Dr. Slaa akwea pipa na kuondoka nchini [PROPAGANDA]

Dr. Slaa akwea pipa na kuondoka nchini [PROPAGANDA]

Status
Not open for further replies.
Ni maisha yake binafsi. Kama hujawahi kukwea pipa pole sana

Lizaboni..
Ninakuheshimu sana. Kitu kimoja tu nina uhakika nacho kinakutokea sasa hivi.. HUAMINI MACHO YAKO kilichotokea baada ya kuona response ya watu kwa sanaa mliyomtuma dr slaa jana. Najua kimoyomoyo unatamani ardhi ipasuke ujimalize. Ila ukweli ni kwamba.. Lowassa atawapasua mapafu safari hii haki ya Mungu naapa. Mood ya taifa ss hv ni CHANGES tuu. This spirit is unstoppable!
 
Last edited by a moderator:
Amekwambia anakimbia?
Ni lazima akuage?
Mara ya mwisho kuaga ilikua lini?
Unafaidika nini akikuaga?
 
MEANDU tupia na ile clip ya jana pale Serena akipokelewa na usalama
 
Last edited by a moderator:
Lizaboni..
Ninakuheshimu sana. Kitu kimoja tu nina uhakika nacho kinakutokea sasa hivi.. HUAMINI MACHO YAKO kilichotokea baada ya kuona response ya watu kwa sanaa mliyomtuma dr slaa jana. Najua kimoyomoyo unatamani ardhi ipasuke ujimalize. Ila ukweli ni kwamba.. Lowassa atawapasua mapafu safari hii haki ya Mungu naapa. Mood ya taifa ss hv ni CHANGES tuu. This spirit is unstoppable!

cc: team ccm yoyote! hata akiwekwa jiwe against ccm tunachagua jiwe!
 
East West home is best...BON VOYAGE KIONGOZI WETU.Huko uendako tuombee amani na utulivu wakati huu wa uchaguzi.uendelee kuomba hotuba yako ya tarehe 1 sept isilete mpasuko kwa watanzania katika imani zao za kidini.endapo utajaaliwa kupata maono kutoka kwa Mungu basi utujulishe watanzania kama ulivyotuhutubia kupitia waandishi wa habari.
 
maneno kuntu,
Ninavyoona mimi hili Kombora kama limekosea, ni kama Marekani wakitaka kuwapiga Al Shaabab halafu kombora lao lipige ndani ya bahari ya Hindi, na kwa kukosea huko. Al Shaabab washtuke na kuchukua tahadhari zaidi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom