peter tumaini
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 573
- 94
MBONA LOWASA anapewa PROMO isiyomstahili sioni jipya lake na hata ukimsikiliza hana ushawishi mkubwa zaidi ya kupita kwenye nyumba za ibada tu!
Kuhusu point yake ya ajira kwa vijana leo waziri mhusika ana mkaba koo, so no more from him.
Kuhusu point yake ya ajira kwa vijana leo waziri mhusika ana mkaba koo, so no more from him.