Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

Hivi historia ya Kikwete na Kagame inaeleweka vizuri??Hawa jamaa hawana issue nyingine baina yao ambayo labda sisi wengine hatuijui?

Inawezekana wana ugomvi wao mwinngine wa siku nyingi?Kushauri kuongea na waasi ndio iwe sababu ya haya ypte?Fanyeni uchunguzi hapa si bure!

Hapa hakuna issue personal kaka...! Ni kuwa Kagame ameua sana na watu walikaa kimya, lakini sasa SADC na UN wakasema basi. Tanzania kupeleka majeshi Congo under Intervention Brigade sio jambo dogo.....! Wapiganaji wengi wa M23 either ni raia wa Rwanda au wanajeshi wa Rwanda, hivyo Intervention Brigade inaenda kupambana na Rwanda kwenye ardhi ya Congo. Rwanda inajua kuwa hilo ni tatizo, sasa wanaanza kutafuta sababu kuwa-provoke viongozi wetu ili baadae waseme 'enhe unaona.....kumbe Tanzania ilikuwa na ajenda ya siri'
 
By RUTASHUBANYUMA: Vita vya maneno kati ya JK na Kagame vinaasharia jinsi ambavyo Kagame haoni kama JK ana ushawishi au hata ufahamu wa historia ya Rwanda na hivyo kumkejeli jinsi ambavyo anaona inafaa. Kagame ameahidi kumvutia pumzi JK na akipata mwanya atamzabua kofi kutokana na JK kumshauri Kagame kukaa mezani na waasi wa Rwanda.

Kagame ni vigumu kuthamini ushauri wa JK kwa sababu zifuatazo:-

1) JK haifahamu vizuri historia ya Rwanda ambayo imejengwa kwa damu. Watutsi ambao ni wachache wametumia damu kuwatawala wahutu ambao ni wengi na jinsi ya kuwawezesha wengi (Wahutu) bila kuathiri haki za wachache (Watutsi) ndani ya Rwanda imeshindikana hadi leo.
Mfupa uliomshinda Mzee fisi je JK atauweza kwa utendaji huu tunaoufahamu hapa nchini?


a) JK kushauri mahasimu hao wakae meza moja bila ya kujua ajenda na mikakati ya kufanikisha vikao tajwa kwa Kagame anaona ni upuuzi ambao mjenga hoja -JK- lazima azabuliwe kofi ili aache kujiingiza kwenye mambo yasiyomhusu.

b) JK katika masuala ya Muungano na kero zake amekuwa akiendelea kutegemea kamati ya viongozi wa kitaifa watokanao na chama chake cha CCM tu bila ya kutafuta wapinzani katika kushauriana nao. Hivyo aidha ni unafiki au usahaulifu tu kumshauri Kagame afanya yale ambayo yeye mwenyewe JK hana mpango wa kuyafanya.
Charity always begin at home.................

c) JK katika uundaji wa kamati ya marekebisho ya katiba katumia ubabe wa uwingi wa wabunge wa CCM Bungeni katika kupitisha sheria ambayo imempa yeye madaraka ya kurekebisha Katiba atakavyoona inafaa na ushirikishwaji wa wananchi ni changa la macho tu. Sasa yawaje amshauri Kagame kujenga mazingira ya ushirikishwaji wa mahasimu wake jambo ambalo yeye mwenyewe JK hayuko tayari kulifanya. Tena hapa nchini ingelikuwa ni rahisi zaidi kwa JK kwani hakuna umwagaji wa damu katika wananchi kudai haki zao za kimsingi zaidi ya ukatili wa polisi ambao anayo mamlaka ya kuwakemea na wala hana mpango wa kufanya hivyo..

d) Katika kero za Muungano, JK aliwahi kudiriki kusema kamati ya kushughulikia kero tajwa na kuundwa na chama kimoja tu cha CCM wawe wanakutana angalau mara nne kwa mwaka hata kama hawana la kujadili ikimaanisha tu yeye JK anacheza mchezo wa siasa wa kuonyesha raia kazi inafanyika hata kama hakuna linaloendelea! Mbali ya hilo, JK hana mkakati wa kuzimaliza kero za Muungano nje ya CCM na ndiyo maana hawezi kufiria muundo mbadala wa kutafuta ufumbuzi wa kero za muungano nje ya chama chake sasa iwaje amtarajie Kagame atafute ufumbuzi wa kero za Rwanda nje ya chama chake cha RPF?

e)
JK hana taswira ya kuutetea na kulinda utawala bora na ndiyo maana katika kipindi chake mauaji yanayofanywa na polisi hadi leo yanazidi yale yaliyofanywa na maraisi wote waliomtangulia. Pia, katika historia ya nchi yetu kamwe Waziri Mkuu hajawahi kutamka hadharani kuwa ni sahihi kwa polisi kupiga raia wanaodai haki zao. Hadi wa leo, JK yuko kimya na wala hajamchukulia Pinda hatua yoyote ile ikiashiria anaafiki udhulumaji wa haki za kimsingi kabisa za binadamu! Hivi kwa kisa kipi Kagame amsikilize JK ambaye hana rekodi yoyote ile ya kuheshimu utawala bora?

