BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Nimefuatilia Taarifa ya Habari ya Channel ten hawajaripoti kuhusu Mh. Rais Dr. Wilbroad Peter Slaa
Na iwe mkuu,lol!!..jamani updates na pics za huko Karatu tunazisubiri! Naas loalee
Nimefuatilia Taarifa ya Habari ya Channel ten hawajaripoti kuhusu Mh. Rais Dr. Wilbroad Peter Slaa
CHADEMA inabidi wajue kuwa mambo yao hayatakwenda kiurahisi hivyo, walichotakiwa kufanya ni kukusanya habari zao wenyewe na ku lobby kwenye Tv station ili ziweze kurushwa.., hapa tayari wameshamiss another oppotunity ya kumtangaza mgombea wetu.. come on guys..!Yaani hata TBC nayo wametangza mwisho kabisa eti wanasema habari zilivyowafikia punde utadhani walikua hawajui nn kipo karatu! Agrrr....
Rostum AzizHivi mmiliki wa hilo gazeti linalo andika habari za kichochezi tena waki dini ni nani? kwa nini hachukuliwi hatua? au nayo serikali inaungana nae katika kujaribu kuleta mfarakano wa kidini?
Hamna taabu.Sahihisho:
Nilinoa!Ningeuliza hivi:
Je, hivi ni kweli kuwa mke wa Wilbroad Slaa, Rose Kamili, bado ni Diwani wa CCM wa Kata ya Bassotu, wilayani Hanang?
Kila la kweri chadema ila karatu bila Wilbroad Qambalo Dr. asituletee mwingine itawafanya tukose jimbo.
Sahihisho:
Nilinoa!Ningeuliza hivi:
Je, hivi ni kweli kuwa mke wa Wilbroad Slaa, Rose Kamili, bado ni Diwani wa CCM wa Kata ya Bassotu, wilayani Hanang?
Namuamini sana Dr lakini kwahili naona kama anaenda kuliweka jimbo la karatu rehani
hata spiks sita
r.a
el
chenge
karamagi.
Dk slaa
For the time being, the leaders of our publicly owned mass media are afraid to cover news that favour anyone other than CCM. Reginald Mengi's privately owned media outlets are no better. Mengi, and indeed all Tanzanian business people, were once strongly warned by Former PM Fredrick Sumaye that they would get into all sorts of trouble if they did not support CCM.
CHADEMA will have to win without coverage from the public mass media. The heads of our national TV and radio would lose their jobs if they covered CHADEMA substantially and positively. They are not courageous enough to risk that. They play by rules that were set by a den of vipers.
The most effective mass medium in Tanzania is radio. CHADEMA must have constant and friendly access to a nationwide radio station. That ought to be achievable.
In the end, it is the sheer determination of our people that will send the oppressive CCM machinery packing. It happened in Kenya. It happened in Zambia. It will happen in Tanzania. It must. The alternative is too dastardly to contemplate. Who could stomach another five years of what we have?