Ikumbukwe kuwa mara ya mwisho akizungumza na waandishi wa habari E.LOWASSA a.k.a mamvi alitoa mikwara kumfikisha mahakamani atakayethubutu eti kumchafua.Leo ktk viwanja vya tengeru katibu mkuu wa chadema akifunga kampeni hatimaye ametamka kuwa lowahasa ni FISADI na kama inamchoma na si kweli aende kortini jumatatu kumshitaki slaa.mytake: KAMA LOWASSA NI KIDUME AENDE MAHAKAMANI KWANI ALIYATAKA MWENYEWE KWA KUPANDA JUKWAANI HUKU PERFOMANCE YAKE IKIWA NI ZIRO,HAPO VIPI..HAPO
kumbe bora hata sitta ambae inasemekana kajenga ofisi huko urambo ana watu wanaiona na itaendelea kuwa ya serikali kuliko huyu mwizi"Wakati wabunge wengine walipewa Tsh 40milioni kwa ajili ya ujenzi wa ofisi za wabunge majimboni mkoani Arusha, EL alishinikiza Halmashauri kumpa Tsh 171milioni. Kama hiyo haitoshi, EL alishinikiza tena kupewa Shilingi Milioni 131 kwa ajili ya ujenzi wa ofisi. Pamoja na kupewa fedha hizo jumla ya Tsh 302 milioni, hadi hiii leo naongea hapa, jengo la ofisi ya bunge huko kwa Lowasa, halijainuka kutoka kweye Foundation. Kwa nini nisimuite FISADI???
Hayo siyo yangu, nimeyasikia mwenyewe kwenye viwanja vya chuo cha Patandi huko Tengeru, Arumeru east, yametamkwa na DR. WILBROAD SILAA. Kwa waliozoea source, mimi mwenyewe ni source na nilikuwa kwenye viwanja hivyo.
hii kauli naurudia tena humu jamvini na ninaomba mtu aweke kwenye rekodi kama mungu akitupa uhai ntaikumbushia.
tusije tukashanga E.L kuwa raisi wa hii nchi 2015. naomba niweke kwenye rekodi. huyu jamaa ana siri kubwa sana wazee.
"Wakati wabunge wengine walipewa Tsh 40milioni kwa ajili ya ujenzi wa ofisi za wabunge majimboni mkoani Arusha, EL alishinikiza Halmashauri kumpa Tsh 171milioni. Kama hiyo haitoshi, EL alishinikiza tena kupewa Shilingi Milioni 131 kwa ajili ya ujenzi wa ofisi. Pamoja na kupewa fedha hizo jumla ya Tsh 302 milioni, hadi hiii leo naongea hapa, jengo la ofisi ya bunge huko kwa Lowasa, halijainuka kutoka kweye Foundation. Kwa nini nisimuite FISADI???
Hayo siyo yangu, nimeyasikia mwenyewe kwenye viwanja vya chuo cha Patandi huko Tengeru, Arumeru east, yametamkwa na DR. WILBROAD SILAA. Kwa waliozoea source, mimi mwenyewe ni source na nilikuwa kwenye viwanja hivyo.
hii kauli naurudia tena humu jamvini na ninaomba mtu aweke kwenye rekodi kama mungu akitupa uhai ntaikumbushia.
tusije tukashanga E.L kuwa raisi wa hii nchi 2015. naomba niweke kwenye rekodi. huyu jamaa ana siri kubwa sana wazee.
Dr. Slaa anatafuta umaarufu???!!Mie niliisha wahi sema Mara nyingi humu ndani kuwa Slaa anazeeka vibaya na anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa lazimaIkumbukwe kuwa mara ya mwisho akizungumza na waandishi wa habari E.LOWASSA a.k.a mamvi alitoa mikwara kumfikisha mahakamani atakayethubutu eti kumchafua.Leo ktk viwanja vya tengeru katibu mkuu wa chadema akifunga kampeni hatimaye ametamka kuwa lowahasa ni FISADI na kama inamchoma na si kweli aende kortini jumatatu kumshitaki slaa.mytake: KAMA LOWASSA NI KIDUME AENDE MAHAKAMANI KWANI ALIYATAKA MWENYEWE KWA KUPANDA JUKWAANI HUKU PERFOMANCE YAKE IKIWA NI ZIRO,HAPO VIPI..HAPO
hakuna cha siri wala nini acha ushabiki wa kifisadi na kijimahii kauli naurudia tena humu jamvini na ninaomba mtu aweke kwenye rekodi kama mungu akitupa uhai ntaikumbushia.
tusije tukashanga E.L kuwa raisi wa hii nchi 2015. naomba niweke kwenye rekodi. huyu jamaa ana siri kubwa sana wazee.
watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa....inaonekana lowasa anajua anachokifanya na habahatishi. Ngoja tusubiri
Mie niliisha wahi sema Mara nyingi humu ndani kuwa Slaa anazeeka vibaya na anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa lazima
Wakuu, mpaka sasa tumebakiza kukusanya matokeo ya vituo vinne tu, narudi vituo si kata, vituo vya kupigia kura katika kata nne tofauti. Matokeo mpaka sasa yanasomeka hivi;
CHADEMA 32, 535
CCM 26, 296
AFP 131
DP 72
NRA 32
SAU 22
TLP 16
UPDP 22