2)
Chaguzi ya Uraisi 2010 kuna utata mkubwa kati yake na Dr. Slaa ni nani alishinda Uraisi kutokana na Tume ya uchaguzi kufanya kazi kwa minajili ya kulinda masilahi ya CCM huku ikishirikiana na Idara ya Usalama pamoja na serikali za mitaa. Kagame pamoja na faulo zake kibao, hakuna anayemtilia mashaka ya uhalali wa chaguzi zote zilizomsimika madarakani. Kwenye mazingira ya namna hii, ni JK au Kagame ambaye anastahili kuwekwa darasani na mwenzie juu ya utawala bora?

3) Viongozi wengi wa TZ hususani CCM hukimbilia kutatua matatizo ya nje ya chi yetu na kutumia sarakasi hizo kufunika matatizo ya hapa nchini lakini wasichojua ni kuwa ili waheshimike ndani na nje ya mipaka ya nchi hii ni pale watakapoanza kutatua kwa dhati matatizo ya hapa ndani na kuyapatia ufumbuzi wa kudumu bila ya kujali masilahi ya muda mfupi ya vyama vyao.

4) Kwa karata hizi ni dhahiri Kagame yuko sahihi kabisa kumbeza JK kwa kumtishia na kunuia kumzabua kofi kwa kile ambacho ni
"kiherehere" cha JK kujiingiza katika tanuru la moto la wengine wakati hapa nyumbani moshi unafukuta kila mahali na JK haonyeshi hata dalili kujua majibu ya kero zetu yako katika nyanja ipi.

serikali ya kagame ni sawa na ulivyokuwa utawala wa julius nyerere. nani alifurukuta gata kama nzee alikosea?
 
By RUTASHUBANYUMA: Vita vya maneno kati ya JK na Kagame vinaasharia jinsi ambavyo Kagame haoni kama JK ana ushawishi au hata ufahamu wa historia ya Rwanda na hivyo kumkejeli jinsi ambavyo anaona inafaa. Kagame ameahidi kumvutia pumzi JK na akipata mwanya atamzabua kofi kutokana na JK kumshauri Kagame kukaa mezani na waasi wa Rwanda.

Kagame ni vigumu kuthamini ushauri wa JK kwa sababu zifuatazo:-

1) JK haifahamu vizuri historia ya Rwanda ambayo imejengwa kwa damu. Watutsi ambao ni wachache wametumia damu kuwatawala wahutu ambao ni wengi na jinsi ya kuwawezesha wengi (Wahutu) bila kuathiri haki za wachache (Watutsi) ndani ya Rwanda imeshindikana hadi leo.
Mfupa uliomshinda Mzee fisi je JK atauweza kwa utendaji huu tunaoufahamu hapa nchini?


a) JK kushauri mahasimu hao wakae meza moja bila ya kujua ajenda na mikakati ya kufanikisha vikao tajwa kwa Kagame anaona ni upuuzi ambao mjenga hoja -JK- lazima azabuliwe kofi ili aache kujiingiza kwenye mambo yasiyomhusu.

b) JK katika masuala ya Muungano na kero zake amekuwa akiendelea kutegemea kamati ya viongozi wa kitaifa watokanao na chama chake cha CCM tu bila ya kutafuta wapinzani katika kushauriana nao. Hivyo aidha ni unafiki au usahaulifu tu kumshauri Kagame afanya yale ambayo yeye mwenyewe JK hana mpango wa kuyafanya.
Charity always begin at home.................

c) JK katika uundaji wa kamati ya marekebisho ya katiba katumia ubabe wa uwingi wa wabunge wa CCM Bungeni katika kupitisha sheria ambayo imempa yeye madaraka ya kurekebisha Katiba atakavyoona inafaa na ushirikishwaji wa wananchi ni changa la macho tu. Sasa yawaje amshauri Kagame kujenga mazingira ya ushirikishwaji wa mahasimu wake jambo ambalo yeye mwenyewe JK hayuko tayari kulifanya. Tena hapa nchini ingelikuwa ni rahisi zaidi kwa JK kwani hakuna umwagaji wa damu katika wananchi kudai haki zao za kimsingi zaidi ya ukatili wa polisi ambao anayo mamlaka ya kuwakemea na wala hana mpango wa kufanya hivyo..

