GE2025 Dr. Slaa amejitoa mhanga!

GE2025 Dr. Slaa amejitoa mhanga!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kumtaka Nkunda achukue hatua haiwezi kumletea shida? Terrible! Naomba ufafanuzi wako
Ameweka ushahidi hadharani in case nchi ikiingia kwenye machafuko huyo aliyemwambia atawajibika kama number Moja aliyesababisha kwakutotimiza wajibu wake. These guys are trained usiwachukulie poa...Jesuit ni makomandoo wa the Holy sea
 
Lakini ukitafakari kwa kina Sana, utabaini pasipo kuacha shaka kwamba Hoja yake ina mashiko.
Siyo Siri hata kidogo, Nchi hii kwa sasa kuna mifarakano mingi Sana. Chuki ni kubwa sana kupita kiasi imetamalaki katika jamii. Hakuna tena utangamano wa kitaifa, uhasama ni mkubwa Sana.

Hatua za haraka Sana zinapaswa kuchukuliwa ili kuliponya Taifa!
Hoja yake ina mashiko sana tena sana. Ifanyie kazi na aliowataja
 
Dr.Slaa hajaacha upadri mjue!!

Analitumikia Kanisa nje ya madhabahu ya kiroho!

Amesema like kitima hawezi SEMA Kwa nafasi yake!

Naona Roma inataka Tena maono yake yatawale!!

KAZI na utu tunasonga mbele!!
 
Hizo akili za kipumbavu huwa zinakuja uzeeni au ni matokeo ya ulevi?
 
Hana lipya huyo, Sasa anatafuta Fursa ya kudandia chama kingine apate marupurupu asepe
Dr.Slaa aliyekua balozi kwamba abatafuta marupurupu?
Mnaosemaga hivi mtu anaweza akadhani mko njema kumzidi Dr.Slaa au Polepole kumbe..
 
Kuna jambo la kitaalam sana nilikuwa nataka kuandika hapa JamiiForums kuhusu Suala aliloibua Polepole, ila nimeamua kuliacha.

Suala la Polepole ni zito sana, Kisheria CCM hasa viongozi wote walichofanya kina makosa mengi makubwa, mojawapo ni Espionage chini ya National Security Act , katika Sheria zetu wote wanatakiwa kwenda Jela si chini ya miaka 20 hadi maisha.

Polepole amerisk kwa ajili ya Tanzania kuvunja Sheria ya usalama wa Taifa ambayo akikamatwa ndani ya Tanzania atahukumiwa miaka si chini ya 20.

Watanzania hii ndio nafasi ya kuitoa CCM.

Sitachapisha jambo lolote nililolisikia au kuliona katika ofisi za Serikali au mifumo yake, hadi Watanzania wengi watakapo amua kuchukua hatua ya kwanza
Watanzania wengi zaidi tuna woga kupinga kauli zinazotolewa na wakuu wa nchi yetu kwakuwa maisha yetu ni ya chini kabisa uandamane hata uhakika wa matibabu huna basi waache ni pamoja watanzania wajipambanie kutafuta tu
 
Kumtaka Nkunda achukue hatua haiwezi kumletea shida? Terrible! Naomba ufafanuzi wako
Ngoja niwatag akina Heche na Lema na CHADEMA

Tume hawakupaswa kukanusha tuhuma za Polepole badala yake walipaswa kutangaza kusimamisha chaguzi hadi Auditing ya Vyama na waangalizi wa Uchaguzi kukamilisha uchunguzi.

Ngoja nitoe brief details kuongeza nyama kwenye watakachojadili na wadau wengine wengi wakiwemo wananchi hata wakiwa wanamuelezea Lissu nini kimetokea wiki hii.

Anayeweza ku share na Viongozi wa Chadema kwenye mkutano wao ujao kujadili Kauli za Polepole na Watanzania na Mabalozi/Diplomats wa Mataifa washirika.

1. Katiba, hapa kuna element ya Uhaini (Lissu na Mawakili wa Chadema wanajua sheria kunizidi)

2. Data protection act, Cybercrime act
Sheria za bunge zinazohusu uhifadhi na uchakataji wa taarifa binafsi.

Kwa sheria zetu CCM anakuwa Data processor, kwa sababu anakusanya taarifa, ambaye anatakiwa awe compliance na Sheria zote za Data za Tanzania.
Katika website ya CCM ambayo mtu anaweza kujisajili kidijitali hakuna sehemu yoyote ambayo inamtaka mtu afanye consent, hakuna page au maelezo yoyote yanayosema kwa nini wanakusanya Taarifa binafsi(ikiwemo Number ya NIDA) na kama watakaa nazo milele au kwa Muda gani, hili ni kosa kisheria chini ya Sheria zetu za chini ya data protection act- Chadema wanasheria waanze kusoma hizi sheria.

Katika kipengele hichi cha sheria ya data protection, CCM, Tume na NIDA wanatakiwa mara moja kufanyiwa Auditing ya Cyber security compliance ya mifumo yao yote ya Tehama kabla hatua yoyote ya uchaguzi kuendelea

3. Integration ya mifumo ya NIDA.
Katika Sheria za uanzishwaji wa NIDA(ziko online), inasema hivi "NIDA ITAKUWA TAASISI PEKEE NCHNI YENYE RUHUSA YA KUKUSANYA NA KUTUNZA TAARIFA ZA UTAMBULISHO WA MTU"

kama umefanya Siphoned ya mifumo ya Taarifa ya NIDA (kuhamisha data kutoka database ya NIDA na kutunza kwenye database yako) NIDA wanatakiwa wakushitaki na kulingana na uzito wa kesi yako unakuwa umevunja Sheria za Usalama wa Taifa, ni Ukweli usiopingika Kuwa CCM inatumia APIs au direct connection na mifumo ya NIDA hili unaweza thibitisha hata sasa kwenye mfumo wa mtandao wa usajili wa CCM, ingiza taarifa zote zisizo sahihi, NIDA ndio itakwambia taarifa sio sahihi.
Hapa Chadema, vyama vyote, Vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, Taasisi za Kiraia na NGOs zinatakiwa zidai mkataba uliotumika kati ya CCM na NIDA, pamoja na kufanyia auditing mfumo wote wa CCM kujua ni taarifa zipi CCM huzipata, wanazitumiaje, wanazitunzaje (Sheria za NIDA haziruhusu mtu yoyote zaidi yako kukutunzia namba yako ya NIDA ikiwa plain text bila kibali maalumu), na usalama wake.

4. Cyber Data Espionage
Cyber espionage, or cyber spying, is a type of cyber attack in which an unauthorized user attempts to access sensitive or classified data or intellectual property (IP) for economic gain, competitive advantage or political reasons.

Sheria za usalama wa Taifa (Nation Security ACT) inasema hivi huruhusiwi kumiliki/kushare any sensitive, classified document, information, code, password or hash inayoweza kutumika dhidi ya maslahi ya taifa. Bila ruhusa sahihi . Taarifa zote za NIDA ni sensitive na classified information, kwa ajili ya matumizi ya Serikali ya Tanzania pekee. Hapa lazima Chadema wadai taarifa binafsi za mainjinia wote walihusika kuunda mifumo ya CCM, Security clearance, setup ya development, access level waliyopewa, Chadema wana wanasheria wengi na wazuri waziangalie hizi documents.

National security act.
Data protection act
Cybercrime act
Katiba (hapa wao ni wataalamu sana)
Sheria za msingi za kuanzishwa tume za uchaguzi na NIDA.

Mwisho Chadema wamsafirishe Dr Slaa na viongozi wao wa mahusiano ya kimataifa nje ya Tanzania haraka iwezekanavyo kama wataka kuescalate hili swala kimataifa, they have a very strong case.
 
Msaliti balozi wa Sweden Ana zeeka vibaya atulie ale pensheni hayo ange ya pigania akiwa balozi ndani ya serikali. mkuu wa majeshi si rais mwenyewe au ye hajui



Fullstop, kwishaaaa
 
Lakini ukitafakari kwa kina Sana, utabaini pasipo kuacha shaka kwamba Hoja yake ina mashiko.
Siyo Siri hata kidogo, Nchi hii kwa sasa kuna mifarakano mingi Sana. Chuki ni kubwa sana kupita kiasi imetamalaki katika jamii. Hakuna tena utangamano wa kitaifa, uhasama ni mkubwa Sana.

Hatua za haraka Sana zinapaswa kuchukuliwa ili kuliponya Taifa!
Ngoja tuone mwisho itakuwaje
 
Manywa damu kunyweni na hiyo damu ya mtanzania mzalendo, maana kwenu uzalendo ni uhaini
 
Msaliti balozi wa Sweden Ana zeeka vibaya atulie ale pensheni hayo ange ya pigania akiwa balozi ndani ya serikali. mkuu wa majeshi si rais mwenyewe au ye hajui



Fullstop, kwishaaaa
Amekugusa nyeti eeh? Pole!
 
Ngoja niwatag akina Heche na Lema na CHADEMA

Tume hawakupaswa kukanusha tuhuma za Polepole badala yake walipaswa kutangaza kusimamisha chaguzi hadi Auditing ya Vyama na waangalizi wa Uchaguzi kukamilisha uchunguzi.

Ngoja nitoe brief details kuongeza nyama kwenye watakachojadili na wadau wengine wengi wakiwemo wananchi hata wakiwa wanamuelezea Lissu nini kimetokea wiki hii.

Anayeweza ku share na Viongozi wa Chadema kwenye mkutano wao ujao kujadili Kauli za Polepole na Watanzania na Mabalozi/Diplomats wa Mataifa washirika.

1. Katiba, hapa kuna element ya Uhaini (Lissu na Mawakili wa Chadema wanajua sheria kunizidi)

2. Data protection act, Cybercrime act
Sheria za bunge zinazohusu uhifadhi na uchakataji wa taarifa binafsi.

Kwa sheria zetu CCM anakuwa Data processor, kwa sababu anakusanya taarifa, ambaye anatakiwa awe compliance na Sheria zote za Data za Tanzania.
Katika website ya CCM ambayo mtu anaweza kujisajili kidijitali hakuna sehemu yoyote ambayo inamtaka mtu afanye consent, hakuna page au maelezo yoyote yanayosema kwa nini wanakusanya Taarifa binafsi(ikiwemo Number ya NIDA) na kama watakaa nazo milele au kwa Muda gani, hili ni kosa kisheria chini ya Sheria zetu za chini ya data protection act- Chadema wanasheria waanze kusoma hizi sheria.

Katika kipengele hichi cha sheria ya data protection, CCM, Tume na NIDA wanatakiwa mara moja kufanyiwa Auditing ya Cyber security compliance ya mifumo yao yote ya Tehama kabla hatua yoyote ya uchaguzi kuendelea

3. Integration ya mifumo ya NIDA.
Katika Sheria za uanzishwaji wa NIDA(ziko online), inasema hivi "NIDA ITAKUWA TAASISI PEKEE NCHNI YENYE RUHUSA YA KUKUSANYA NA KUTUNZA TAARIFA ZA UTAMBULISHO WA MTU"

kama umefanya Siphoned ya mifumo ya Taarifa ya NIDA (kuhamisha data kutoka database ya NIDA na kutunza kwenye database yako) NIDA wanatakiwa wakushitaki na kulingana na uzito wa kesi yako unakuwa umevunja Sheria za Usalama wa Taifa, ni Ukweli usiopingika Kuwa CCM inatumia APIs au direct connection na mifumo ya NIDA hili unaweza thibitisha hata sasa kwenye mfumo wa mtandao wa usajili wa CCM, ingiza taarifa zote zisizo sahihi, NIDA ndio itakwambia taarifa sio sahihi.
Hapa Chadema, vyama vyote, Vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, Taasisi za Kiraia na NGOs zinatakiwa zidai mkataba uliotumika kati ya CCM na NIDA, pamoja na kufanyia auditing mfumo wote wa CCM kujua ni taarifa zipi CCM huzipata, wanazitumiaje, wanazitunzaje (Sheria za NIDA haziruhusu mtu yoyote zaidi yako kukutunzia namba yako ya NIDA ikiwa plain text bila kibali maalumu), na usalama wake.

4. Cyber Data Espionage
Cyber espionage, or cyber spying, is a type of cyber attack in which an unauthorized user attempts to access sensitive or classified data or intellectual property (IP) for economic gain, competitive advantage or political reasons.

Sheria za usalama wa Taifa (Nation Security ACT) inasema hivi huruhusiwi kumiliki/kushare any sensitive, classified document, information, code, password or hash inayoweza kutumika dhidi ya maslahi ya taifa. Bila ruhusa sahihi . Taarifa zote za NIDA ni sensitive na classified information, kwa ajili ya matumizi ya Serikali ya Tanzania pekee. Hapa lazima Chadema wadai taarifa binafsi za mainjinia wote walihusika kuunda mifumo ya CCM, Security clearance, setup ya development, access level waliyopewa, Chadema wana wanasheria wengi na wazuri waziangalie hizi documents.

National security act.
Data protection act
Cybercrime act
Katiba (hapa wao ni wataalamu sana)
Sheria za msingi za kuanzishwa tume za uchaguzi na NIDA.

Mwisho Chadema wamsafirishe Dr Slaa na viongozi wao wa mahusiano ya kimataifa nje ya Tanzania haraka iwezekanavyo kama wataka kuescalate hili swala kimataifa, they have a very strong case.
Umetoa maelezo mazuri mdogo wangu.
 
Back
Top Bottom