza halafu utamwita chumbani kumwadhibu
 
Mzizimkavu,

This is too cheap. Kumbe kukosoa udhaifu ni kuunga mkono upande wa pili! Wenye kujua principles watanielewa. Ukifanya makosa lazima tutakuambia, ndio maana wakati wa EPA tuliwasema hadharani, bila kumumunya maneno. Wangapi wakati ule walituunga mkono! Tusingelikuwa majasiri tungekata tamaa. Tulishikilia, na hata sasa ninaamini kauli ya JK haina uhusiano na kuunga mkono upande wa pili! Hata wakati wa EPA tuliambiwa hatuna uzalendo, tunaaibisha Taifa, oh tutakosa misaada, oh! Oh! Oh, Taifa lisilo na watu wenye principle au misimamo linaenda kaburini.



QUOTE=MziziMkavu;6999416]
Dr. Slaa nakubaliana na wewe kuhusu ugomvi huu. Japo napinga jina lako kupitishwa kugombea Urais 2015 kama ninavyopinga Lipumba, Lyatonga na Maalim Seif (you had your chance, its time for somebody else) Lakini umesema vizuri sana kuhusu hili. Mimi hapa JF nimeshaitwa majina yote mabaya kuhusu msimamo kama huu wa kupinga huo ugomvi wa Jikoni. Kwa mtizamo wangu, nilitegemea Mh JK angezungumzia ongezeka la kasi na la kutisha katika biashara ya madawa ya kulevya.
 
Acha uzushi mbulula weee!!! Thamini Utanzania wako na kukataa kutumika na maharamia kwa ujira mdogo kama ndom. Pumbaf wee.

Mr. man nafikiri kama nni shule pole sana. lkn tunajua si tatizo lako kwani ni pamoja na malezi yako. jaribu kuiga umakini kwa watu wengine kwani kwenda shule haikusaidia. kumbuka mbali unakaa vijiweni bado unaweza kunufaika ukibadiriha hiyo lugha yako ya mitaani. shame on you:
 
Tangu sakata hili limeanza nilijua kuna kina@mzizimkavu out there wanasubiri slaa atasema nini!!niliomba Mungu slaa asijiingize kwenye sakata hili kabisa! Saa hizi ni jioni ya jpili,mizizi mikavu mingi imelowa na week end,kesho thread hii itajaza mizizi mikavu mingi iliyojiandaa tokea july kupambana na slaa siku aatakapotokeza kichwa kwenye hili,kesho hakutakuwa na hoja bali jina la Slaa.
kwakweli captain huyu babu anaisaliti Tanzania kwa ajili ya tamaa za madaraka.
 
Back
Top Bottom