Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

Nadhani Dr. Slaa hapa kakurupuka naye anasema mbona yeye kashindwa kushughulikia mambo yake ya ndani?? Mimi kwa uelewa wangu hii aimzuii kuongelea amani ya east afrika...mimi nadhani si kila kitu tupinge usalama wa east afrika una maana usalama wa tanzania...

J.K alikua sawa tu mtutu ukishindikana haina budi kurudi mezani.

I stand to be corrected

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

hakuwa sahihi kwa muktadha wa sababu yako, bado anatakiwa kufanyia kazi yanayotokea ndani ili kuwepo credibility. Ingawa Kagame amekusanya mambo mengi ktjaja reaction yake
 
Dr Slaa angaalie topics za kucoment..Nyingine sio za kisiasa rather kizalendo tu.JK kama kiongozi na hasa mwafrika anahaki kushauri wenzake kukaa mezani kuongea..sasa mwangosi hapa anaingiaje?...
 
Unaifahamu sera ya mambo ya nje ya nchi yetu au unaropoka tu ili kutimiza lengo la kujipatia!kuhalalisha buku saba?
Unamshaurije jirani yako kufanya kile kinachokushinda kufanya ndani ya nyumba yako? Mbona suala dogo tu la Mtwara ametuma batallion ya Jwtz ni kwanini hakwenda kuzungumza na wananchi wa Mtwara? Ushauri wake ulikuwa ni wa kipuuzi ndio maana Rwanda wamemjibu kwa dhihaka na matusi.


Mkuu Mwita, huo ushauri umefika katika wakati muawafaka, Rwanda ni moja ya mataifa ambayo wapinzani wanaendesha harakati zao wakiwa nje ya nchi. Kila anaemkosoa Kagame asipokimbia nchi ataishia kuawa au kufungwa, dunia nzima imeshajua upuuzi unaoendelea Kigali. Nakumbuka mwaka 2000 spika wa bunge la rwanda Joseph Sebarenzi Kabuye aliwatahadhakisha akina Kagame na Bizimungu kuhusiana na genoside kutumika vibaya. Baada ya kutoa ushauri kama huo ilibidi ajiuzuru na uspikana akimbie nchi kuokoa maisha yake.
 
Nyamafu,
Hapo ndo umeona JK amekaa anajadiliana na Upinzani. Ushabiki umelewesha kiasi cha kutoelewa kila kitu kina mazingira yake! Hayo yalikuwa matembezi ya Hiari ya CCBRT na CCBRT ni chombo cha huduma kwa walemavu. Tunachoxungumzia hapa ni lini JK kakutana kujadili mgogoro na wapinzani wake na hapa ninamaanisha Chadema. Kikao pekee ni cha Kujadili Katiba Mpya, ambako hata yaliyojadiliwa hakuyatekeleza ilivyokubaliwa



UNAFIKI mbaya jamani.

Huyu mzee uroho wa pesa na madaraka unampeleka kubaya sana kiasi kwamba anawalaghai wafuasi wa chadema waache kuomba Mungu!

Huyu ndio anasema Kikwete haongei na wapinzani?!!!

View attachment 105632[/QUOTES
SLAA kwa hili amenikera mnoo,inaelekea ameropoka hapa,kwani ukiwa mpinzani kila kitu ndio uwe unapinga tu,watu wana uelewa sana siku hizi,hatutaki kudanganywa kipuuzipuuzi,tunataka ujipange kwa sera zako,SASA NAANZA KUFIKIRIA KUCHANGANYA AKILI ZA MBAYUWAYU NA ZANGU MWENYEWE ILI NIFANYE UAMUZI SAHIHI,MAANA NIKIMTEGEMEA MBAYUWAYU MOJA KWA MOJA AHADI ZAKE SI ZA KWELI ATANITUMBUKIZA MTONI
 
Kagame hana kura ya kumuwezesha Rais wa Tanzania achaguliwe. Pengine Kagame anatetewa kwa vile huenda ana train Brigades za watu
 
Hoja ya Dr. Slaa ilikua kwamba Nchi haiwezi kuwa dragged vitani kwa sababu ya kauli ya Kikwete na vile vile akashsuri Kikwete aanze kwanza kukaa na wapinzani wake.


