Dr. Slaa akwea pipa na kuondoka nchini [PROPAGANDA]

Dr. Slaa akwea pipa na kuondoka nchini [PROPAGANDA]

Status
Not open for further replies.
Katika dunia ya watu wanaomtegemea mungu huwezi kuacha kusema ukweli kisa utatengeza uadui kwahiyo waachwe wapige dili kwa ufisadi wasisemwe kisa nini hakuna hiyo.

Waliopiga deal la escrow mbona hatuwasikii?
 
Jana baada ya kuongea na wanahabari na kuwachana Lowasa na Sumaye Huyu babu ameingia mitini ajulikani anakwenda wapi

Atajulijana tu,ukawa ni kubwa kuliko yeye
 
Connecting the dots. Je, sakata hili laweza kuwa mwendelezo wa yale matusi ya Gwajima kwa Kardinali Pengo?
 
Wanaweseka,wamejaribu kina polepole,lipumba,dr slaa,sasa hao vjana,duh! wanaona treini haisimami,wanajaribu kuidandia kwa mbele wanakutana na upepo wa kisurisuri

Sana mkuu hawana jinsi
 
Mtu kama slaa hafai. Yeye anakimbia moto ana panda ndege. Watu kinondoni watumwa ccm kuandamana, kwa faida ya nani? Ccm acheni kuchezea amani, ilikesho museme wapizani wanaleta vurugu. Dah! Mutahaha sana mwaka huu
 
Jana baada ya spichi ya dr slaa ilianzishwa poll hapa jf kati ya slaa na lowasa,hali ilikuwa mbaya ikabidi waiondoe,sasa ndani ya msa mfupi ujao utawasikia redet na synovate na vi utafiti vyao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom