Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 5,492
- 11,569
Msaliti wakati ule.Msaliti balozi wa Sweden Ana zeeka vibaya atulie ale pensheni hayo ange ya pigania akiwa balozi ndani ya serikali. mkuu wa majeshi si rais mwenyewe au ye hajui
Fullstop, kwishaaaa
Sasa tunataka wapiga kelele wengi kadri iwezekanavyo bila kujali historia ya mhusika.
Kama sisi wengine tumeshindwa, acha wanaoweza kuikabili CCM hata kwa maneno wafanye hivyo.
Hii vita sio ya kila mtu!