GE2025 Dr. Slaa amejitoa mhanga!

GE2025 Dr. Slaa amejitoa mhanga!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
1. Imeuzwa kwa nani? Lini? Shilingi ngapi?
2. Mtandao ni kina nani? How do they work? Tunawafahamu au hatiwafahamuu?
 
Fred lowasa amekatwa
Ridhiwani kikwete amepita bila kupingwa
 
Nchi haina roho, hakuna anayezungumza ukahisi undani wake kuwa anamaanisha

Wapo wachache sana tena sana

Lugha ya roho huzungumza na kila mtu wa daraja zote wachache wamebahatika kuifahamu, ukizungumza tu wote wanakuelewa
 
M
Chuki ipo kwenye Akili yako Tanzania ipo poaaa maisha wanaenda safiii
Na Rais Samia Suluhu Hassan tunaye mpaka 2030

Weekend watu wapozao viwanja maisha safi ayo mambo wewe umetoa wapi sijui migogoro !!!

Nchi inaumwa nani kakudanganya uko uliposikia wakuelekeze mgogoro upo wapi!!

ndani ya Jamhuri kuna mgogoro kwenye mkoa upi maliza kwanza novida kisha uje utuelekeze kwenye Shida wapi !!!

Mnadanganyana kitoto kabisa

Tanzania ni kisiwa cha Amani na RAIS WETU NI SAMIA SULUHU HASSAN mpaka 2030,,
Mbwa wewe hatumtaki huyo Idi Amini
 
yeye si alinunuliwa na Kikwete au amesahau? mwambieni sisi hatujasahau
Fine, issue is anachokisema leo kina substance? If yes, mpongeze lakini mlaumu kwa yaliyopota
 
Fine, issue is anachokisema leo kina substance? If yes, mpongeze lakini mlaumu kwa yaliyopota

amepoteza uaminifu. hakuwahi kueka wazi aliyoyatenda hapo ndipo tungekujua kweli amebadilika.
 
Chuki ipo kwenye Akili yako Tanzania ipo poaaa maisha wanaenda safiii
Na Rais Samia Suluhu Hassan tunaye mpaka 2030

Weekend watu wapozao viwanja maisha safi ayo mambo wewe umetoa wapi sijui migogoro !!!

Nchi inaumwa nani kakudanganya uko uliposikia wakuelekeze mgogoro upo wapi!!

ndani ya Jamhuri kuna mgogoro kwenye mkoa upi maliza kwanza novida kisha uje utuelekeze kwenye Shida wapi !!!

Mnadanganyana kitoto kabisa

Tanzania ni kisiwa cha Amani na RAIS WETU NI SAMIA SULUHU HASSAN mpaka 2030,,
FB_IMG_1748360197313.jpg
 
Chuki ipo kwenye Akili yako Tanzania ipo poaaa maisha wanaenda safiii
Na Rais Samia Suluhu Hassan tunaye mpaka 2030

Weekend watu wapozao viwanja maisha safi ayo mambo wewe umetoa wapi sijui migogoro !!!

Nchi inaumwa nani kakudanganya uko uliposikia wakuelekeze mgogoro upo wapi!!

ndani ya Jamhuri kuna mgogoro kwenye mkoa upi maliza kwanza novida kisha uje utuelekeze kwenye Shida wapi !!!

Mnadanganyana kitoto kabisa

Tanzania ni kisiwa cha Amani na RAIS WETU NI SAMIA SULUHU HASSAN mpaka 2030,,
Chawa kama wewe utajua nini zaidi ya kuwaza tumbo lako tu?
 
Hana lipya huyo, Sasa anatafuta Fursa ya kudandia chama kingine apate marupurupu asepe
Kwamba Slaa ni chawa sawa na Steve Mengele? Yuko 70 sasa, hana cha kupoteza, amefanikiwa kwenye mengi, tujikite kwenye hoja zake.
 
Alichokisema Polepole bila ushahidi hakina mshiko. Hapa kinachohitajika ni ushahidi wa maandalizi ya vote rigging. Mahali pazuri pakupekua ni daftari la wapiga kura. Je yamo majina ya watanzania marehemu na wale ambao hawakujiandikisha? Daftari la wapiga kura in pdf format liwekwe hadharani watanzania wote walihakiki.
 
Back
Top Bottom