1. Nakubaliana na hoja yako ya kwanza kwamba kushinda vita kunahitaji umoja wa kitaifa.
2. Kuhusu nyerere na ushawishi wa ndani; tukumbuke kwamba wakati wa nyerere hakukuwa na chadema wala CUF. Fikra za nyerere zilikuwa ni "fikra sahihi" kwa hiyo hakuhitaji kumshawishi mtu yoyote kwenda vitani. Alichofanya ni kutoa amri tuu na amri ikatekelezwa. JK anafanya kazi katika mazingira tofauti na yale ya JKN. Miongoni mwa wapinzani kuna wazalendo na pia kuna "unscrupulous, machiavellian, opportunist characters ". Hili kundi la pili ndilo kundi la hatari sana kwa taifa letu. Wasi wasi wangu ni kwamba Slaa yuko kwenye hili kundi la pili, na kama haya yaliyoandikwa humu ni maoni yake kweli; basi chadema wana kila sababu ya kuutazama upya uongozi wao kama kweli wanajali maslahi ya taifa letu.
Hakuna maslahi yoyote tutakayoyapata huko Congo hapa kuna jambo zito limejificha hasa Marekani anapojihusisha na huu mgogoro.Akina JK wameshaahidiwa pepo tayari.Huu ni mgogoro wa kimaslahi.