Mkuu Tanzania haiwezi ikaangaika kuingia vitani na Kagame, wapo wenyenchi yao wanaotaka kuikomboa lakini hawana pa kuweka ngome yao. Wengi wao walikua porini na Kagame wakatofautiana nao, tukiwaruhusu kutumia aridhi yetu kumalidha udhalimu huu hata kesho wanaweza kuanza.
 
Kinachowasumbua nyinyi vigamba vidogo vya Lumumba ni uvivu wenu wa kufikiri.Hivi ni mara ngapi na Magamba makubwa ya Lumumba yameliingiza Taifa hili mkenge.Lini mtafunguka akili nyinyi watu?
 
Nyamafu,
Hapo ndo umeona JK amekaa anajadiliana na Upinzani. Ushabiki umelewesha kiasi cha kutoelewa kila kitu kina mazingira yake! Hayo yalikuwa matembezi ya Hiari ya CCBRT na CCBRT ni chombo cha huduma kwa walemavu. Tunachoxungumzia hapa ni lini JK kakutana kujadili mgogoro na wapinzani wake na hapa ninamaanisha Chadema. Kikao pekee ni cha Kujadili Katiba Mpya, ambako hata yaliyojadiliwa hakuyatekeleza ilivyokubaliwa

Mmmh! Mzee nakushauri upate Likizo!

 
Aisee!!! Kweli kuchamba kwingi.............???!!!! Hivi huwa mnalazimishwa kufikiri hivi au ndio brain za shule zetu za siku hizi???

Kafieni mbali na Mr Dhaifu wenu....!
Kikwete hajui wala hafeel hisia za wanyarwanda dhidi ya mauaji ya halaiki!! Alitakiwa atumie akili...kujua mambo kama hayo!
 
Nyamafu,
Hapo ndo umeona JK amekaa anajadiliana na Upinzani. Ushabiki umelewesha kiasi cha kutoelewa kila kitu kina mazingira yake! Hayo yalikuwa matembezi ya Hiari ya CCBRT na CCBRT ni chombo cha huduma kwa walemavu. Tunachoxungumzia hapa ni lini JK kakutana kujadili mgogoro na wapinzani wake na hapa ninamaanisha Chadema. Kikao pekee ni cha Kujadili Katiba Mpya, ambako hata yaliyojadiliwa hakuyatekeleza ilivyokubaliwa




Dr. W. Slaa
Hapa tunajadili zaidi uzalendo wa taifa letu dhidi ya yanayosemwa na kutishiwa na Rwanda.

Tukiwa sote ni Watanzania na wazalendo wa nchi hii, ni gharama kiasi gani kumuunga amiri jeshi mkuu katika kulinda mipaka na kutetea Taifa letu Tanzania.

Wewe ni kioo cha nchi hii katika upinzani, yakupasa uweke kando masuala ya ndani ya nchi na utazame zaidi kulilinda taifa lako. Je, ungependa nchi iharibikiwe na kuvamiwa nawe ujaaliwapo kuingia Magogoni uanze yakukute haya? Iwapo hutojitoa sasa kuitetea nchi yako, je unadhani ukiwa unaunguruma kutokea Magogoni kulishawishi taifa likuunge mkono katika moja ya sehemu kama hili lililopo sasa? Nani atakusikia?

Ukiwa ni mpinzani shupavu (kama sijakosea), hebu jaribu walau hata kumuunga mkono basi mpinzani mwenzako Mtikila kwa kulitetea taifa.

Bado naamini unayo nafasi kubwa sana kuonyesha uzalendo wako kwa taifa hili, hasa kipindi hiki. Jaribu kuweka pembeni tofauti na uonyeshe uzalendo wako.

Nahitaji sana uzalendo wako mkuu, nakuheshimu na nathamini michango yako kwa taifa. Tuwe pamoja kwa nchi yetu.
 
Nyamafu,
Hapo ndo umeona JK amekaa anajadiliana na Upinzani. Ushabiki umelewesha kiasi cha kutoelewa kila kitu kina mazingira yake! Hayo yalikuwa matembezi ya Hiari ya CCBRT na CCBRT ni chombo cha huduma kwa walemavu. Tunachoxungumzia hapa ni lini JK kakutana kujadili mgogoro na wapinzani wake na hapa ninamaanisha Chadema. Kikao pekee ni cha Kujadili Katiba Mpya, ambako hata yaliyojadiliwa hakuyatekeleza ilivyokubaliwa





Dr. W. Slaa
Hapa tunajadili zaidi uzalendo wa taifa letu dhidi ya yanayosemwa na kutishiwa na Rwanda.