d) Katika kero za Muungano, JK aliwahi kudiriki kusema kamati ya kushughulikia kero tajwa na kuundwa na chama kimoja tu cha CCM wawe wanakutana angalau mara nne kwa mwaka hata kama hawana la kujadili ikimaanisha tu yeye JK anacheza mchezo wa siasa wa kuonyesha raia kazi inafanyika hata kama hakuna linaloendelea! Mbali ya hilo, JK hana mkakati wa kuzimaliza kero za Muungano nje ya CCM na ndiyo maana hawezi kufiria muundo mbadala wa kutafuta ufumbuzi wa kero za muungano nje ya chama chake sasa iwaje amtarajie Kagame atafute ufumbuzi wa kero za Rwanda nje ya chama chake cha RPF?

e)
JK hana taswira ya kuutetea na kulinda utawala bora na ndiyo maana katika kipindi chake mauaji yanayofanywa na polisi hadi leo yanazidi yale yaliyofanywa na maraisi wote waliomtangulia. Pia, katika historia ya nchi yetu kamwe Waziri Mkuu hajawahi kutamka hadharani kuwa ni sahihi kwa polisi kupiga raia wanaodai haki zao. Hadi wa leo, JK yuko kimya na wala hajamchukulia Pinda hatua yoyote ile ikiashiria anaafiki udhulumaji wa haki za kimsingi kabisa za binadamu! Hivi kwa kisa kipi Kagame amsikilize JK ambaye hana rekodi yoyote ile ya kuheshimu utawala bora?

2)
Chaguzi ya Uraisi 2010 kuna utata mkubwa kati yake na Dr. Slaa ni nani alishinda Uraisi kutokana na Tume ya uchaguzi kufanya kazi kwa minajili ya kulinda masilahi ya CCM huku ikishirikiana na Idara ya Usalama pamoja na serikali za mitaa. Kagame pamoja na faulo zake kibao, hakuna anayemtilia mashaka ya uhalali wa chaguzi zote zilizomsimika madarakani. Kwenye mazingira ya namna hii, ni JK au Kagame ambaye anastahili kuwekwa darasani na mwenzie juu ya utawala bora?

3) Viongozi wengi wa TZ hususani CCM hukimbilia kutatua matatizo ya nje ya chi yetu na kutumia sarakasi hizo kufunika matatizo ya hapa nchini lakini wasichojua ni kuwa ili waheshimike ndani na nje ya mipaka ya nchi hii ni pale watakapoanza kutatua kwa dhati matatizo ya hapa ndani na kuyapatia ufumbuzi wa kudumu bila ya kujali masilahi ya muda mfupi ya vyama vyao.

4) Kwa karata hizi ni dhahiri Kagame yuko sahihi kabisa kumbeza JK kwa kumtishia na kunuia kumzabua kofi kwa kile ambacho ni
"kiherehere" cha JK kujiingiza katika tanuru la moto la wengine wakati hapa nyumbani moshi unafukuta kila mahali na JK haonyeshi hata dalili kujua majibu ya kero zetu yako katika nyanja ipi.
Ningejua jinsi yako kama ni ke au me ningejua nikupe tusi gani lakini kwa sasa jichagulie tusi mwenyewe,
unajua nyie warwanda ni watu wajinga sana mlizoe kuingia tanzania na kuishi bila vibari na kufanya uharifu tangu jk kutoa amri msughurikiwe unahaha kama mnataka kutaga,

sasa mwambieni kagame tumewachoka na ujinga wenu pelekeni congo siyo tanzania ushabiki wa kijinga kaa nao kwenu na familia yako jk yuko imara na msimamo wake ni msimamo wa watanzania,koma kabisa .
 
Hoja ya Dr. Slaa ilikua kwamba Nchi hainwezi kuwa dragged vitani kwa sababu ya kauli ya Kikwete na vile vile akashsuri Kikwete aanze kwanza kukaa na wapinzani wake.
Ni hoja nzuri
 
siku zote nimesema na ninaamini hivyo nia na malengo ya chadema na viongizi wake siyo njema.katika busara ya kawaida hali ilivyo sasa kimahusiano kati ya TA na Rwd sitarajii kiingozi mkubwa wa chama hapa tanzania kujipendejeza kwa kagame, hivi kwa nini tusiamin kuwa slaa anaweza kutumika kuhujumu tanzania?? huyu slaa ninawasiwasi sana na elimu yake na uzalendo wake kwa nchi yetu.
 
Tatizo mnataka tukubaliane na nyinyi kwa kila kitu,Mbona CCM hamko tayari kuyasikiliza malalamiko ya Wapinzani ila tu pale mnapoelemewa na tatizo ndipo mnapowakumbuka Wapinzani kama Watanzania wenzenu?
Khaa!! yaleyale yaani wewe mtu amkosoa Dr.W. Slaa basi ni CCM. Hili ni tatizo. Hebu tutafute njia nzuri ya kufikiri kwa uhuru bila ya kubanwa na CCM au CDM au viongozi wake. Isiwe hii njia ya kuwa na solution tayari halafu ndiyo unaanza kuitafutia sababu
 
TBS inapaswa kulipima hili vazi la GWANDA, kuna kila dalili kuwa linaathiri UBONGO wa wavaaji wake!
 
Tatizo mnataka tukubaliane na nyinyi kwa kila kitu,Mbona CCM hamko tayari kuyasikiliza malalamiko ya Wapinzani ila tu pale mnapoelemewa na tatizo ndipo mnapowakumbuka Wapinzani kama Watanzania wenzenu?
We mgonjwa hapa tunaongea habari ya taifa na maadui wa nje hatuongei habari ya upinzani wa ndani unapotosha mada na mawazo yako ya kihuni.
 
Yaani naipenda chadema lakini katika hili naanza kuamini huyu mzee anazeeka vibaya.....Huwezi kumkosoa Rais wa nchi yako na kumuegemea foreigner katika jambo linalohusu maslahi ya nchi...naona nakosa imani naye iwapo atakuja kuwa kama Rais.....katika hili amechemka sana
We nawe uwe unatumia akili kwahiyo mtu wa nyumbani kwako asipotumia hekima utaungana nae kwa vile tu yupo nyumbani kwako, kikwete nae aanze kujiuliza kwanini katika marais wote waliopita yeye tu ndo anapata matatizo na majirani? Ajirekebishe si ajabu akina Kagame intelijensia yao inawaonyesha na yeye ana mkono katika vurugu za rwanda
 
hicho kibabu Slaa hakina mpya,wala hana alilomkosoa zaidi ya kutaka kusikika kwenye vyombo. kikwete amewashauri wakae mezani wazungumze,wakikubali ndio unaweza kuwaita. Kagame na wapinzani wake sio watoto wa Kikwete ati awaite. hicho kibabu labda kinajipendekeza ili wanyaruanda wamsaidie kulipua mabomu halafu aseme ccm hao.
Huwezi kutenganisha HELLEN
KIJO BISIMBA na RWANDA na Vile vile huwezi kutenganisha huyu mama na
SLAA , kwa hiyo siwezi kushangaa anamkosoa JK
 
Ningejua jinsi yako kama ni ke au me ningejua nikupe tusi gani lakini kwa sasa jichagulie tusi mwenyewe,
unajua nyie warwanda ni watu wajinga sana mlizoe kuingia tanzania na kuishi bila vibari na kufanya uharifu tangu jk kutoa amri msughurikiwe unahaha kama mnataka kutaga,

sasa mwambieni kagame tumewachoka na ujinga wenu pelekeni congo siyo tanzania ushabiki wa kijinga kaa nao kwenu na familia yako jk yuko imara na msimamo wake ni msimamo wa watanzania,koma kabisa .

ukisikia mazima ndio haya.
tanzania tutashindana ss kwa ss lakini akija kidudu mtu atatujua ss n nan!
nipo tayari kwenda front kudadeki. mt 26xxx
 
Kuwa na shida si mwisho wa kusaidia/kushauri wengine.....Slaa ni ushauri tuu
 
Nyerere alifanya kazi katika wakati mgumu zaidi maana kuzima upinzani kulizalisha silent rebellion na ni hatari zaidi.Kumbuka utekelezaji wa azimio la Arusha lililoambatana na displacement ya watu lilitengeneza hasira ya kitaasisi na kabla ya hapo tayari Nyerere alishakumbana na Uasi takribani miaka 10 nyuma huku akina Kambona wakiwa exile kama potential threats(Ingawa hoja ya kuwa kama Kambona alikua Hero au Villain ni subject of debate).Upinzani uliopo unatambulika kisheria na kitaasisi na ni rahisi kufanya dialogue au compromise on issues.JK yupo kwenye wakati mzuri zaidi wa kufanya dialogue na wapinzani wanaotambulika kitaasisi kuliko Nyerere ambaye muda wote alikua alert but still he managed to cooordinate the forces against common enemy!Unasemaje hapo?

Heshima kwako mkuu!! Na kimsingi Jk hana maadaui kabisa wa ndani kwani hao CDM wapo kisheria! Maadui ambao ni wa kuwa deal ni rafiki zake...kina kagoda, deep green finances nk!
 
unaelewa maana ya ku argue au unaandika tu. Jk haku argue na Kagame,ndio akasema hakuona sababu ya kumjibu. akili yako inakufamaji kweli
Jk anatuabisha tu. Rwanda
is just too a small country to argue with. Wote tunaoneka wehu kama wao.
what is the difference ?
 
juzi nilisema chadema watajutia sana zile pesa za mshahara wa katibu.ni bora hata wangejenga vyoo vya bure mijini.watanzania tungewaona wamaana.
kuliko kutoa pesa kwaajili ya box kama hili.
sasa huyu atatukomboa na nini?
yeye anadhani watu wanashabikia kila kitu atakacho sema.
hivi cdm haina mikakati au miradi yoyote ya kufanya mpaka wakaona wawekeze kwenye hili. najua tutajuta wote ikiwa kweli chaguo la mungu ndio huyu.
 
Kikwete ana matatizo ktka sera za nje ni wazi kwamba kwa sasa si kenya, uganda, rwanda wala malawi ambao wako in piece na tanzania aangalie nyendo zake, kujua historia jambo kabla ya kuzungumza
 
hicho kibabu Slaa hakina mpya,wala hana alilomkosoa zaidi ya kutaka kusikika kwenye vyombo. kikwete amewashauri wakae mezani wazungumze,wakikubali ndio unaweza kuwaita. Kagame na wapinzani wake sio watoto wa Kikwete ati awaite. hicho kibabu labda kinajipendekeza ili wanyaruanda wamsaidie kulipua mabomu halafu aseme ccm hao.
hiki kibabu kitakua kihaini tu.
 
siku zote nimesema na ninaamini hivyo nia na malengo ya chadema na viongizi wake siyo njema.katika busara ya kawaida hali ilivyo sasa kimahusiano kati ya TA na Rwd sitarajii kiingozi mkubwa wa chama hapa tanzania kujipendejeza kwa kagame, hivi kwa nini tusiamin kuwa slaa anaweza kutumika kuhujumu tanzania?? huyu slaa ninawasiwasi sana na elimu yake na uzalendo wake kwa nchi yetu.
Wewe unafikiri uzalendo ni kumsifia Kikwete hata kama kakosea.
 
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa, amemkosoa Rais Jakaya Kikwete, kuhusu kauli ya kumshauri Rais wa Rwanda, Paul Kagame, kuzungumza na waasi wa serikali yake.

Dk. Slaa amesema haoni busara kwa Rais Kikwete kuwaambia viongozi wa Rwanda, akiwamo Rais Kagame, kuzungumza na wafuasi wa chama cha FDRL walioko Congo kwa vile wanatambulika kama wauaji.

Alisema hayo wakati akizungumza katika kongamano la vijana wa Chadema (BAVICHA) la uchumi na ajira lililofanyika jana jijini Dar es Salaam.

Alimshangaa kuwataka kuzungumza na watu ambao Kagame anawaita wauaji wenye asili ya kundi la jeshi la Nterahamwe, lililokuwa linaangamiza Watutsi.

“Rais Kikwete hapa nyumbani hawezi kuzungumza na wapinzani, hajachukua hatua dhidi wauaji wa mwandishi Daudi Mwangosi, alishauriwa amuwajibishe Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa Michael Kamuhanda, amempandisha cheo,” alisema.

Alisema Rais alitakiwa kuwaambia waje awapatanishe lakini si kuwaambia wazungumze na watu anaowatuhumu kuua Watutsi.

Kumezuka sitofahamu ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Rwanda, baada ya Rais Kikwete kutoa ushauri huo wakati wa mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika Addis Ababa, Ethiopia hivi karibuni.

Ushauri huo ulionekana kumchukiza Rais Kagame, anayedaiwa kuhutubia mikutano kadhaa nchini kwake na kutumia lugha ya matusi, kejeli na dhihaka dhidi ya Rais Kikwete na Tanzania.


CHANZO: NIPASHE

Babu hii unechemsha halafu sio kila kitu ni lazima useme ha ha ha hapa umeyajaza kwa kweli na hii nikutokana na kuishiwa na cha kuongea ha ha ha hapa naikumbuka ile kauli ya Zitto ......WEKA AKIBA YA MANENO
 
Back
Top Bottom