Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

matatizo ya kukariri kua, ukishakua mpinzani kila kitu unakipinga ndio haya...inanipa mashaka kuwa na kiongozi mwenye hulka za kidikteta, kiongozi ambaye hana msahama, wala asiyependa reconciliation ni hatari, Mungu mwenyewe anasamahe...ingawa tunamkosea kila siku...bahati mbaya Chadema kuwa na viongozi wenye hulka hatarishi kama hawa..

mr stroke....naomba kidooogoo nikumoderate...historia si ya kupuuzw hata kidogo...

rejea historia ya vyama vingi na upinzani tanzania....pengine hata dr slaa ukimuuliza ni mara ngapi amekoswa koswa na mauti ndio utanielewa....

however, ni nguvu ya ajabu ya dr slaa ndio inapelekea ukombozi wa nchi hii....wengi walijaribu wakashindwa refere kina mbatia na wengine......

vyombo dola kama kina john tendwa.....tume za uchaguzi...polisi .... mahakama na wengineo wamezoea kuwashughulikia wanasiasa wa upinzani kama wezi wa kuku....kiasi kwamba wamewashushia sana heshima zao na kuwadhalilisha sana....imagine mtu kama tundu lisu ambaye naamini tangu amepata akili hajawahi kutembea tumbo wazi anachaniwa nguo na askari na analazwa ndani bila kosa....fikiria mtu kama mbowe anasakwa kama jambazi la magari.......lazima mwisho wa siku huyu mtu awe morally and psychological destructed.....JUST IMAGINE AT ONE TIME MTU UNAKUWA NA KESI KILA KONA YA NCHI..ETI UGAIDI......kwa hiyo destruction hii ni state made..and sencirely, we should do something on it!!!!!

na pengine ndio kuna haja kumwelewa dr slaa alivyosema yeye uraisi ni kipindi kimoja tu..kama mandela alivyofanya...alete ukombozi ndipo aikabidhi nchi kwa amani......anajua kabisa kuwa mawazo yake yatakuwa na orientation za ukombozi zaidi...ili hali kizazi kipya kinafikiria economic progress.......

kama kuna mtu namheshimu sana basi ni tulway sumaye....ambaye alisema kupata uraisi ni vitu vitatu...1...chama chako.....2....sanduku la kura na 3.....kuungwa mkono na dola....

dr slaa kuukosa uraisi 2010 haikuwa bahati mbaya tu...bali..muda zaidi ulihitajika ili both..yeye na ...dola.....wafanyiane orientation za dhati........miaka mitatu baadae..dola imemtambua vizuri na yeye anazidi kuitambua vyema.....

hivyo basi, mimi bado naamini kuwa Dr Slaa aliteleza....na mimi kama mwanachama mwaminifu wa CDM na tanzania ninaomba kwa mara nyingine tena kumuombea msamaha....

naomba kutoa hoja...
 
mr stroke....naomba kidooogoo nikumoderate...historia si ya kupuuzw hata kidogo...

rejea historia ya vyama vingi na upinzani tanzania....pengine hata dr slaa ukimuuliza ni mara ngapi amekoswa koswa na mauti ndio utanielewa....

however, ni nguvu ya ajabu ya dr slaa ndio inapelekea ukombozi wa nchi hii....wengi walijaribu wakashindwa refere kina mbatia na wengine......

vyombo dola kama kina john tendwa.....tume za uchaguzi...polisi .... mahakama na wengineo wamezoea kuwashughulikia wanasiasa wa upinzani kama wezi wa kuku....kiasi kwamba wamewashushia sana heshima zao na kuwadhalilisha sana....imagine mtu kama tundu lisu ambaye naamini tangu amepata akili hajawahi kutembea tumbo wazi anachaniwa nguo na askari na analazwa ndani bila kosa....fikiria mtu kama mbowe anasakwa kama jambazi la magari.......lazima mwisho wa siku huyu mtu awe morally and psychological destructed.....JUST IMAGINE AT ONE TIME MTU UNAKUWA NA KESI KILA KONA YA NCHI..ETI UGAIDI......kwa hiyo destruction hii ni state made..and sencirely, we should do something on it!!!!!

na pengine ndio kuna haja kumwelewa dr slaa alivyosema yeye uraisi ni kipindi kimoja tu..kama mandela alivyofanya...alete ukombozi ndipo aikabidhi nchi kwa amani......anajua kabisa kuwa mawazo yake yatakuwa na orientation za ukombozi zaidi...ili hali kizazi kipya kinafikiria economic progress.......