Tukiwa sote ni Watanzania na wazalendo wa nchi hii, ni gharama kiasi gani kumuunga amiri jeshi mkuu katika kulinda mipaka na kutetea Taifa letu Tanzania.

Wewe ni kioo cha nchi hii katika upinzani, yakupasa uweke kando masuala ya ndani ya nchi na utazame zaidi kulilinda taifa lako. Je, ungependa nchi iharibikiwe na kuvamiwa nawe ujaaliwapo kuingia Magogoni uanze yakukute haya? Iwapo hutojitoa sasa kuitetea nchi yako, je unadhani ukiwa unaunguruma kutokea Magogoni kulishawishi taifa likuunge mkono katika moja ya sehemu kama hili lililopo sasa? Nani atakusikia?

Ukiwa ni mpinzani shupavu (kama sijakosea), hebu jaribu walau hata kumuunga mkono basi mpinzani mwenzako Mtikila kwa kulitetea taifa.

Bado naamini unayo nafasi kubwa sana kuonyesha uzalendo wako kwa taifa hili, hasa kipindi hiki. Jaribu kuweka pembeni tofauti na uonyeshe uzalendo wako.

Nahitaji sana uzalendo wako mkuu, nakuheshimu na nathamini michango yako kwa taifa. Tuwe pamoja kwa nchi yetu.

like ya nguvu bro
 
JK,Nchi imemshinda sasa anaangalia nyumba za majirani!rwanda wanasonga mbele kwa maendeleo yeye anataka vita ianzwe tena!!!Wito kwa wanyarwanda puuzeni maneno ya serikali ya watanzania ni porojo tupu watoto mpaka leo wanakaa chini wakati kuni na mkaa vinauzwa kila kukicha mtaani.JK ungesema kila lori la mkaa linaloingia mijini lije na madawati 2 na kuwakilisha ofisi elimu mkoa hapo ningekuelewa
 
Nyamafu,
Hapo ndo umeona JK amekaa anajadiliana na Upinzani. Ushabiki umelewesha kiasi cha kutoelewa kila kitu kina mazingira yake! Hayo yalikuwa matembezi ya Hiari ya CCBRT na CCBRT ni chombo cha huduma kwa walemavu. Tunachoxungumzia hapa ni lini JK kakutana kujadili mgogoro na wapinzani wake na hapa ninamaanisha Chadema. Kikao pekee ni cha Kujadili Katiba Mpya, ambako hata yaliyojadiliwa hakuyatekeleza ilivyokubaliwa




Nashukuru kwa ufafanuzi mzuri, naomba uniambie mpinzani aliyewahi kumkosoa Kagame akaendelea kuishi Rwanda. Mkuu wangu kesi ya Kagame ni tofauti na ya kwako, kwa kagame wapinzani wenye nguvu kama wewe washakufa na wengine wanatumika vifungo vya mda mrefu. Naomba 2015 ufanikiwe tuone kama utakubali upuuzi wa akina Kagame na Mseveni wanaoamini kua ni watawala wa kudumu waendelee kuyumbisha amani ya maziwa makuu.
 

Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa, amemkosoa Rais Jakaya Kikwete, kuhusu kauli yake ya kumshauri Rais wa Rwanda, Paul Kagame, kuzungumza na waasi wa serikali yake ...


Dk. Slaa amesema haoni busara kwa Rais Kikwete kuwaambia viongozi wa Rwanda, akiwamo Rais Kagame, kuzungumza na wafuasi wa chama cha FDRL walioko Congo.

Slaa aliyasema hayo wakati akizungumza katika kongamano la vijana wa Chadema (BAVICHA) la uchumi na ajira lililofanyika jana jijini Dar es Salaam.

“Rais Kikwete hapa nyumbani hawezi kuzungumza na wapinzani na hajachukua hatua dhidi ya wauaji wa mwandishi Daudi Mwangosi...


"Alishauriwa amuwajibishe Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa Michael Kamuhanda na badala yake amempandisha cheo,” alisema Slaa.


Kauli Dk Slaa imekuja siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kueleza kuwa Tanzania haina mgogoro na nchi ya Rwanda, kutokana na kauli za kejeli na matusi zilizokuwa zikitolewa na viongozi wa nchi hiyo dhidi yake na Tanzania.



Kumezuka sitofahamu ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Rwanda, baada ya Rais Kikwete kuitaka Rwanza imalize ugomvi na waasi kwa njia ya mazungumzo ya amani...

Rais Kikwete aliutoa ushauri huo wakati wa mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika Addis Ababa, Ethiopia hivi karibuni.

Ushauri huo ulionekana kumchukiza Rais Kagame, anayedaiwa kuhutubia mikutano kadhaa nchini kwake na kutumia lugha ya matusi, kejeli na dhihaka dhidi ya Rais Kikwete na Tanzania.


Kitendo cha Dr Slaa kumkingia kifua Kagame kinatia shaka uzalendo wake na chama chake kwa taifa hili ...

Sote tumekuwa tukishuhudia matusi ya Kagame dhidi ya Tanzania.Iwaje Rais Kikwete aonekane mbaya kwa kumjibu Kagame, tena kwa lugha ya kizalendo??


Kagame amekuwa akituhumiwa na jumuiya mbalimbali za kimataifa kwa kutoa misaada ya kivita kwa waasi wa M23 ambao wamekuwa wakiua raia na kuwabaka wanawake....


Kauli ya Dr Slaa ina mambo mengi yaliyojificha na huenda yeye na chama chake ni wafuasi wa karibu wa M23 kama ilivyo kwa Kagame.

Kuwa mpinzani, haimaanishi ukosoe kila kitu.

chanzo.
WANYARWANDA WAANZA KUREJEA MAKWAO BAADA YA RAIS KIKWETE KUWAPA SIKU 14 ZA KUONDOKA
 
Nyamafu,
Hapo ndo umeona JK amekaa anajadiliana na Upinzani. Ushabiki umelewesha kiasi cha kutoelewa kila kitu kina mazingira yake! Hayo yalikuwa matembezi ya Hiari ya CCBRT na CCBRT ni chombo cha huduma kwa walemavu. Tunachoxungumzia hapa ni lini JK kakutana kujadili mgogoro na wapinzani wake na hapa ninamaanisha Chadema. Kikao pekee ni cha Kujadili Katiba Mpya, ambako hata yaliyojadiliwa hakuyatekeleza ilivyokubaliwa




Dah! Naona mzee utakua umepitiwa! Mtu mzima hua hakosei ila hupitiwa.
 
Rock City,
Usiwadanganye Watanzania. Tishio la Tanzania halijadiliwi katika Mtandao. Ni muhimu Kama mtu huelewi jambo aka kimya. Kama kungelikuwa na Tishio la Watanzania kushikamana, kwa mujibu wa Katiba, Bunge japo Kamati ya Ulinzi ingelihusishwa. Pili Taifa kujulishwa juu ya Tishio Hilo. Hapo ungelizungumzia Uzalendo. Hapa tulipo tatizo ni kuwa Mambo yanajadiliwa kwa ushabiki, na kinachoonekana dhahiri nimkulinda " dhaifu" kwa udhsifu wake. Hamsaidii, mien mwenzenu ushauri mzuri. Narudia, nchi haitaenda vitamin tu kwa kauli ya marais wawili, ambao kimsingi wanajibizana wao. Simamia principle, mtu ukikosea na ulimi huteleza omba msamaha. Dhambi ni nini kuomba msamaha! Kwa hakika aliyejifanya mpatanishi kwa majirani wakati kwake kuna bomoka, safari hii kapatikana. Hakuna pa kujifichia. Nilikwisha sema, iwapo Kagame atashambulia Tanzania kwa ajili ya kiongozi mwenzake, watanzania kwa ujumla wetu tutanyanyuka na kuilinda nchi yetu. Naanza kupata hisia kuna zaidi ya Kauli? Kuna nini nyuma ya Pazia wakati JK anaelekea kwa kauli yake tayari amenyoosha mikono yake!

