Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

siasa za tanzania uchuro mtupu.mtu analofanya leo kesho analisahau
attachment.php

attachment.php
 
Never expecting such a low comment coming from Dr Slaa
Ni upuuzi kufanya cheap politics kwenye issues ambazo hazi hitaji siasa

Hivi Dr anadhani yeye hawezi kumshauri mtu kwenye mambo ya ndoa kwasababu ya mahusiano yake mabovu kwenye mahusiano yake

Hivi Dr Slaa anajua JK alikua anaongea kama nani?

Watu kama Ben Saanane wameonyesha ni jinsi gani wameshikiwa akili zao wala hawamaanishi wanachoongea zaidi ya kuongea wanavyopenda mabosi wao

Labda nimkumbushe Dr Slaa kwamba waswahili wanasema kuchamba kwingi..................
 
Mwita Maranya, Ben Saanane,

..hapo nadhani Dr.W.Slaa ameteleza.

..binafsi nadhani ushauri wa JK ulipaswa kuzingatiwa bila kujali moral authority ya JK.

..halafu Dr.W.Slaa anasema FDLR ni wauaji, je hajui kwamba Kagame/RPF nao ni wauaji??

..mbona M23 wanajulikana kwamba wanaua na kubaka wananchi wa DRC lakini wako kwenye meza ya mazungumzo??

..mbona RENAMO walikaa pamoja na serikali ya MSUMBIJI na amani ikapatikana?

..mbona MANDELA alizungumza na serikali ya kibaguzi ya Afrika Kusini?

..pamoja na hayo JK hakushauri Kagame azungumze na washiriki wa genocide ya 94. inajulikana kwamba viongozi wa mauaji hayo wanatafutwa kwa warrant za kimataifa. popote pale watakapotokea wanakamatwa.

..hapa nadhani CHADEMA imechemsha. It is about time Dr.W.Slaa awe na wataalamu wake, wanaom-brief kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea, na jinsi ya ku-respond kwa maswali ya papo kwa papo kama haya.

.
cc: Nguruvi3, Dr.W.Slaa, Kitila Mkumbo, Zitto, John Mnyika
 
Last edited by a moderator:
Hoja ya Dr. Slaa ilikua kwamba Nchi haiwezi kuwa dragged vitani kwa sababu ya kauli ya Kikwete na vile vile akashsuri Kikwete aanze kwanza kukaa na wapinzani wake.

Pamoja na hayo,kunawakati ni vyema tukasimama kama nchi na kuwa na misimamo inayofanana hususani kwa hawa wanaotaka kutuletea balaa ktk nchi yetu.Kagame alitakiwa kukubali ama kuukataa ushauri,hakuwa na sababu ya kuleta vitisho ili vimpatie nafasi ya kuendelea kuongoza.
Dr Slaa,kesho nchi itaongozwa na chadema na marais kama kagame wataendeleza na kauri kama hizi zisokuwa na maslahi na amani ni vyema tukapigilia msumari tukielewa kuwa vita haina macho.
 
Wajinga pekee hawajamwelewa Dr. Slaa
 
Khaa!! yaleyale yaani wewe mtu amkosoa Dr.W. Slaa basi ni CCM. Hili ni tatizo. Hebu tutafute njia nzuri ya kufikiri kwa uhuru bila ya kubanwa na CCM au CDM au viongozi wake. Isiwe hii njia ya kuwa na solution tayari halafu ndiyo unaanza kuitafutia sababu

Hawa watu akili zao mbovu. Usipokubaliana na Slaa, basi wanakuita ccm.

Usipokubaliana na chadema, wanakuita mliberali. Kuna mmoja wao humu leo kaniita mimi m-liberali. Wakati mimi ni "conservative to the core". Lakini kwa kuwa sikubaliani na utendaji, sera, na uendeshaji wa chadema, basi wameshaamua kwamba mimi ni liberal.
 
siasa za tanzania uchuro mtupu.mtu analofanya leo kesho analisahau
attachment.php

attachment.php

kabisa,kagame hawezi kukaa na wale jamaa na kupiga nao story IKULU,Tanzania imewezekana kwa mengi tu.na isitoshe matatizo yanayojitokeza huko Tanzania ndio inaumia kwa kubeba wakimbizi,tumechoka na ndio maana Rais aliwapa ushauri wa wao kukaa na kuweka mambo sawa,bunduki haiwezi tatua kila jambo kuna wakati maongezi ndio dawa ya kila kitu.
Kwa hili la kagame,nipo pamoja na Rais kikwete.
 
Kushinda vita kunahitaji umoja wa kitaifa.Uzalendo ni kigezo kimojawapo katika sababu za kushinda au kushindwa.Kiongozi mkuu wa Nchi ni lazima aunganishe taifa dhidi ya common enemy ambaye ni adui wa nje.Wahenga walisema kamba hukatika......!

Uongozi wa JK na brutality dhidi ya wapinzani wa serikali yake unaliweka taifa katika precarious situation.Nyerere alishinda vita ya Kagera kutokana na ushawishi wa ndani.Rais anatakiwa amfanye mtanzania ajisikie proud anaposimama mbele ya raia wa mataifa mengine.Pride na national values ndizo zinazolitofautisha taifa kubwa na dogo.We have what it takes to make Tanzania a giant Nation in Africa and beyond![/QUOTE
leo umegeuka? tulikuwa wote kule nyuma kumshambulia kagame leo silaha kasema
uko naye.

Umeona eeenhh. Hawo ndio bavicha mkuu. Sifa yao kuu ni unafki na uwongo
 
Huwezi kutenganisha HELLEN KIJO BISIMBA na RWANDA na Vile vile huwezi kutenganisha huyu mama na SLAA , kwa hiyo siwezi kushangaa anamkosoa JK

Wakenya na Wanyarwanda wanamwita rais Kikwete "SNITCH" wewe una maoni gani kwa hili?
 
Nadhani Dr. Slaa hapa kakurupuka naye anasema mbona yeye kashindwa kushughulikia mambo yake ya ndani?? Mimi kwa uelewa wangu hii aimzuii kuongelea amani ya east afrika...mimi nadhani si kila kitu tupinge usalama wa east afrika una maana usalama wa tanzania...J.K alikua sawa tu mtutu ukishindikana haina budi kurudi mezani.I stand to be correctedSent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mkuu unachosema ni kweli tupu, tatzo letu kuu kama TAIFA ni kuendekeza mambo ya itikadi za vyama na kusahau kwamba inapokuja masuala yanayogusa USALAMA na AMANI ya nchi yetu wote tunapashwa kuwa kitu kimoja. Watu wanacho sahau ni kwamba JK hajakurupuka katika utoaji ushauri kwa akina Kagame, M7 na Kabila Jr wote hao nchi zao zililikumbwa/zinakumbawa na mahuhaji ya alahaki karibu kila mwaka, sasa kwa nini Kagame ndiye peke yake ambaye anamuona Rais Jakaya ni mbaya wakati Rais wengine walio tajwa wamekaa kimya!! Rais Jakaya Kikwete ni binadamu ambaye anaona mbali sana alishajua mgogoro wa DRC niwakuchonga tu kwa maslahi ya viongozi wakorofi na wabishi ambao hawana nia thabiti ya kumaliza mgogoro huo, si hilo tu vurugu hizi za DRC zinaweza kuwa-replicated ndani ya Taifa letu overtly au covertly kwa kuwa katika nchi za Africa Mashariki na kati Tanzania ni nchi ya pili yenye aridhi kubwa yenye rutuba na maliasili nyingi hivyo migogoro inayoendelea huko DRC inaweza kuanzishwa huku kwetu na Viongozi hao wapenda madaraka na WEZI. Kwa bahati mbaya ni Watanzania wachache ambao walisha ling'amua hilo; tukumbuke majirani zetu hawaitakii mema TANZANIA.
 
Hawa watu akili zao mbovu. Usipokubaliana na Slaa, basi wanakuita ccm.

Usipokubaliana na chadema, wanakuita mliberali. Kuna mmoja wao humu leo kaniita mimi m-liberali. Wakati mimi ni "conservative to the core". Lakini kwa kuwa sikubaliani na utendaji, sera, na uendeshaji wa chadema, basi wameshaamua kwamba mimi ni liberal.

Mkubwa kuna watu ni watumwa wa fikra! Slaa akiwatukania mama zao watesema Amen! Akili zao zimeoza! Nasisitiza kwahili Slaa kachemka hata wamteteeje!!
 
uzee unamsumbua huyo tumsamehe bure tu!!

Na wewe ni great thinker?
Unaweza taja maudhui ya mleta mada? Wewe na Nape ndiyo mnasema wazee wanasubiri kifo?
Namshukuru Mzee R. Mengi aliyemwambia Nape suala la kifo amwachie Mungu.
Kwa taarifa yako uzee haumsumbi binadamu ila ugonjwa wa akili na hasa aliye na mawazo kama wewe kuwa uzee ni kukosa hekima na Busara.
Tafadhali kaombe msamaha kwa mama na baba yako.
 
Mzee mbona anatapatapa sana atulie tu aone chadema inavyomfia mikononi.
 
Hilo zigo la JK mwenyewe.....yaani nchi iingie vitani kwa ujinga wa raisi!! Mwache akapigane mwenyewe na m.k.e.w.e.!! Mnashabikia vita ya kijinga!!

Aisee!!! Kweli kuchamba kwingi.............???!!!! Hivi huwa mnalazimishwa kufikiri hivi au ndio brain za shule zetu za siku hizi???
 
Mzee mbona anatapatapa sana atulie tu aone chadema inavyomfia mikononi.

Chadema haiwezi kufa mikononi mwa slaa. Slaa atachupa majini na kuiacha meli-chadema izame na waliomo. Mbowe ndiye ambaye chadema inaweza kumfia mikononi kwa sababu ni chama chao cha urithi. Na mbowe hakuingia chadema kwa kununuliwa na mtu yoyote.
 
Back
Top Bottom