Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,801
- 27,023
Ni maisha yake binafsi. Kama hujawahi kukwea pipa pole sana
Liz na mimi nina ka info, nikiwapa halafu nikajitoa CHADEMA mtanipandisha ndege kwenda ulaya.
Ni maisha yake binafsi. Kama hujawahi kukwea pipa pole sana
Huo sasa ujinga na mtu wa aina hiyo hafai kuwa Kiongozi, sio mfano mzuri kwa jamii. Familia yake inaishi kwa shida, yeye kachimbia mamilioni ndani !!Inawezekana maisha ni kuchagua unaweza shindia hata maji wakati una mamilion ndani tena sio benki ndani ya nyumba yako.
Inawezekana maisha ni kuchagua unaweza shindia hata maji wakati una mamilion ndani tena sio benki ndani ya nyumba yako.
Ni maisha yake binafsi. Kama hujawahi kukwea pipa pole sana
Kama ailivyokuwa kwa mwenzake Pof. Lipumba mara baada ya kufanya press conference alikwea pipa. Vivyo hivyo Dr. Slaa naye kakwea pia leo. Habari za uhakika ni kuwa anaelekea USA.
![]()
![]()
![]()
Ni maisha yake binafsi. Kama hujawahi kukwea pipa pole sana
Teh teh tehAende zake kwa amani. Sisi atuachie Lowasa wetu.
Kama ailivyokuwa kwa mwenzake Pof. Lipumba mara baada ya kufanya press conference alikwea pipa. Vivyo hivyo Dr. Slaa naye kakwea pia leo. Habari za uhakika ni kuwa anaelekea USA.
![]()
![]()
![]()
GOOOOOOOO!! after all you were not meant for us any way!! Am extremely angry!!Kama ailivyokuwa kwa mwenzake Pof. Lipumba mara baada ya kufanya press conference alikwea pipa. Vivyo hivyo Dr. Slaa naye kakwea pia leo. Habari za uhakika ni kuwa anaelekea USA.
![]()
![]()
![]()