UOTE=Rock City;6999326]
Nyamafu,
Hapo ndo umeona JK amekaa anajadiliana na Upinzani. Ushabiki umelewesha kiasi cha kutoelewa kila kitu kina mazingira yake! Hayo yalikuwa matembezi ya Hiari ya CCBRT na CCBRT ni chombo cha huduma kwa walemavu. Tunachoxungumzia hapa ni lini JK kakutana kujadili mgogoro na wapinzani wake na hapa ninamaanisha Chadema. Kikao pekee ni cha Kujadili Katiba Mpya, ambako hata yaliyojadiliwa hakuyatekeleza ilivyokubaliwa





Dr. W. Slaa
Hapa tunajadili zaidi uzalendo wa taifa letu dhidi ya yanayosemwa na kutishiwa na Rwanda.

Tukiwa sote ni Watanzania na wazalendo wa nchi hii, ni gharama kiasi gani kumuunga amiri jeshi mkuu katika kulinda mipaka na kutetea Taifa letu Tanzania.

Wewe ni kioo cha nchi hii katika upinzani, yakupasa uweke kando masuala ya ndani ya nchi na utazame zaidi kulilinda taifa lako. Je, ungependa nchi iharibikiwe na kuvamiwa nawe ujaaliwapo kuingia Magogoni uanze yakukute haya? Iwapo hutojitoa sasa kuitetea nchi yako, je unadhani ukiwa unaunguruma kutokea Magogoni kulishawishi taifa likuunge mkono katika moja ya sehemu kama hili lililopo sasa? Nani atakusikia?

Ukiwa ni mpinzani shupavu (kama sijakosea), hebu jaribu walau hata kumuunga mkono basi mpinzani mwenzako Mtikila kwa kulitetea taifa.

Bado naamini unayo nafasi kubwa sana kuonyesha uzalendo wako kwa taifa hili, hasa kipindi hiki. Jaribu kuweka pembeni tofauti na uonyeshe uzalendo wako.

Nahitaji sana uzalendo wako mkuu, nakuheshimu na nathamini michango yako kwa taifa. Tuwe pamoja kwa nchi yetu.
 
Homeless mmoja nasikia akiwa amekaa na mkewe pale Arusha Bus Stop mida ya jioni aliuliza kama ni dhambi kula mali yako mwenyewe uliyoilipia. Wakamwambia si DHAMBI. Na jamaa akarudia mara tatu. Basi hapohapo akamgeukia mkewe ili aanze kazi. Watu, ahhhh bwana ehhh usifanye hivyo hapa......

Nafikiri TATIZO hapa ni sehemu ujumbe uliposemwa. Angelimfuata na kumwambia pembeni au hata awaite wote waje Tanzania, sidhani kama kungelileta mushkeli. Kitendo cha kusema hadharani, nafikiri ndicho kimewasha moto. Neno lilelile na kwa watu walewale, ila sehemu unapolisema, linabadili kabisa maana.

Ila mwisho wa siku, kwa maneno hayo kama Kagame akishabulia Tanzania, basi wote tutaungana kumpiga. Nashangaa kwa nini watu tayari wanaanza kupata mchecheto wa VITA. Au kweli kuna vita watu wanaipanga tayari?
Mwita Maranya, Ben Saanane,

..hapo nadhani Dr.W.Slaa ameteleza.

..binafsi nadhani ushauri wa JK ulipaswa kuzingatiwa bila kujali moral authority ya JK.

..halafu Dr.W.Slaa anasema FDLR ni wauaji, je hajui kwamba Kagame/RPF nao ni wauaji??

..mbona M23 wanajulikana kwamba wanaua na kubaka wananchi wa DRC lakini wako kwenye meza ya mazungumzo??

..mbona RENAMO walikaa pamoja na serikali ya MSUMBIJI na amani ikapatikana?

..mbona MANDELA alizungumza na serikali ya kibaguzi ya Afrika Kusini?

..pamoja na hayo JK hakushauri Kagame azungumze na washiriki wa genocide ya 94. inajulikana kwamba viongozi wa mauaji hayo wanatafutwa kwa warrant za kimataifa. popote pale watakapotokea wanakamatwa.

..hapa nadhani CHADEMA imechemsha. It is about time Dr.W.Slaa awe na wataalamu wake, wanaom-brief kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea, na jinsi ya ku-respond kwa maswali ya papo kwa papo kama haya.

.
cc: Nguruvi3, Dr.W.Slaa, Kitila Mkumbo, Zitto, John Mnyika
 
Back
Top Bottom