kama kuna mtu namheshimu sana basi ni tulway sumaye....ambaye alisema kupata uraisi ni vitu vitatu...1...chama chako.....2....sanduku la kura na 3.....kuungwa mkono na dola....

dr slaa kuukosa uraisi 2010 haikuwa bahati mbaya tu...bali..muda zaidi ulihitajika ili both..yeye na ...dola.....wafanyiane orientation za dhati........miaka mitatu baadae..dola imemtambua vizuri na yeye anazidi kuitambua vyema.....

hivyo basi, mimi bado naamini kuwa Dr Slaa aliteleza....na mimi kama mwanachama mwaminifu wa CDM na tanzania ninaomba kwa mara nyingine tena kumuombea msamaha....

naomba kutoa hoja...

mkuu matukio yote haya unayonisimulia yanatokana na wahusika kukiuka taratibu, hivyo kujikuta katika vyombo vya sheria..hakuna kanuni inayotamka kua , mpigania haki yoyote lazima avunje taratibu kufikia malengo yake...mbinu za Chadema, zinashtua wengi na kanuni zao pamoja na taratibu kufikia malengo yao ni haratishi, so ajabu kujikuta mara kwa mara katika mikono ya vyombo vya dola, dola yoyote ipo katika kulinda haki za kila mtu, na si haki za wachache..
 
Mkuu upuuzi huo warudishie walio kutuma (wanyarwanda wenzio)
Kaka sio wote ni wapuuzi kama wewe. Ungekuwa unajua maana ya investigative journalism usingejibu kipuuzi hivi. Nimeleta ukweli hapa jamvini ili tuujadili kama watanzania, make nilikuwa kule kwenye ziara zangu na sikutumwa na mtu yeyote. We nahisi ni ndugu yake nchemba au mwana thithiemu make hamchelewi kuropoka
 
Mkuu ungeweka neno "kwa uelewa wangu" ungekuwa sahihi; ila hapo umebugi maana hata nukuu ya maneno ya Dr. Slaa yanaeleweka ila wewe unataka kuyaelewa/kutuelewesha unavyotaka. Ni haki yako ila kwangu mimi sitakuelewa.
 
mkuu matukio yote haya unayonisimulia yanatokana na wahusika kukiuka taratibu, hivyo kujikuta katika vyombo vya sheria..hakuna kanuni inayotamka kua , mpigania haki yoyote lazima avunje taratibu kufikia malengo yake...mbinu za Chadema, zinashtua wengi na kanuni zao pamoja na taratibu kufikia malengo yao ni haratishi, so ajabu kujikuta mara kwa mara katika mikono ya vyombo vya dola, dola yoyote ipo katika kulinda haki za kila mtu, na si haki za wachache..

sasa wewe unatuletea mambo ya lumumba....

ili upate kutia akili kwenye ubongo wako naomba ujibu swali hili..

je ni katika kesi ngapi DPP anazoibambikia chadema serekali imeshinda???

ukiishajibu ndio tutaendelea na mjadala.....

na kama ni kuteleza basi na aliyesema nasema apigwe tu..... na liyesema mimba za watoto ni kiherehere chao unawachukuliaje?
 
Kaka nakubaliana na wewe hata mimi sijaona uhusiano wa topics hizi mbili make kila topic ilipaswa kujadiliwa tofauti, nimeamua kuiridisha tena wakiiunganisha poa.
 
sasa wewe unatuletea mambo ya lumumba....

ili upate kutia akili kwenye ubongo wako naomba ujibu swali hili..

je ni katika kesi ngapi DPP anazoibambikia chadema serekali imeshinda???

ukiishajibu ndio tutaendelea na mjadala.....

na kama ni kuteleza basi na aliyesema nasema apigwe tu..... na liyesema mimba za watoto ni kiherehere chao unawachukuliaje?

mkuu naona tafsiri ya kubambikia inakupa tabu kidogo, hakuna mtu anayebambikiwa kesi mkuu, yote yanatokana na makosa binafsi ya waliotuhumiwa, kufutwa kwa kesi kunatokana na sababu nyingi za kisheria sio ushahidi pekee, ni kweli mkuu kupiga ni mojawapo kati ya njia za kumantain public order, si ajabu chadema kufanya zaidi ya haya watakapo kuwa viongozi na kama ikitokea hivyo maana hakuna dalili za kuwa hivyo, kiongozi kama huyu anayeonyesha mapema kabisa si mtu wa kukaa katika meza ya mazungumzo/majadiliano ni hatari, na ana hulka za kidikteta, si ajabu kipindi hicho cha kusadikika chadema wakiwa viongozi kusikia chinja chinja na si kutuliza ghasia, ukipinga tu chadema unachinjwa, tofauti na kipindi hiki ambacho CCM wanatoa uhuru kwa kila mtu kujieleza anavyoona yeye, mpaka kufika tukawa na mitandao huru kama hii JF, CCM inabidi kupongezwa kwa hili...
 
jokaKuu,
Hao ambao hawakushiriki kwenye genocide walishakaribishwa warudi. Hata wale walioshiriki pia. Ndio sababu Rwanda ilianzisha Gacaca. FDLR wana agenda ambayo inakinzana na maslahi ya serikali ya Kagame na utulivu wa nchi kwa ujumla. They can participate in the country as long as they are not tribalistic, lakini hawa wanataka kurudi in power by military means. Frelimo walifanya mazungumzo na Renamo baada ya source of support for Renamo---South Africa and Rhodesia--- kukauka. MPLA walifanya mazungumzo na UNITA baada ya Savimbi kuwa kaput. Kill the head of FDLR and I will join the chorus to want Kagame to talk.
Jasusi,

..I am OK with ur line of thinking, lakini ukumbuke kwamba hata M23 walikuwepo jeshini wakaamua kuasi na leo serikali ya DRC inafanya mazungumzo nao.

..what worries me ni kwamba tumewasahau kabisa wananchi wa Congo ambao wameuawa kwa mamilioni. It is estimated kwamba 3 million wamekufa. It is as if maisha ya wa-Congo hayana thamani kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Ili uwe rais inabidi uwe mtanzania mwenye umri wa miaka 40 na kuendelea ... s'thing like that.

Ukianza kuongelea mambo ya kimataifa kwenye mkutano wa kujadili ajira, ujue akili inaenda harijojo.

uliposema huwezi kuwa rais kwa kuongea na waendesha bodaboda ulikuwa unamaanisha nini we kaburu ?
 
Kosa linalolalamikiwa na wanyarwanda alilofanya Kikwete ni kitendo cha kutoa ushauri wake hadharani alipaswa atambue Kagame ni rais kama yeye anastahili heshima kama yeye anavyostahili.

Alichotakiwa ni kum-face Kagame in person then angepima mwitikio wa Kagame baadae angewauzia viongozi wengine wa EAC ushauri wake, mbali ya ushauri Kikwete alitakiwa pia aje na action plan tofauti na alivyouacha ukielea.

Kitu kingine ambacho kingeonekana kizuri ni kujitolea yeye kama yeye Kikwete kuwa msuluhishi, mediator.

Kikwete kasema hadharani kwenye mkutano wa wakuu wa Afrika na si barabarani na Kagame alikuwepo.

Kumbuka, mimi na wewe hatujuwi kama walishayaongea hayo wakiwa peke yao, hawa watu si mara moja kukutana.

Pia elewa kuwa, hata Kagame kama hakuupenda huo ushauri na hataki kuzungumza na Wahutu ilikuwa ni busara angejibu kistaarabu katika mkutano huohuo badala ya kungoja afike kwao kwanza halafu aanze kubwabwaja.

Kikwete kamjibu vizuri kabisa juzi, kasema huo ni ushauri tu na yeye ana haki ya "kuukubali au kuukataa" lakini si kwa kejeli na kutishia kuwa atampiga, yamefikaje hayo? Mbona hao alioambiwa akae nao na kutafuta suluhu hatujawasikia kukosa adabu na kuongea hovyo kama huyu Kagame.

Kwani alilazimishwa? si angesema tu " Rais tumekusikia, hatutaki kuongea nao na hatutaki kulizungumzia hilo. basi, kwisha.
 
Jasusi,

..I am OK with ur line of thinking, lakini ukumbuke kwamba hata M23 walikuwepo jeshini wakaamua kuasi na leo serikali ya DRC inafanya mazungumzo nao.

..what worries me ni kwamba tumewasahau kabisa wananchi wa Congo ambao wameuawa kwa mamilioni. It is estimated kwamba 3 million wamekufa. It is as if maisha ya wa-Congo hayana thamani kabisa.

jokaKuu,
What worries me about Congo ni vacuum of leadership. Kabila mdogo ananikumbusha Karzai. Huyu kasaidiwa na Wamarekani lakini ameshindwa kuunda jeshi litakaloweza kupambana na Taliban. The same with Kabila. Yeye ni kuvaa suti tu za bei ghali na inadaiwa analipwa millioni 75 kwa mwaka. As young as he is one would have thought that he would have put on his military combat and help build the morale in the military, but no. Who is to blame really?
 
Inawezekana dr. slaa aliongea haraka bila kuwaza matokeo ya matamshi yake.
Hiyo ya dr. slaa kuwa kiongozi wa dini siyo kifungo, na ndo maana akajitoa kwa kuwa aliona ni kugumu.

Nazidi kusimamia msimamo unaosema kuwa tuwaheshimu walioko madarakani kwa kuwa wamewekwa na Mungu mwenyewe.

copy: chama
Mamndenyi
Unamkosoa nabii anayeabudiwa na wana Bavicha ambao macho ya wameyatia upofu; masikio wameyatia uziwi; huyu slaa nia yake hasa ni kutaka kuleta machafuko yeye anajua wazi baada 2015 game over amekuwa kama hayawani tu uraisi haupati huyu hata afanye kitu gani si alikwenda Yerusalem kutambika? Hata angekwenda kuzikiri uchi pale kwenye pango alipolazwa Yesu kabla ya kufufuka uraisi atausoma Tanzania Daima!
 
Last edited by a moderator:
jokaKuu,
What worries me about Congo ni vacuum of leadership. Kabila mdogo ananikumbusha Karzai. Huyu kasaidiwa na Wamarekani lakini ameshindwa kuunda jeshi litakaloweza kupambana na Taliban. The same with Kabila. Yeye ni kuvaa suti tu za bei ghali na inadaiwa analipwa millioni 75 kwa mwaka. As young as he is one would have thought that he would have put on his military combat and help build the morale in the military, but no. Who is to blame really?
Jasusi
Masikini huelewi unachoongea; mgogoro wa Congo wa ulitengenezwa miaka mingi vita sio suluhisho la migogoro ya kisiasa na ndiyo maana hata huko Afghanistan serikali ya Karzai imeamua kukaa meza moja na Taliban kitu ambacho kimeungwa mkono na USA; unaposema Kabila atengeneze jeshi la kupambana na waasi bado halitakuwa suluhisho la kudumu; najua hapa unamwaga pumba kwa kutaka kujaribu kumtetea slaa kwa matapishi yake; hakuna kificho mgogoro wa ukanda wa maziwa hautakwisha kwa mtutu wa bunduki; ikiwa kama Bosnia leo wanaishi kwa amani inakuwaje sisi waafrika tushindwe? Tumia akili na busara ulizopewa na Mungu sio kuitumia kwa lengo la kujipendekeza kwa binadamu.
 
Last edited by a moderator:
Mataifa ya ulaya na America wana vyama vingi tena vyenye nguvu na ambavyo huwa vinashinda uchaguzi,wanakosoana katika sera zao za ndani kiasi cha kuzuia mpaka bajeti ya nchi. Lkn linapokuja jambo la kitaifa vyama wanaweka pembeni na kisimama kama taifa moja.hapo hutaisikia Democratics wala Republican,hutasikia labour wala conservative bali utaisikia U.s.a na England.
Slaa achunguzwe uraia wake,maana hata kama ni uchu wa madaraka hii ni too much. yaani kwa Slaa bora punda afe lkn mzigo ufike.kweli psychology ime prove kuwa umri ukizidi akili inarudi utotoni,mzee wetu kaonyesha upumbavu wa hali ya juu,halafu ati kuna watanzania bado wanamtetea,haya ndio yanayoigharimu nchi yetu kwa tabia ya kupenda kuwalamba miguu viongozi hata pale wanapokosea.
Slaa anapaswa kukaa kimya kwa mambo ya kitaifa hasa anapokuwa na comment za kipumbavu kama hizi.sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania tusimwige slaa huenda anauraia wa Tanzania na Vatican
Hongera sana Prof.Baregu,Rwaitama na Kitila mkumbo kwa kutusisitiza watanzania kuwa wamoja katika mambo ya nje ya nchi yetu.
 
Slaa ni janga la taifa,yaani anajiona kama alizaliwa kutawala hivyo mambo yanamuwea magum pale watanzania wanapomkataa.ushauri wa bure kwa slaa mi naona bora akaishi rwanda au ajiue maana anajelous kuliko kawaida hasa kwa watanzania wenzake ati kwa sababu mshumbusi ni mtusi.kweli watusi wanamtandao mkubwa lkn kwa hili hadhi ya slaa mbele ya watanzania imeshuka mpaka nusu mlingoti.
 
Siasa za kusafiria nyota zimepitwa na wakati.

Wanasiasa wawe wabunifu wa utatuzi wa matatizo ya wananchi.
Kupinga kauli za wenzao eti tu kwa sababu wao ni kupinga kila kitu
ni kufirisika kifikra na kuonesha kuwa hawana sera.

Hawa watu wa ajabu sana yaani kuzungumza na vyombo vya habari
wao wanaona sifa sana,na mbaya zaidi wanachoongea ni kupinga
fikra za wenzao zilizofanyiwa utafiti kwa usalama wa nchi.

Kama ikiwezekana ni bora kabisa mfumo huu chonganishi wa
vyama vya siasa ukafutwa,kwani ni mojawapo ya adui
na wakala namba moja wa ubeberu.

Na mbadala wake ni kutunga sheria kali sana zitakazotumika
kuhoji serikali na kuleta ufanisi kwa haraka zaidi.

Kwa muktada huu vyama vya siasa sio suluhisho la amani
na ustawi wa maisha ya kila siku ya mtanzania.

Vinginevyo mfumo huu utakuwa ni mojawapo ya vichaka
vya ulaji kwa wajanja fulani wa mjini,kwani haiwezekani
tukawa na rundo la utitili wa vyama visivyo na tija.

Tena katika hili ni bora tukawa wamoja,kwani watu wa namna hii
ni hatari sana kwa usalama wa nchi na pengine siku zijazo
kama wakishindwa siasa wanaweza kugeuka waasi.
 
CDM kama ni chama cha watu wanaofikiria mbele huu ndo wakati muafaka wa kumpiga chini huyu dr maandazi slaa....na kuweka mtu kama Zitto Kabwe 2015 ikiwa wanataka kura...huyu slaa kitu kidogo kama hiki ameshindwa kutoa maamuzi ya maana..hivi huyu kweli ndo mnategemea kushika nchi??? au kijiji???kama nchi itapata kiongozi kama huyu from that time naukana uraia wa bongo maana itakua ni kichekesho kwenye international community!!!yaani mara elfu hata Mtikila anaweza kuongoza na kuona mambo kwa kina lakini sio huyu dr cjui slaa!!!
 
duh..mjadala unakolea...

umeongea point ya ukweli...Katibu wangu mkuu DR WP Slaa ambaye ni mzazi na tegemeola taifa ana mgogoro mkubwa na wazandiki wa CCM....tunajua hata roho yake kimsingi kaiweka rehani kwa ajili ya tanzania mpya... kwani kama ni kitumbua cha CCM kweli kakitia mchanga......

therefore, msongo huu unaomkabili Dr Slaa nahisi umemfanya ateleze kauli na kureflect state of mind ya what is actualy happening at home......i think this was just a mere accident....

kwa hili mimi binafsi ninaomba tu nimuombee msamaha.......na pia kumwomba kuwa mara zote ni vema akumbuke kuwa yeye ni raisi mbadala wa tanzania..na pengine ndiye raisi ajaye..... machinery haitamwelewa asipokuwa makini kutofautisha levels na orientations za reactions...

It wasn't a "mere accident", babu is nil when it comes to politics haijalishi ni za Kimataifa au za Taifa.
 
Jasusi
Masikini huelewi unachoongea; mgogoro wa Congo wa ulitengenezwa miaka mingi vita sio suluhisho la migogoro ya kisiasa na ndiyo maana hata huko Afghanistan serikali ya Karzai imeamua kukaa meza moja na Taliban kitu ambacho kimeungwa mkono na USA; unaposema Kabila atengeneze jeshi la kupambana na waasi bado halitakuwa suluhisho la kudumu; najua hapa unamwaga pumba kwa kutaka kujaribu kumtetea slaa kwa matapishi yake; hakuna kificho mgogoro wa ukanda wa maziwa hautakwisha kwa mtutu wa bunduki; ikiwa kama Bosnia leo wanaishi kwa amani inakuwaje sisi waafrika tushindwe? Tumia akili na busara ulizopewa na Mungu sio kuitumia kwa lengo la kujipendekeza kwa binadamu.
Kama ninachosema ni pumba hebu jibu swali langu moja tu. Umesema vita siyo suluhisho. Kama ni hivyo Kikwete amepeleka wanajeshi wetu Goma kufanya nini? Stop this obsession with Slaa!
 
Kama ninachosema ni pumba hebu jibu swali langu moja tu. Umesema vita siyo suluhisho. Kama ni hivyo Kikwete amepeleka wanajeshi wetu Goma kufanya nini? Stop this obsession with Slaa!

Wamekwenda kusimamisha vita.
 
Back
Top Bottom